Mpaka leo bado sijafanikisha kupata Mwanamke mwajiriwa..

Mpaka leo bado sijafanikisha kupata Mwanamke mwajiriwa..

Ndoto ni kuwa na Mwanamke Nesi, Mwalimu au Askari ikishindikana hapo basi mwaajiriwa katika sekta yoyote ile sometimes maisha hayakupi kile unachotaka huu mwaka wa sita toka nimekuwa na hiyo ndoto na still inabaki kuwa ndoto.

Maana katika kipindi chote hicho wanawake niliokuwa nao wote ni majobless nilijitahidi kidogo mwaka jana nilipata mwaajiriwa wa Bar fulani lakini penzi alikudumu kabisa tukaachana mwanzoni wa mwaka huu.

Naona vijana wenzangu wanatoka kimaisha kwa sababu ya wanawake walioajiriwa kuna jamaa yangu alinunuliwa Bodaboda na mke wake Mwalimu saa hivi anakula hesabu.

Huyo jamaa yangu pamoja na watoto wamekatiwa bima ya matibabu na huyo teacher kimsingi jamaa ni kama kayapatia maisha.

Hapa kuna Ex wangu wa sekondari naona kaajiriwa kwenye utrafiki licha ya kuwa na mtoto yaani single mother kila siku nakesha kumbembeleza turudiane ikiwezekana tuone lakini bado ananikazia ila still nitakomaa naye tu mpaka kieleweke.
Wewe una kazi gani mkuu?
 
Pesa majaliwa mkuu, sasa ukioa mmoja kati ya hao kibarua chake kikikoma itakuwaje?

Waza sana mkuu kabla ya kutenda.
 
Ndoto ni kuwa na Mwanamke Nesi, Mwalimu au Askari ikishindikana hapo basi mwaajiriwa katika sekta yoyote ile sometimes maisha hayakupi kile unachotaka huu mwaka wa sita toka nimekuwa na hiyo ndoto na still inabaki kuwa ndoto.

Maana katika kipindi chote hicho wanawake niliokuwa nao wote ni majobless nilijitahidi kidogo mwaka jana nilipata mwaajiriwa wa Bar fulani lakini penzi alikudumu kabisa tukaachana mwanzoni wa mwaka huu.

Naona vijana wenzangu wanatoka kimaisha kwa sababu ya wanawake walioajiriwa kuna jamaa yangu alinunuliwa Bodaboda na mke wake Mwalimu saa hivi anakula hesabu.

Huyo jamaa yangu pamoja na watoto wamekatiwa bima ya matibabu na huyo teacher kimsingi jamaa ni kama kayapatia maisha.

Hapa kuna Ex wangu wa sekondari naona kaajiriwa kwenye utrafiki licha ya kuwa na mtoto yaani single mother kila siku nakesha kumbembeleza turudiane ikiwezekana tuone lakini bado ananikazia ila still nitakomaa naye tu mpaka kieleweke.
Ingia LinkedIn basi... wamejazana uko.. ingia google search LinkedIn Tanzania, ingia humo kama haupo huko then fungua account kwenye iyo site then anza kutafuta utachoka wewe tu. Wamejazana kibao hao wenye ajira unaowataka. Ushindwe wewe tu sasa mkuu.
 
Ndoto ni kuwa na Mwanamke Nesi, Mwalimu au Askari ikishindikana hapo basi mwaajiriwa katika sekta yoyote ile sometimes maisha hayakupi kile unachotaka huu mwaka wa sita toka nimekuwa na hiyo ndoto na still inabaki kuwa ndoto.

Maana katika kipindi chote hicho wanawake niliokuwa nao wote ni majobless nilijitahidi kidogo mwaka jana nilipata mwaajiriwa wa Bar fulani lakini penzi alikudumu kabisa tukaachana mwanzoni wa mwaka huu.

Naona vijana wenzangu wanatoka kimaisha kwa sababu ya wanawake walioajiriwa kuna jamaa yangu alinunuliwa Bodaboda na mke wake Mwalimu saa hivi anakula hesabu.

Huyo jamaa yangu pamoja na watoto wamekatiwa bima ya matibabu na huyo teacher kimsingi jamaa ni kama kayapatia maisha.

Hapa kuna Ex wangu wa sekondari naona kaajiriwa kwenye utrafiki licha ya kuwa na mtoto yaani single mother kila siku nakesha kumbembeleza turudiane ikiwezekana tuone lakini bado ananikazia ila still nitakomaa naye tu mpaka kieleweke.
WEWE sema unalitaafuta lishangazi la kukulea
 
Back
Top Bottom