Smart Gang
JF-Expert Member
- Nov 16, 2022
- 2,013
- 3,406
Tumuombee sanaKwa maneno haya mleta mada hutoboi
Wazazi wajibu wao ni kupambana wakupatie elimu (hilo si dogo kifedha), mengine pambana mwenyewe.Japo hukutumia njia au lugha nzuri kufikisha ujumbe, ujumbe wako bado una mantiki. Ni vyema wazazi kupambana kuwajengea future nzuri watoto kwa kuwatafutia rasilimali kama viwanja au hata kama mfuko unaruhusu, kuwajengea ili watoto wanapoanza maisha, wasianzie kwenye sifuri.
Mtoa mada weYaani mpaka leo kuna watu wanaishi za kupanga? Poleni aisee ila niwaambie kitu huo ni uzwazwa inakuaje mpaka leo kijana mzima unaishi byumba za kupanga? Sasa kipindi wazazi wa wenzenu wanapambana kuwatafutia viwanja na mali watoto wao nyie wazazi wenu walikuwa wapi? Shame on them.
Ili kuondoa hiyo aibu ya wazazi wenu pambaneni mtoke hayo magodown mnayoishi hao.
This thread posted by someone who live in his house and use Samsung note 10 plus 5G
Mtoa mada we nigasho...huwezi jivunia Mali za babaako ..Tafuta Ela yako ujue uchungu au unatafuta tension ya watu?....we nimshamba wamwisho.nyie ndio wale mnao lala sebulen,wamwsho kulala wakwanza kuamkaYaani mpaka leo kuna watu wanaishi za kupanga? Poleni aisee ila niwaambie kitu huo ni uzwazwa inakuaje mpaka leo kijana mzima unaishi byumba za kupanga? Sasa kipindi wazazi wa wenzenu wanapambana kuwatafutia viwanja na mali watoto wao nyie wazazi wenu walikuwa wapi? Shame on them.
Ili kuondoa hiyo aibu ya wazazi wenu pambaneni mtoke hayo magodown mnayoishi hao.
This thread posted by someone who live in his house and use Samsung note 10 plus 5G
Kashiba makande ya naziLengo la uZi wako Ni Nini[emoji848]
Acha kabisa. Ukija kichwa kichwa unaweza kuanza kutukanana na Muumba wako😅 kumuuliza anapotembelea wengine wewe huwa hakuoni auWea everybod is rich
Swali zuri sana.Lengo la uZi wako Ni Nini[emoji848]
This thread posted by someone who liveS in his house and usES A Samsung note 10 plus 5GYaani mpaka leo kuna watu wanaishi za kupanga? Poleni aisee ila niwaambie kitu huo ni uzwazwa inakuaje mpaka leo kijana mzima unaishi byumba za kupanga? Sasa kipindi wazazi wa wenzenu wanapambana kuwatafutia viwanja na mali watoto wao nyie wazazi wenu walikuwa wapi? Shame on them.
Ili kuondoa hiyo aibu ya wazazi wenu pambaneni mtoke hayo magodown mnayoishi hao.
This thread posted by someone who live in his house and use Samsung note 10 plus 5G