Jiulize kwanini babako hakuwa Rais?Rais ambaye yeye aliamini akimuua yule au huyu basi ndo mafanikio ya serikali yake
Rais ambaye aliamini kila anayemoinga ni ama ana cheti feki ama mwizi.
Rais alliyeamini kwamba maendeleo ya nchi ni kuwathreaten wafanyabiashara kuwa impower makapuku ili tu asifiwe kuwa ni jembe.
Rais aliyeamini kuvamia personal accounts za watu eti ili serikali iwe na pesa bila kujua watu ndo serikali yenyewe.
Rais ambaye aliamui kufukuza fukuzq employees basi huo ndo utendaji kazi mzuri.
Rais aliyeamini maamuzi yake ndo final na correct kuliko yeyote.
Wangeweza kuwa wawili kwa wakati mmoja?Jiulize kwanini babako hakuwa Rais?
Makosa ya magufuli ni kutetea rasilimali za Tanzania kupiga vita mafisadi na kuwafukuza wenye vyeti feki na hizi ni kelele za vibaraka wa mafisadiKama hata makosa hauyajui ni bora ukakaange mahindi makavu ule polepole aisee!
Hapana angeweza kuwa yeye badala ya mwamba JPMWangeweza kuwa wawili kwa wakati mmoja?
Tanzania hatujawahi kuwa na vyetu feki ndo mana samia aliwarudisha kazini baada ya kuona ilikuwa ni siasa ile ya majitakaMakosa ya magufuli ni kutetea rasilimali za Tanzania kupiga vita mafisadi na kuwafukuza wenye vyeti feki na hizi ni kelele za vibaraka wa mafisadi
Wewe binafsi ulifanyiwa nini?au chuki tu!Kama hata makosa hauyajui ni bora ukakaange mahindi makavu ule polepole aisee!
wewe una uwezo gani? tuanzie kwako kwanzaRais ambaye yeye aliamini akimuua yule au huyu basi ndo mafanikio ya serikali yake
Rais ambaye aliamini kila anayemoinga ni ama ana cheti feki ama mwizi.
Rais alliyeamini kwamba maendeleo ya nchi ni kuwathreaten wafanyabiashara kuwa impower makapuku ili tu asifiwe kuwa ni jembe.
Rais aliyeamini kuvamia personal accounts za watu eti ili serikali iwe na pesa bila kujua watu ndo serikali yenyewe.
Rais ambaye aliamui kufukuza fukuzq employees basi huo ndo utendaji kazi mzuri.
Rais aliyeamini maamuzi yake ndo final na correct kuliko yeyote.
Makosa yake yalinigusa moja kwa moja. Hivyo sio mambo ya maji kufuata mkondo.Makosa gani,wewe kwa upande wako Magu alikufanyia mabaya gani?
Au ndio maji kufata mkondo?
Ni rahisi sana shabiki wa Mpira kumkosoa mchezaji ambae yuko uwanjani akisakata kabumbu. Ili hari yeye mwenyewe hata aliambiwa akimbie toka lango Moja la goli Hadi jingine hawezi.Rais ambaye yeye aliamini akimuua yule au huyu basi ndo mafanikio ya serikali yake
Rais ambaye aliamini kila anayemoinga ni ama ana cheti feki ama mwizi.
Rais alliyeamini kwamba maendeleo ya nchi ni kuwathreaten wafanyabiashara kuwa impower makapuku ili tu asifiwe kuwa ni jembe.
Rais aliyeamini kuvamia personal accounts za watu eti ili serikali iwe na pesa bila kujua watu ndo serikali yenyewe.
Rais ambaye aliamui kufukuza fukuzq employees basi huo ndo utendaji kazi mzuri.
Rais aliyeamini maamuzi yake ndo final na correct kuliko yeyote.
Katila marais wote walioirudisha nyuma nchi hii kwa kasi jpm ni namba moja unless huelewi maana ya maendeleo. Maendeleo ni watu siyo vitu. According to Rostow(2020) maendeleo ni proples' happiness not sorrowsNi rahisi sana shabiki wa Mpira kumkosoa mchezaji ambae yuko uwanjani akisakata kabumbu. Ili hari yeye mwenyewe hata aliambiwa akimbie toka lango Moja la goli Hadi jingine hawezi.
JPM pamoja na mapungufu yake yote mnayoyasema ambayo pengine sio yeye aliyafanya. May be watu walitumia mianya mbalimbali kujinufaisha.
Sisi tunabaki kushuhudia matendo Yale ya waziwazi. Matendo ambayo yanaishi Hadi Leo.
Maendeleo ya kasi ya 5G ambayo yapo Tanzania Leo JPM anamchamgo kuliko mtu yeyote anaeisho hivi Leo nchini Tanzania. Ukibisha nipe mfano wa mtu anae mzidi JPM.
Kaa ukijua, maendeleo ni painful process na inahitaji sacrifice ya hatari sana. Katika Mapambano hayo na yenye nia njema JPM alikutana na upinzani mkubwa sana hasa wa beberuzi na vibaraka ambao sitawataja hapa kwa sababu sio sehemu yake.. lakini Bado JPM aliipenda nchi yake kwa moyo wake wote.
Hakuna aliyerudi kazini ila alisema atawalipa mafao Yao waliochangia au na wewe ulikuwa na vyeti feki ukaridishwa?Tanzania hatujawahi kuwa na vyetu feki ndo mana samia aliwarudisha kazini baada ya kuona ilikuwa ni siasa ile ya majitaka
Mimi ni mchumi mbobevu nayaangalia mambo kwa mapana yake. Shida jpm alikuwa mawalimu na inajulikana wazi kuwa wale wanaosimea ualimu ni left-overs i.e vilazaKumbe wewe ulikuwa under 18 2015?
Mi nimerudi kazin baada ya kufukuzwa eti nina cheti feki kumbe nilipoteza tu originals.Hakuna aliyerudi kazini ila alisema atawalipa mafao Yao waliochangia au na wewe ulikuwa na vyeti feki ukaridishwa?
Makosa yapi yalikugusa?Makosa yake yalinigusa moja kwa moja. Hivyo sio mambo ya maji kufuata mkondo.
Kwaiyo wote waliopoteza vyeti ndo waliofukuzwa?Mi nimerudi kazin baada ya kufukuzwa eti nina cheti feki kumbe nilipoteza tu originals.
Ajira, mkopo kukatwa 15% badala ya 3% iliyoachwa na jk. Biashara kufa iliyoathiri maisha moja kwa moja, siasa kuzimwa ambapo wadogo zetu walikuwa wamejiajiri kupitia upinzani, wawekezaji kukimbia akiwemo mbowe ambaye ali omolewa bilcanas ambayo iliajiri more than 50 employees wakaja kuvuta shisha mtaani nkMakosa yapi yalikugusa?
Ni vizuri kuwa muwazi.
Most of them zilikuwa technical defaults tu na siyo vyeti feki sema yule bwana alikuw na maamuzi ya kukurupuka na sishangai alishawahi kujiita kichaaKwaiyo wote waliopoteza vyeti ndo waliofukuzwa?