Mpaka sasa unamshukuru Mungu kwa jambo gani kuu alilokutendea maishani mwako?

Mpaka sasa unamshukuru Mungu kwa jambo gani kuu alilokutendea maishani mwako?

mkuu aanza wewe
amenitoa mbali mno,
kumbuka nilienda kugombea ubunge kwa mara ya kwanza nina tsh laki5 pekee mfukoni. ugumu niliokumbana nao alinionyesha njia na kunifanyia wepesi nikavuka salama, fedheha na aibu nilizopitia ni Mungu pekee alinifuta machozi na kunipa ujasiri wa kutokukata tamaa, bidii na nguvu za kupambana bila kuchoka....

naamini huyu Mungu aliona na alijua nia na dhamira ya Moyo wangu kwa wanaichi, na hata akanishika mkono.....

Mpendwa,
leo hii, hivi nilivyo ni kwa Nguvu ,Neema na Baraka za Mungu tu , na wala sio kwa ujanja wangu...

tuendelee kumuamini, kumshukuru kwa sadaka na shukrani, kumtumaini, kutubu na kuambatana nae, na daima tumtegemee yeye pekee, kwani anaweza yote katika wote wamwaminio 🐒
 
amenitoa mbali mno,
kumbuka nilienda kugombea ubunge kwa mara ya kwanza nina tsh laki5 pekee mfukoni. ugumu niliokumbana nao alinionyesha njia na kunifanyia wepesi nikavuka salama, fedheha na aibu nilizopitia ni Mungu pekee alinifuta machozi na kunipa ujasiri wa kutokukata tamaa, bidii na nguvu za kupambana bila kuchoka....

naamini huyu Mungu aliona na alijua nia na dhamira ya Moyo wangu kwa wanaichi, na hata akanishika mkono.....

Mpendwa,
leo hii, hivi nilivyo ni kwa Nguvu ,Neema na Baraka za Mungu tu , na wala sio kwa ujanja wangu...

tuendelee kumuamini, kumshukuru kwa sadaka na shukrani, kumtumaini, kutubu na kuambatana nae, na daima tumtegemee yeye pekee, kwa ni anaweza yote katika wote wamwaminio 🐒
so wewe ni mbunge
 
Achilia mbali zawadi ya uhai, afya na maisha aliyokujalia na bado anakukirimia wewe na mimi bure bila malipo wala gharama yoyote....

Nafahamu, Mungu amekutendea mambo mengi mno maishani mwako, na huenda ukiulizwa kuyasema, kwasababu ya muda na ufinyu wa platforms, usimalize kuyaorodhesha yote...

Hebu mbele ya hadhara hii ya familia ya wanaJF,
Shuhudia matendo mema na makuu ya Mungu kwa uchache, alioyokutendea maishani mwako, ili kwa pamoja kama watoto wa Mungu, tushuhudie sifa na utukufu wake kwa watoto wake katika ulimwengu huu....

Neema na Baraka za Mungu, ziandamane na kuambatana nawe daima, katika familia yako, kazi na majukumu yako ya kila siku daima na milele....

Amen..
Cha kwanza kuniumba mwanaume Cha pili kunijalia kuipata riziki kwa wepesi kwani sihangaiki kuipata kama watu wengine
 
Achilia mbali zawadi ya uhai, afya na maisha aliyokujalia na bado anakukirimia wewe na mimi bure bila malipo wala gharama yoyote....

Nafahamu, Mungu amekutendea mambo mengi mno maishani mwako, na huenda ukiulizwa kuyasema, kwasababu ya muda na ufinyu wa platforms, usimalize kuyaorodhesha yote...

Hebu mbele ya hadhara hii ya familia ya wanaJF,
Shuhudia matendo mema na makuu ya Mungu kwa uchache, alioyokutendea maishani mwako, ili kwa pamoja kama watoto wa Mungu, tushuhudie sifa na utukufu wake kwa watoto wake katika ulimwengu huu....

Neema na Baraka za Mungu, ziandamane na kuambatana nawe daima, katika familia yako, kazi na majukumu yako ya kila siku daima na milele....

Amen..
Kwanza kabisa, thibitisha Mungu yupo.
 
Back
Top Bottom