Mpaka mwaka 2050 hakutakuwa na watu wenye utimamu wa maadili

kwel nakwambia ukifka uo mwaka af wew ue unafanya ya mwaka huu lazma uonekane hamnazo
Labda nikufungue uelewa kidogo, vitabu hivi vyote vya kiimani, vimeandikwa miaka mingi sana iliyopita, vyote vinaongea kitu kimojo, doing good for humanity, Je waandishi wanaonekana wajinga? Jombaa maadili hayapitwi na wakati, ni yale yale
 
The saddest aspect of life right now is that science gathers knowledge faster than the society gathers wisdom.
//
Jambo la kusikitisha katika kipindi hiki ni kuwa sayansi inakusanya maarifa kwa kasi kuliko jamii inavyokusanya hekima.

~ Isaac Asimov (sci-fi books writer)
 
Hakika, and before we know, jamii itaangamia
 
Labda nikufungue uelewa kidogo, vitabu hivi vyote vya kiimani, vimeandikwa miaka mingi sana iliyopita, vyote vinaongea kitu kimojo, doing good to humanity, Je waandishi wanaonekana wajinga? Jombaa maadili hayapitwi na wakati, ni yale yale
Labda wew hunielewi mim,, nasema ivo kwa watu watakao kua iko kipind ukawa unafanya mambo ya saiv watasema,unamishe za kizamani
 
Amle yeye sasa
 
Labda wew hunielewi mim,, nasema ivo kwa watu watakao kua iko kipind ukawa unafanya mambo ya saiv watasema,unamishe za kizamani
Mkuu, wewe ndiyo hauelewi, uzi ni wakuchakata mustakabali wa maadili ya vizazi vyetu vijavyo. Maadili yanabaki kuwa maadaili notwithstanding vizazi hivyo vitanichukuliaje.
 
Siku hizi matundu yameongezeka.. Wahuni siku hizi tunaingiza sikioni,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…