Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ametaka au amelazimishwa?Tangu nimeanza kutumia infinix nimegundua ukichaa wa zelensky kutaka kupigana vita kwa vijisilaha vya kuomba omba
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ameamua kukomaa mpaka tamatiBabu Putingo kashachemka kitambo huyo mzee, ila basi tu anaona aibu kusurrender.
Ukizikwa nyumban hata kuoza hauozi[emoji16][emoji23][emoji16]Upande wa pili hata wangekufa wote,wamefia nyumbani na wanazikwa nyumbani.Tatizo ni kufa na kuliwa na sisimizi
kwenye ardhi ya jirani yako.
Kama mabeberu walivyotumia ujasusi pale IRAQ na VIETNAMyale magari km 64 sijui yameishia wapi. yani Urusi katika kitu amechemsha ni hii vita bora angetumia ujasusi kupandikiza kibaraka ukrein.
kama mabeberu wanavyofanya, kulipo kumwaga damu nyingi namna hii.
HowPonapona ya warusi ni ''Putin kuwa neutralized'' vinginevyo watajikuta wapo pabaya zaidi!
Achana na ProRussia ,Warusi wa mchongo toka Buza .Hawa watu wameshasahau lengo lao la toka mwanzo huko Ukraine.Labda niwakumbushe",Wao pamoja na Putin ilikuwa waichukue Kyiv kwa muda wa siku tatu,wakitaka raisi wa Ukraine, Zenensky, ajisalimishe au aikimbie nchi,huku wakipanga vifaru urefu wa kilometa 64."Sijui mpango wao huu umeishia wapi?Manake inaendea mwaka sasa toka vita vianze ,Kyiv haijatwaliwa na wao na raisi Zenensky bado ni raisi wa Ukraine,mbaya zaidi vile vifaru vyao sijui vilipotelea wapi!Upande wa pili hata wangekufa wote,wamefia nyumbani na wanazikwa nyumbani.Tatizo ni kufa na kuliwa na sisimizi
kwenye ardhi ya jirani yako.
Ngoja tuone.Ameamua kukomaa mpaka tamati
Imf wamesema Uchumi wa Urusi unaimarika na Mwaka huu utafanya vizuriHaya Mambo bwana yanachanganya ubongo kweli, ukiangalia kwenye tv unaona Ukraine imebomolewa Kila Kona na majeshi ya Urusi hali ya kuwa Urusi yenyewe iko poa tu watu na mishe zao Kama kawa, lakini wataalamu wengi wa Mambo ya kivita humu jamvini wanasema Urusi inapigwa ki mbwa Koko! hapo Sasa ndo nabaki naduwaa mbele na nyuma.
Kingine Urusi kushuka kiuchumi baada ya vita kuisha wakati yeye ndio atakuwa na misosi kwakuwa tumekatazwa kununua kwake na nguvu ya kuwa na misosi wa kutosha ndio iliipa nguvu Marekani miaka ile! hapo Sasa ndio nachanganyikiwa zaidi.
MAGUFULI4LIFE.
Leo DW wamedai kua mrusi karusha makombora 70, wamefanikiwa kudungua makombora 61, makombora 9 yameleta uhalibifu mkubwa sehemu mbalimbali za nchiManeno kibao uhalisia hola au ndio mnajifariji
Hivi amuoni kila siku zele anaomba omba na mpaka anathibitisha hali ni mbaya
Wewe nani tukusikilize
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Dah!...hivi Vita sio vya kumalizika hivi karibuni...Urusi kayakanyagaWARUSI WANALO:Vikosi vya UKRAINE vyatua Ubelgiji kujifunza matumizi ya "DRONES"za chini ya maji!
My Take:Meli za Urusi zilizopo Black Sea zijiandae!
...........
Ukrainian military arrived in Belgium to get trained on the use of underwater drones, the Belgian Ministry of Defense reported.
The Minister of Defense Ludivine Dedonder personnally welcomed them.
![]()
Ukraine kapoteza wangapiKando na kupoteza wanajeshi 135,000 Urusi pia imepoteza majenerali zaidi ya 20, supapawa ameingia aibu hadi basi tu na yupo bado anapambana kuteka kamji ka chumvi hukooooo!!!!
More than 20 Russian generals have already been killed in Russia’s war against Ukraine, Japanese newspaper Nikkei Asia reported on Feb. 9, citing Japanese intelligence.
Retired Japanese general and former chief of staff of the Japanese Ground Self-Defense Forces, Kiyofumi Iwata, called these figures “unbelievably high”, and speculated that they are affecting the morale of the Russian military.
At the beginning of the full-scale invasion, a number of high-ranking Russian military figures were said to have been eliminated thanks to Ukrainian tracking of cell phone signals. The Russian military has since attempted to enforce bans on mobile phone usage in the field.
Ukrainian partisans account for another portion of the slain Russian generals, the Japanese said.
“There may be informants in the two eastern regions giving information to Ukraine,” Iwata added, referring to Donetsk and Luhansk oblasts, both of which are partially occupied by the enemy.
According to the Ukrainian General Staff, since the beginning of the full-scale invasion, Russia has lost more than 135,000 of its military personnel.
![]()
Russia already lost over 20 generals in war against Ukraine, believes Japanese intelligence
More than 20 Russian generals have already been killed in Russia’s war against Ukraine, Japanese newspaper Nikkei Asia reported on Feb. 9, citing Japanese intelligence.english.nv.ua
Hahaaa!!Hali imeshakuwa tete huko,Kiongozi wa kundi la wagner amesema kuwa urusi kuchukua tu baadhi ya maeneo ya ukraine inahitaji miaka 2!!!Kando na kupoteza wanajeshi 135,000 Urusi pia imepoteza majenerali zaidi ya 20, supapawa ameingia aibu hadi basi tu na yupo bado anapambana kuteka kamji ka chumvi hukooooo!!!!
More than 20 Russian generals have already been killed in Russia’s war against Ukraine, Japanese newspaper Nikkei Asia reported on Feb. 9, citing Japanese intelligence.
Retired Japanese general and former chief of staff of the Japanese Ground Self-Defense Forces, Kiyofumi Iwata, called these figures “unbelievably high”, and speculated that they are affecting the morale of the Russian military.
At the beginning of the full-scale invasion, a number of high-ranking Russian military figures were said to have been eliminated thanks to Ukrainian tracking of cell phone signals. The Russian military has since attempted to enforce bans on mobile phone usage in the field.
Ukrainian partisans account for another portion of the slain Russian generals, the Japanese said.
“There may be informants in the two eastern regions giving information to Ukraine,” Iwata added, referring to Donetsk and Luhansk oblasts, both of which are partially occupied by the enemy.
According to the Ukrainian General Staff, since the beginning of the full-scale invasion, Russia has lost more than 135,000 of its military personnel.
![]()
Russia already lost over 20 generals in war against Ukraine, believes Japanese intelligence
More than 20 Russian generals have already been killed in Russia’s war against Ukraine, Japanese newspaper Nikkei Asia reported on Feb. 9, citing Japanese intelligence.english.nv.ua