Sana kila mtu alikuwa juu, wa moto, Nyumba haikaliki....Miaka 18 ni mingi Sana mkuu
amenitoa mbali mno,mkuu aanza wewe
so wewe ni mbungeamenitoa mbali mno,
kumbuka nilienda kugombea ubunge kwa mara ya kwanza nina tsh laki5 pekee mfukoni. ugumu niliokumbana nao alinionyesha njia na kunifanyia wepesi nikavuka salama, fedheha na aibu nilizopitia ni Mungu pekee alinifuta machozi na kunipa ujasiri wa kutokukata tamaa, bidii na nguvu za kupambana bila kuchoka....
naamini huyu Mungu aliona na alijua nia na dhamira ya Moyo wangu kwa wanaichi, na hata akanishika mkono.....
Mpendwa,
leo hii, hivi nilivyo ni kwa Nguvu ,Neema na Baraka za Mungu tu , na wala sio kwa ujanja wangu...
tuendelee kumuamini, kumshukuru kwa sadaka na shukrani, kumtumaini, kutubu na kuambatana nae, na daima tumtegemee yeye pekee, kwa ni anaweza yote katika wote wamwaminio 🐒
HatariZawadi ya uhai na kuweza kumaliza 2yrs nikiwa bachelor after 18yrs relationship.
Hawa viumbe. I have a tale to tellHatari
Cha kwanza kuniumba mwanaume Cha pili kunijalia kuipata riziki kwa wepesi kwani sihangaiki kuipata kama watu wengineAchilia mbali zawadi ya uhai, afya na maisha aliyokujalia na bado anakukirimia wewe na mimi bure bila malipo wala gharama yoyote....
Nafahamu, Mungu amekutendea mambo mengi mno maishani mwako, na huenda ukiulizwa kuyasema, kwasababu ya muda na ufinyu wa platforms, usimalize kuyaorodhesha yote...
Hebu mbele ya hadhara hii ya familia ya wanaJF,
Shuhudia matendo mema na makuu ya Mungu kwa uchache, alioyokutendea maishani mwako, ili kwa pamoja kama watoto wa Mungu, tushuhudie sifa na utukufu wake kwa watoto wake katika ulimwengu huu....
Neema na Baraka za Mungu, ziandamane na kuambatana nawe daima, katika familia yako, kazi na majukumu yako ya kila siku daima na milele....
Amen..
Kwanza kabisa, thibitisha Mungu yupo.Achilia mbali zawadi ya uhai, afya na maisha aliyokujalia na bado anakukirimia wewe na mimi bure bila malipo wala gharama yoyote....
Nafahamu, Mungu amekutendea mambo mengi mno maishani mwako, na huenda ukiulizwa kuyasema, kwasababu ya muda na ufinyu wa platforms, usimalize kuyaorodhesha yote...
Hebu mbele ya hadhara hii ya familia ya wanaJF,
Shuhudia matendo mema na makuu ya Mungu kwa uchache, alioyokutendea maishani mwako, ili kwa pamoja kama watoto wa Mungu, tushuhudie sifa na utukufu wake kwa watoto wake katika ulimwengu huu....
Neema na Baraka za Mungu, ziandamane na kuambatana nawe daima, katika familia yako, kazi na majukumu yako ya kila siku daima na milele....
Amen..
Hivi Kiswahili hujui kusoma? Utakuwa umezaliwa uzunguni, ama?Ndiyo Mungu wako?
Utaanza lini kuutangaza sasa?Kumponya mama yangu mzazi, kwa kweli Mungu yupo namshukuru sana na utukufu wake nitautangaza popote.