Sasa hapa nilipokutag dini inaingia wapi?? Je ni mara ngapi hata wakristo wanawaita nyie pro Ukraine+NATO/USA wafuasi wa LGBT yani mashoga,,, kuna suala la udini hapa
Ni wakristo wangapi humu wanawaita pro Ukraine+NATO LGBT,, na wewe ushasikia au kuona huko kwenye mtu kajilipua sababu ya dini,, wewe una roho mbaya na chuki na sidhani hata kama mtu anakuomba maji ya kunywa akiwa muislam unaweza kumsaidia,, njoo utumbee siku moja Tanzania uone wakristo na waislam wanavyoishi huku kwa upendo kabisa,,, yani wewe mtu akipinga tu ushoga basi huyo ni muislam na utaanza matusi mara mtume kaoa mtoto mara mtume kaoa wake wengi,,, jitathmini hata hiyo dini sidhani kama ndo inafundisha chuki na roho mbaya ili uende mbinguni,,,Dini ndio tatizo lenu, ndio sehemu laana yenu ilianzia, hapo ulinitag kwa matusi ambayo ndio mnafahamika kwenye dini yenu, hivyo ilibidi nikujibu kwa kiwango hicho hicho na kukumbushia laana yenu ilipoanzia hata kama huyo ustadhi mwenzio analialia....maana dini yenu imejaa chuki ya watu kujilipua mabomu.
Matusi ni hulka Yako,sijawahi kukutukana lakini kama una kumbukumbu nzuri,ulishawahi nitolea maneno makali ya kuudhi kabla!Hauwezi ukaiga ukristo, ungekua Mkristo kwanza usingekua unashabikia Urusi kuiba Crimea kwenye nchi ya watu na kuendelea kuwaua.
Hata hivyo mwisho wa siku nilijibu matusi ya ustadhi mwenzio ambayo ulijifanya hujayaona wakati ulianza kulialia.
Sawa,ila kwenye hao wengi,mmoja kafufuka!Hamuwezi kutuonyesha maana tumeua wengi.
Ni wakristo wangapi humu wanawaita pro Ukraine+NATO LGBT,, na wewe ushasikia au kuona huko kwenye mtu kajilipua sababu ya dini,, wewe una roho mbaya na chuki na sidhani hata kama mtu anakuomba maji ya kunywa akiwa muislam unaweza kumsaidia,, njoo utumbee siku moja Tanzania uone wakristo na waislam wanavyoishi huku kwa upendo kabisa,,, yani wewe mtu akipinga tu ushoga basi huyo ni muislam na utaanza matusi mara mtume kaoa mtoto mara mtume kaoa wake wengi,,, jitathmini hata hiyo dini sidhani kama ndo inafundisha chuki na roho mbaya ili uende mbinguni,,,
Matusi ni hulka Yako,sijawahi kukutukana lakini kama una kumbukumbu nzuri,ulishawahi nitolea maneno makali ya kuudhi kabla!
Nikafunika kombe,yakapita!
Tatizo lenu kila ambaye Yuko upande wa Russia basi mnampatia na dini!
Kama wewe ni mkristu basi epuka hayo uyatendayo,uoshwe Kwa damu ya kondoo!
Mimi ni mkristu,nilibatizwa lakini pia nikapata kipaimara!So usinipe dini ambayo so yangu kisa tu Niko tofauti na wewe kimawazo!Kuwakumbushia mlivyo na laana ya chuki kwenye dini yenu sio tusi, tumeshuhudia mkiua na kuchinja wakristo, haijatokea hata siku moja nikakutusi humu, mimi huwakumbushia tu mlivyo.
Sawa,ila kwenye hao wengi mliowataja,mmoja kafufuka na kupewa cheo!Ni aibu sana kwa supapawa kupoteza majenerali wengi kihivyo...tena kwa kainchi kadogo.
Sio mmoja, mpaka sasa ni wawili. Kuna huyu wa juzi na kuna Vitaly Gerasimov ambae kwa mujibu wa The Independent wakiwanukuu maafisa wa Ukraine walidai huyu nae kauwawaSawa,ila kwenye hao wengi mliowataja,mmoja kafufuka na kupewa cheo!
Mimi ni mkristu,nilibatizwa lakini pia nikapata kipaimara!So usinipe dini ambayo so yangu kisa tu Niko tofauti na wewe kimawazo!
Sisi huju Tanzania,wakristu na waislamu tunaishi vema kabisa!
Ondoa hizo chuki na utafutahia maisha!Ukiona Umeshindwa kabisa kamuone daktari wa maswala ya saikolojia,huenda una tatizo kubwa bila wewe kujijua!