mastafeli yote haya saratani inatokea wapi bloangu,mi ni mwendo wa mikandamizo tu kabla sijakwenda kukutana na bikra 70 huko mbinguni na mito yenye kutiririsha mihennessy tuHaha kwani unadhani kuwa na nguvu kipindi cha uzeeni ni kwasababu ujana haujauchezea? Tena mliotulia ndio wenye nafasi kubwa ya kupatwa na matatizo yanayohusiana na ubnormality in sperms secretion bila kusahau saratani za kwenye njia ya uzazi. Kuna umri ambao ni 26 to 45 at least ufanye mara tatu kwa wiki huku ukila chakula kizuri na salama bila kusahau mazoezi. Sasa wewe nenda tofauti na sexologists na wataalamu walioshauri hayo alafu baadae tutajuzana tu na kutouchezea ujana wako.
K haiuzwi na wala haitolewi bure ๐คฃ๐คฃ๐คฃAsichoelewa kuna wauza ngono rasmi na wasio rasmi.
Mwanamke yeyote unayebargain naye bei ya ngono huyo ni mfabiashara ya ngono that's it.
Inauma ukifikiria unalea vizuri alafu toto baadae linakuja kuwa laughing stock of the street.Hii kitu imeshusha sana confidence ya watu wengi kuzaa watoto,...mfano ni Singapore,.....pia hata upendo kwa Watoto, fikilia umekaa na Watoto wako sebleni mara wazo linakuja kichwani vipi mwanangu nae akawa kama wale?,,,..unainuka kwa huzuni kupata stimu ๐บ๐บ๐ป๐๐
InakodishwaK haiuzwi na wala haitolewi bure [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwa hivyo unataka kusema babu zetu huko namtumbo walikua wapigishwa blow job na wake zao?Hata waliojenga pyramids kwa technology Ile ya kuchonga matofali ya mimba yenye ukubwa wa mita 3 upana na urefu wa mita 7 na ku utilise umeme wa nuclear katika plants za kuzalisha dhahabu zaidi ya miaka 470,000 iliyopita sisi kizazi hiki tunawashangaa kwakuwa na hizo technologies. Kama waliweza hayo unadhani hayo madogo unayoyaongelea wewe kuwa na vibrators, sex toy hawakuwa nayo au njia za kujifurahisha zaidi ya hizo mkuu?
Dunia hii has gone several civilisations in many generations, ndiomana nakwambia unaloliona jipya sasa wenzetu walishapitia kitambo
Nimecheka kwa nguvu sana,Inakodishwa
Papuchi inanguvu sana, niliwahi andikaga zamaniK haiuzwi na wala haitolewi bure ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
That was a mere opinion of CiceroWala usipate pressure mkuu,maneno hayo alisema Cicero Miaka 3000 iliyopita,na Leo tupo hapa,,I promise you Hadi mwaka 100000 tutakua hivihivi
Times are bad: children no longer obey their parents and everyone is writing a book'. Cicero.
View attachment 2959274
Balaa sana, siyo watoto tu ata kuwaza mama watoto nyumbani watu wana hangaika naeHii kitu imeshusha sana confidence ya watu wengi kuzaa watoto,...mfano ni Singapore,.....pia hata upendo kwa Watoto, fikilia umekaa na Watoto wako sebleni mara wazo linakuja kichwani vipi mwanangu nae akawa kama wale?,,,..unainuka kwa huzuni kupata stimu ๐บ๐บ๐ป๐๐
Maadili yafundishwe shuleni.Hii kitu imeshusha sana confidence ya watu wengi kuzaa watoto,...mfano ni Singapore,.....pia hata upendo kwa Watoto, fikilia umekaa na Watoto wako sebleni mara wazo linakuja kichwani vipi mwanangu nae akawa kama wale?,,,..unainuka kwa huzuni kupata stimu ๐บ๐บ๐ป๐๐
Tunajifunza nini kutoka kwa rafiki yako?Wanawake tunahadithiana kila kitu, i mean kila kitu. (Sio wote lakini) Wengine kidogo tumejaaliwa filter ya mdomo.
Na pia rafiki yako amekuomba sikio mpatie, inasaidia kupunguza stress na magonjwa ya akili, ndio maana wanawake hatufi mapema.
EwaaaaaaaaInakodishwa
Hatuwezi jifunza kwa kila mtuโฆ i hope hatuko hapa kujudge watu either.Tunajifunza nini kutoka kwa rafiki yako?
Spare me please! ๐Inawezekana hawakufanya hadharani, ila walifanya. Hakuna jipya chini ya jua!
Yaani kama unawaza sana haya mambo, waweza jikuta unafunga kizazi....Inauma ukifikiria unalea vizuri alafu toto baadae linakuja kuwa laughing stock of the street.
Sio hilo tu, hata ushoga utakuwa jambo la kawaida kabisa. Na watafunga ndoa za kidini kama wanavyofanya sasa huko nchi za mabeberu. Inasikitisha lakini ndio ukweli mchungu.Kwamba matumizi yasiyo sahihi ya matundu ya mwili wa mwanamke siyo issue ya maadili kwenye kizazi kijacho?
Unaishutumuje sayansi ili hali unatumia kifaa kilichotengenezwa na sayansi kufikisha ujumbe wako na intaneti ambayo ipo kisayansi? Maadili ni nini na maadili ya kweli ni yapi na mnajuaje ndo maadili na mengine si maadiliUwezo wangu mdogo unaniambia science na technologia inaogeza mmomonyoko wa maadili kwa kasi sasa kuliko hata karne iliyopita
ukikua utajuaUnaishutumuje sayansi ili hali unatumia kifaa kilichotengenezwa na sayansi kufikisha ujumbe wako na intaneti ambayo ipo kisayansi? Maadili ni nini na maadili ya kweli ni yapi na mnajuaje ndo maadili na mengine si maadili