manndungu
JF-Expert Member
- Jul 9, 2020
- 501
- 483
Huwenda ikawa anawatafutia barUnawatafutia wapi hao waajiriwa? Angalia na ulipo ajiriwa basi km mtaani umekosa. Na Co-company…
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwenda ikawa anawatafutia barUnawatafutia wapi hao waajiriwa? Angalia na ulipo ajiriwa basi km mtaani umekosa. Na Co-company…
BassMkuu hata maandiko huyajui kuwa imeandikwa.“utampata wa kufanana nawe”
Kwo mkuu we tafuta pesa uone kama hupat mwenye ka ww
Kama huna pesa tafuta mlala hoi mwenzio utulie.
Hili ndio tatizo....unataka kuoa ajira ya mwanamke Ili unufaike badala ya kumuoa huyo mwanamke......unafeliNaona vijana wenzangu wanatoka kimaisha kwa sababu ya wanawake walioajiriwa kuna jamaa yangu alinunuliwa Bodaboda na mke wake Mwalimu saa hivi anakula hesabu
Tuanzie hapo kwanza🤒Ennhe mwaya, pambania kombe, mwisho wa siku hakuna tuzo ya mtesekaji bora wa mwaka.
Lakini wanaume wa humu si huwa wanasema kipato cha mke hawajawahi kuona umuhimu wake? Imekuwaje huyo jamaa ako akanunuliwa boda na mkewe?
watu wa humu waongo sana, kumbe wanawake wanahonga tuktuk na hawasemi!!? Kazi kutuponda tu 🤣Tuanzie hapo kwanza🤒
Admin ni-add kwenye hilo group..😂😂Unakwama wapi mkuu? Niko kwenye group la WhatsApp la walimu ,siku moja nikiwa sina kazi nikasema ngoja nipime bahati yangu,nikaandika ujumbe kuwa" mwalimu wa kike aliyesingle aje inbox" within a minute nilikuwa na wanawake 10 wakitaka kuolewa ila wengi masingle mama,nikawa naomba picha zao,duh wengine wamenenepeana kama vifaru,nilimpenda mmoja tu ambaye ni mama wa watoto 3,mweupe mzuri wa sura,ila sikuwa na chakufanya kwani nilikuwa nawatania tu.
wewe mwenzangu unakwama wapi?
Yeah kila la kheri kwake apate mwanamke amtakaye IJN!
Sawa Mungu mtu 😆Na ndoa utaisikia tu wewe ni wa kuzalishwa tu.