APPROXIMATELY
JF-Expert Member
- Aug 10, 2021
- 2,035
- 2,715
😂😂😂😂😂 Umeandika ukiwa na hali gani...?Nimejifunza kuwa duniani binadamu hatupo sawa,hakuna kitu kama hicho kama huna huna tu hakuna atakaye kusaidia,kilambuzi atakula urefu wa kamba yake,,nimejifunza nipambane mwenyewe nisimtegemee mtu yeyote,na mtu akinipa ahadi ya kunipa pesa nisimuamini nichukulie powah tu
Hali ya kutumuamini mtu yeyote😂😂😂😂😂 Umeandika ukiwa na hali gani...?
Namanisha sasa hvi upo na mood gani...?Hali ya kutumuamini mtu yeyote
Nipo kawaida sanaNamanisha sasa hvi upo na mood gani...?
Sawa sawa nikiwa kama mchambuzi kutoka BAKITA. Itabidi utupe mshindo nyuma wa hayo uliyo andikaNipo kawaida sana
Binadamu wa sasa hivi,sio kama zamani inatakiwa kuishi nao kwa akili sanaSawa sawa nikiwa kama mchambuzi kutoka BAKITA. Itabidi utupe mshindo nyuma wa hayo uliyo andika
Mmmh hapana ... Prove it1. Uwezi pata kila unachohitaji
2. Unaweza ukajituma na Bado usitoboe
3. People can smile in front of you, and still mock you from inside.
4. 1 +1 sio kila siku ni 2
Unaongea kitu kinachoitwa VVT an Vice Verse is True 🤣🤣🤣🤝🤝🤝Usimuamini mwanaume anaefanya kazi karibu na mwanamke. Atakusnichi tu one day hasa kama huyo mwanamke ni bosi wenu.
Yaani hapa nakuelewa vizuri sana MwambaNimejifunza kuwa duniani binadamu hatupo sawa,hakuna kitu kama hicho kama huna huna tu hakuna atakaye kusaidia,kilambuzi atakula urefu wa kamba yake,,nimejifunza nipambane mwenyewe nisimtegemee mtu yeyote,na mtu akinipa ahadi ya kunipa pesa nisimuamini nichukulie powah tu
Yaaan hapa sijapata kituPia nimejifunza "Fortune favor the brave"
Kwani ukimchinja mbuzi akilia meee anaomba msaada kuna anaye msaidia??basi binadamu hakuna atakaye kusaidia zaidi ya vimsaada vya kipambe ambavyo mtu anakusaidia mwisho wa siku anakusengenya yanini kuku saidia,bora kufa tu maana kila mtu atakufa,tutakuwa uncountable kwa yote tunayofanya hapa duniani https://jamii.app/JFUserGuide lifeeeYaani hapa nakuelewa vizuri sana Mwamba
Bahati huwapa kipaumbele wenye akiliYaaan hapa sijapata kitu
Majaliwa.... UnamanishaBahati huwapa kipaumbele wenye akili
Kwahyo hata wewe tusikuaminiUaminifu ni tunu kubwa Sana Sana ....usiitegemee kutoka Kwa yeyote Kwa asilimia 100%