kekule benzene
JF-Expert Member
- Sep 28, 2016
- 1,444
- 3,576
Productivity nimeweka kwenye of mabano ni pesaMkuu unajua bila madaktari hakuna mchezaji yoyote atakaethubutu kuingia uwanjani?
Imagine we ni mchezaji halafu ujue kabisa ukiumia au ukivunjika hakuna mtu wa kukutibu, utacheza? Hiyo productivity itakujaje
Sio ujuzi wala Elimu
Mpira unazalisha sana kupitia wafanyabiashara na wawekezaji