Mpaka leo bado sijafanikisha kupata Mwanamke mwajiriwa..

Ennhe mwaya, pambania kombe, mwisho wa siku hakuna tuzo ya mtesekaji bora wa mwaka.

Lakini wanaume wa humu si huwa wanasema kipato cha mke hawajawahi kuona umuhimu wake? Imekuwaje huyo jamaa ako akanunuliwa boda na mkewe?
 
Admin ni-add kwenye hilo group..😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…