Mpaka sasa Urusi imepoteza majenerali zaidi ya 20, hii haijawahi kutokea

Mpaka sasa Urusi imepoteza majenerali zaidi ya 20, hii haijawahi kutokea

Upande wa pili hata wangekufa wote,wamefia nyumbani na wanazikwa nyumbani.Tatizo ni kufa na kuliwa na sisimizi
kwenye ardhi ya jirani yako.
Achana na ProRussia ,Warusi wa mchongo toka Buza .Hawa watu wameshasahau lengo lao la toka mwanzo huko Ukraine.Labda niwakumbushe",Wao pamoja na Putin ilikuwa waichukue Kyiv kwa muda wa siku tatu,wakitaka raisi wa Ukraine, Zenensky, ajisalimishe au aikimbie nchi,huku wakipanga vifaru urefu wa kilometa 64."Sijui mpango wao huu umeishia wapi?Manake inaendea mwaka sasa toka vita vianze ,Kyiv haijatwaliwa na wao na raisi Zenensky bado ni raisi wa Ukraine,mbaya zaidi vile vifaru vyao sijui vilipotelea wapi!
 
Haya Mambo bwana yanachanganya ubongo kweli, ukiangalia kwenye tv unaona Ukraine imebomolewa Kila Kona na majeshi ya Urusi hali ya kuwa Urusi yenyewe iko poa tu watu na mishe zao Kama kawa, lakini wataalamu wengi wa Mambo ya kivita humu jamvini wanasema Urusi inapigwa ki mbwa Koko! hapo Sasa ndo nabaki naduwaa mbele na nyuma.
Kingine Urusi kushuka kiuchumi baada ya vita kuisha wakati yeye ndio atakuwa na misosi kwakuwa tumekatazwa kununua kwake na nguvu ya kuwa na misosi wa kutosha ndio iliipa nguvu Marekani miaka ile! hapo Sasa ndio nachanganyikiwa zaidi.




MAGUFULI4LIFE.
 
WARUSI WANALO:Vikosi vya UKRAINE vyatua Ubelgiji kujifunza matumizi ya "DRONES"za chini ya maji!
My Take:Meli za Urusi zilizopo Black Sea zijiandae!
...........
Ukrainian military arrived in Belgium to get trained on the use of underwater drones, the Belgian Ministry of Defense reported.
The Minister of Defense Ludivine Dedonder personnally welcomed them.
330785200_854531778970618_7352838095882295252_n.png
 
Haya Mambo bwana yanachanganya ubongo kweli, ukiangalia kwenye tv unaona Ukraine imebomolewa Kila Kona na majeshi ya Urusi hali ya kuwa Urusi yenyewe iko poa tu watu na mishe zao Kama kawa, lakini wataalamu wengi wa Mambo ya kivita humu jamvini wanasema Urusi inapigwa ki mbwa Koko! hapo Sasa ndo nabaki naduwaa mbele na nyuma.
Kingine Urusi kushuka kiuchumi baada ya vita kuisha wakati yeye ndio atakuwa na misosi kwakuwa tumekatazwa kununua kwake na nguvu ya kuwa na misosi wa kutosha ndio iliipa nguvu Marekani miaka ile! hapo Sasa ndio nachanganyikiwa zaidi.




MAGUFULI4LIFE.
Imf wamesema Uchumi wa Urusi unaimarika na Mwaka huu utafanya vizuri
 
Maneno kibao uhalisia hola au ndio mnajifariji
Hivi amuoni kila siku zele anaomba omba na mpaka anathibitisha hali ni mbaya
Wewe nani tukusikilize

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Leo DW wamedai kua mrusi karusha makombora 70, wamefanikiwa kudungua makombora 61, makombora 9 yameleta uhalibifu mkubwa sehemu mbalimbali za nchi
 
WARUSI WANALO:Vikosi vya UKRAINE vyatua Ubelgiji kujifunza matumizi ya "DRONES"za chini ya maji!
My Take:Meli za Urusi zilizopo Black Sea zijiandae!
...........
Ukrainian military arrived in Belgium to get trained on the use of underwater drones, the Belgian Ministry of Defense reported.
The Minister of Defense Ludivine Dedonder personnally welcomed them.
330785200_854531778970618_7352838095882295252_n.png
Dah!...hivi Vita sio vya kumalizika hivi karibuni...Urusi kayakanyaga
 
Kando na kupoteza wanajeshi 135,000 Urusi pia imepoteza majenerali zaidi ya 20, supapawa ameingia aibu hadi basi tu na yupo bado anapambana kuteka kamji ka chumvi hukooooo!!!!

More than 20 Russian generals have already been killed in Russia’s war against Ukraine, Japanese newspaper Nikkei Asia reported on Feb. 9, citing Japanese intelligence.
Retired Japanese general and former chief of staff of the Japanese Ground Self-Defense Forces, Kiyofumi Iwata, called these figures “unbelievably high”, and speculated that they are affecting the morale of the Russian military.
At the beginning of the full-scale invasion, a number of high-ranking Russian military figures were said to have been eliminated thanks to Ukrainian tracking of cell phone signals. The Russian military has since attempted to enforce bans on mobile phone usage in the field.
Ukrainian partisans account for another portion of the slain Russian generals, the Japanese said.

“There may be informants in the two eastern regions giving information to Ukraine,” Iwata added, referring to Donetsk and Luhansk oblasts, both of which are partially occupied by the enemy.

According to the Ukrainian General Staff, since the beginning of the full-scale invasion, Russia has lost more than 135,000 of its military personnel.
Ukraine kapoteza wangapi
 
It’s Russia against the world

Congrats to them for keeping their message intact
 
It’s Russia against the world

Congrats to them for keeping their message intact

Waambie Warusi wapambane kunyakua hako kamji ka chumvi kwanza ndio mseme against the world.
 
Kando na kupoteza wanajeshi 135,000 Urusi pia imepoteza majenerali zaidi ya 20, supapawa ameingia aibu hadi basi tu na yupo bado anapambana kuteka kamji ka chumvi hukooooo!!!!

More than 20 Russian generals have already been killed in Russia’s war against Ukraine, Japanese newspaper Nikkei Asia reported on Feb. 9, citing Japanese intelligence.
Retired Japanese general and former chief of staff of the Japanese Ground Self-Defense Forces, Kiyofumi Iwata, called these figures “unbelievably high”, and speculated that they are affecting the morale of the Russian military.
At the beginning of the full-scale invasion, a number of high-ranking Russian military figures were said to have been eliminated thanks to Ukrainian tracking of cell phone signals. The Russian military has since attempted to enforce bans on mobile phone usage in the field.
Ukrainian partisans account for another portion of the slain Russian generals, the Japanese said.

“There may be informants in the two eastern regions giving information to Ukraine,” Iwata added, referring to Donetsk and Luhansk oblasts, both of which are partially occupied by the enemy.

According to the Ukrainian General Staff, since the beginning of the full-scale invasion, Russia has lost more than 135,000 of its military personnel.
Hahaaa!!Hali imeshakuwa tete huko,Kiongozi wa kundi la wagner amesema kuwa urusi kuchukua tu baadhi ya maeneo ya ukraine inahitaji miaka 2!!!
 
Back
Top Bottom