Ndugu usinibadilishie kibao. Yaani usinigeuzie kibao na wakati huo huo kuongeza upotoshaji. Ati mie ndiye ninaye hubiri Siasa za Chuki na Ubaguzi My Records tell it all.
Nyie CHADEMA narudia, Nyie CHADEMA ndiye mnaotumia Lugha na maneno ya Kibaguzi Hapa Jamvini na kwingineko. Mnatumia mbinu na misamiati ya Wabaguzi na Mabebere ya kuwabagua Kabila la Wasukuma, tena kwa kuwadhalilisha na kuwashushia heshima yao, yaani mnaenda kuwashusha na kuwaita "Sukuma Gang" Kweli?
Yaani tukianza kumtafuta mchawi hapa ni Nyie CHADEMA kwani msamiati wa unaohusiana na "Gang" hutumika na wazungu mabeberu yaani Racist Bigots ambao wameapa kufanya kila wawezwalo kuangamiza Watu weusi, hiyo siyo siri dhidi ya Watu weusi, hilo halipingiki. Sasa kwaavile CHADEMA wameafiki kutumiwa na mamluki(mabeberu)katika vita yao ya Kisaikilojia Dhidi ya Watu weusi, that is to say with constant and relentless Psychological Bombardment against all those that may not bow and or get on their knees and or kiss the White man's feet just like What the Late President did. Vita kati ya Hayati Raisi na Mabeberu wa Kizungu ilikuwa wazi. Mnachokifanya ni kutumia mitifuano ya kawaida ya kisiasa na kuikuza. Mnachokifanya ni kutumia mbinu chafu-Kutengeneza mazingira yanayonyesha kutokua na Usalama wa Watu, Mali na mengineyo kwa kuunga matukio ya kawaida na kumsingizia Mtu mmoja. Hayati Raisi Magufuli kana ndiye aliyafanya mwenyewe, sasa Hayupo lakini mnajua kuwa Wananchi walifunguliwa macho, hilo nalo hamtaki na mmeapa kuwa mtalizima....Aisee yaani hata akitokea mtu na hoja yake ya mazuri aliyoyaona, mnamshambulia kwa kuunganisha Kabila la Hayati na Matukio yote yaliyowahi kutokea, yaani kuanzia kwa kufutwa mikataba mpaka hata kifo cha akwilina. Mkihojiwa, mnabadilisha maana, ohh ni wale wasiojulikana, mara ni wale wanao wanaua tu, mara ni wale waliokuwa kwenye Serikali yake, mara sijui nini, yaani ni "propaganda hasi" na hasi juu ya yeyote yule antakaye kuwa na fikra za Kujikomboa kutoka minyororo ya Kitumwa, yaani siamini haya yanaendelea ila yanafanyika- vitu ambavyo Hayati Raisi adamantly alikuwa akisistiza. Alikuwa Mkweli kusema 'Watanzania tunaweza' sasa mnatumia kabila lake, mnawabeza, mnawazodoa, mnawadhihaki kiasi cha kufika mtu aseme yeye siyo Msukuma yaani aji deassociate na Kabila lake kwaavile hataki kuitwa "Gang".... na aendlee kusema hawezi fanya lelote lile for christ sake mkamwingiza mpaka 'Mungu' kwenye hili...Mlaaniwe. Sasa CHADEMA wakubali au wakatae wao ndio vinara wa Propaganda hii, yaani mpaka illifikia mpaka Mwenyekiti wa CHADEMA kusema acheni, lakini bado mnaendelea kuleta siasa za chuki na za Kibaguzi, kuna Nyuzi humu mkadai Kaskazini iwe Nchi nyingine! yaani mkaanza seccesionist propaganda, mkagota, nini kitawasimamisha Kuja kuangamiza Jamii nzima ya Msukuma? pale Mkipata Dola? Kulimaliza Kabila zima la Wasukuma? UONGOZI wa CHADEMA nao wamo kuchagiza chuki. They are Complicit in this apparent Psych Operation! The mere association is bad, it has a profound and negative effect on the mental psyche of the ordinary Tanzanian let alone the whole Wasukuma tribe hata kwa wale ambao hawakuhusika moja kwa moja.. Wacheni!
Wacheni Ugaidi na Kupandikiza Chuki Tanzania. Nasema hivi wacheni. You need to cease and desist. Afterall atakaye kuja kupata athari na madhara, madhara makubwa na hasi ni wale wanaofaidika na Kampeni hizi. CHADEMA
Wacheni Propaganda za Kitoto, mnataka vita?