kitalembwa
JF-Expert Member
- Jul 12, 2014
- 3,607
- 9,430
Nenda kwa mtendaji ukiwa na huo mkataba,,, ukiona hakuna ushirikiano, nenda police,,, wape kitu kidogo like 50k, waje hapo, mvunje nyumba, mtoe vitu vyote vivilvyopo na viandikishwe chini ya uangalizi wa police ! Simple