Mpaka sasa Urusi imepoteza majenerali zaidi ya 20, hii haijawahi kutokea

Mpaka sasa Urusi imepoteza majenerali zaidi ya 20, hii haijawahi kutokea

Mnafiki tu we unaonekana una roho mbaya sana,, yani uchi za wazi wazi uzi hauhusiani na mambo ya dini lkn lazima uweke mambo ya dini,,, kwani ndo mnavyofundushwa hivyo makanisani
Mkuu samahani,makanisani hatufundishwi hayo na niseme tu huyo sio mkristu!Angekuwa mkristu basi asingekuwa anabehave namna anavyobehave!
Dalili alizonazo ni za mtu aliyekosa malezi mazuri kuanzia ngazi ya familia,dini na hata kwenye upande wa elimu!
 
Achana na ProRussia ,Warusi wa mchongo toka Buza .Hawa watu wameshasahau lengo lao la toka mwanzo huko Ukraine.Labda niwakumbushe",Wao pamoja na Putin ilikuwa waichukue Kyiv kwa muda wa siku tatu,wakitaka raisi wa Ukraine, Zenensky, ajisalimishe au aikimbie nchi,huku wakipanga vifaru urefu wa kilometa 64."Sijui mpango wao huu umeishia wapi?Manake inaendea mwaka sasa toka vita vianze ,Kyiv haijatwaliwa na wao na raisi Zenensky bado ni raisi wa Ukraine,mbaya zaidi vile vifaru vyao sijui vilipotelea wapi!
Na mbaya zaidi raisi wa Ukraine yupo free hadi anasafiri nje kila mara,huku Putin yupo busy kusafiri na customized train huku akihofia kupinduliwa
 
Mkuu samahani,makanisani hatufundishwi hayo na niseme tu huyo sio mkristu!Angekuwa mkristu basi asingekuwa anabehave namna anavyobehave!
Dalili alizonazo ni za mtu aliyekosa malezi mazuri kuanzia ngazi ya familia,dini na hata kwenye upande wa elimu!
Nimekupata vizuri sana mkuu na samahani kama kuna coment yangu yoyote imekukwaza,, ila huyu jamaa kiukweli ana chuki na uislam na waislam sijapata kuona,, yaani nyuzi zake zote ni matusi na kashfa,, mara nyingine anaweza akacoment matusi na kashfa za kidini hata pasipokuwa na mjadala wa kidini ,, huyu ni mkenya watanzania hatupo hivi kwani wakristo na waislam tunaishi pamoja huku uswahilini bila chuki wala tatizo,,, utamjua mtu huyu muislam au huyu pindi tu atokapo kanisani/msikitini. Lakini tukijichanganya pamoja huwezi kujua..
 
Ndio huyo mmoja ameshapandishwa cheo!
Siku zote Urusi hajawahi kujibu juu ya majenerali mnaodai wamekufa!Sasa kwenye hiyo list yenu tayari imeingia dosari!
Umeumbuka,chutama tu!

Sio tunadai, kweli wamekufa na kuuawa.....
 
Muanzisha uzi ni mfuasi wa upinde🏳️‍🌈
Kaenda kunuanduliwa ,,, si unajua pro USA/NATO +Ukraine wakiongozwa na zele ni mchelemchele,,, ngoja nimwite aje,,, MK254 wale mageneral 20 uliotuambia wameuliwa mmoja kafufuka huku😅😅

Ustadhi Bome-e unajipendekeza kwa huyo ustadhi mwenzio kwamba hukuona alivyonitag hapa akitumia lugha isiyo sahihi, nyie waabudu wa lizee la kiarabu linyanduaji la watoto hamuoni aibu....hehehe mnachkesha sana kwa unafiki wenu.
 
Nimekupata vizuri sana mkuu na samahani kama kuna coment yangu yoyote imekukwaza,, ila huyu jamaa kiukweli ana chuki na uislam na waislam sijapata kuona,, yaani nyuzi zake zote ni matusi na kashfa,, mara nyingine anaweza akacoment matusi na kashfa za kidini hata pasipokuwa na mjadala wa kidini ,, huyu ni mkenya watanzania hatupo hivi kwani wakristo na waislam tunaishi pamoja huku uswahilini bila chuki wala tatizo,,, utamjua mtu huyu muislam au huyu pindi tu atokapo kanisani/msikitini. Lakini tukijichanganya pamoja huwezi kujua..
Kabisa mkuu,hapa nimetoka church nimekutana na mdau wangu ni muislam,tuko tunashtua bia mbili tatu kusogeza muda tukisubiri mechi ya saa 1!
 
Ustadhi Bome-e unajipendekeza kwa huyo ustadhi mwenzio kwamba hukuona alivyonitag hapa akitumia lugha isiyo sahihi, nyie waabudu wa lizee la kiarabu linyanduaji la watoto hamuoni aibu....hehehe mnachkesha sana kwa unafiki wenu.
Niite utakavyo lakini Mimi siwezi kudharau Imani ya mtu!Sijalelewa hivyo!
 
Niite utakavyo lakini Mimi siwezi kudharau Imani ya mtu!Sijalelewa hivyo!

Imani ndio inafanya muwe mazombi, la sivyo mngeishi na wengine kwa amani...
hapo ulipoona ustadhi mwenzio katukana, hukusema kitu ila alipojibiwa ukaja ukilialia...humu nitaawadabisha...hehehe
 
Ustadhi Bome-e unajipendekeza kwa huyo ustadhi mwenzio kwamba hukuona alivyonitag hapa akitumia lugha isiyo sahihi, nyie waabudu wa lizee la kiarabu linyanduaji la watoto hamuoni aibu....hehehe mnachkesha sana kwa unafiki wenu.
Sasa hapa nilipokutag dini inaingia wapi?? Je ni mara ngapi hata wakristo wanawaita nyie pro Ukraine+NATO/USA wafuasi wa LGBT yani mashoga,,, kuna suala la udini hapa
 
Hata wangeisha Russia wote ila west [emoji304]wamevuliwa nguo wapuuzi hawana nguvu yoyote maboya tu
 
Yale magari km 64 sijui yameishia wapi. yani Urusi katika kitu amechemsha ni hii vita bora angetumia ujasusi kupandikiza kibaraka Ukraine.

Kama mabeberu wanavyofanya, kulipo kumwaga damu nyingi namna hii.
Mabeberu wamemwaga damu Libya Iraq siria sehemu nyingi bila sababu ya msingi
 
Niite utakavyo lakini nikwambie tu,upendo ndio nguzo kuu ya ukristo!

Hauwezi ukaiga ukristo, ungekua Mkristo kwanza usingekua unashabikia Urusi kuiba Crimea kwenye nchi ya watu na kuendelea kuwaua.
Hata hivyo mwisho wa siku nilijibu matusi ya ustadhi mwenzio ambayo ulijifanya hujayaona wakati ulianza kulialia.
 
Back
Top Bottom