APPROXIMATELY
JF-Expert Member
- Aug 10, 2021
- 2,035
- 2,715
Nimejifunza kuwa duniani binadamu hatupo sawa,hakuna kitu kama hicho kama huna huna tu hakuna atakaye kusaidia,kilambuzi atakula urefu wa kamba yake,,nimejifunza nipambane mwenyewe nisimtegemee mtu yeyote,na mtu akinipa ahadi ya kunipa pesa nisimuamini nichukulie powah tu