Mgaa gaa upwa
Senior Member
- Jan 11, 2024
- 180
- 281
Sema inabidi serikali imtengenezee mazingira ya kuanza kiwanda chake chini ya wadhibiti ubora wa bidhaa na madawa.Ataziharibia kampuni zinazotengeneza hivyo vinywaji, imagine mtu anatengeneza pombe akiwa na hangover
Nimemuelekeza pmAtowe taarifa wapi
Maana hapo kikinuka
Yeye kama mmiliki wa nyumba
Atahusishwa
Au kama vp ampe notice tu
Luguruni leo wamekamata bangi skanka tani 1 mfanyabiashara wa hayo madude mpaka mmiliki wa nyumba wamemalizwa???
Ova
Nitapenda pia anipe namba za muendesha mitambo ya k-vant kabla hawajazipaki niwe napombeka hapo hapo maana hizi bia za huku mtaani naziona juisi tu hazinipi stimu.naomba namba ya huyo mpangaji wako ili awe ananiuzia kvant kwa bei kitonga
Kwenye mkataba wa kupangisha nyumba nafikiri Kuna kipengere kinamukataza mpangaji kutofanya shughuli zozote tofauti na kukaa, na siyo godown au kiwanda. Chukua mtendaji, police na Mwanasheria wako. Fukuza huyo kwa kuvunja masharti ya mkataba. Huyo atakuwa mchaga wengi ndo zao kutengeneza pombe fakeWapendwa habarini.Mimi ni Mtumishi wa Umma nipo Dodoma.Nina nyumba yangu nimeijenga Boko.Nilimaliza kuijenga Mei mwaka huu na Juni nikapata Mpangaji(Mme na Mkewe).Nilishukuru maana Mpangaji huyu alijitambulisha kwamba ni Mfanyabiashara anayefuata mizigo China hivyo yupo busy sana,alinilipa Kodi ya miaka miwili(nilifurahi sana).Mwanzoni mwa mwezi huu wa Septemba jirani yangu ambaye tumetengana ukuta(fensi)alinipigia na kuniuliza kama nimeigeuza nyumba yangu kuwa godown au kiwanda cha kutengeneza vinywaji maana alidai kunakuwa na kelele za chupa kugongana usiku,nilimjibu hapana lakini nitafanya uchunguzi.
Juzi Jumapili nilikuwa Dar, hivyo mchana nilienda hapo Boko nyumbani kwangu bila kuwapa taarifa. Cha kushangaza nikakuta kafunga CCTV Camera kwenye pembe zote za fensi pamoja na kuweka Mlinzi getini.Nilivyojitambulisha getini Mlinzi hakufungua geti alinizuia kuingia(imagine nyumba yangu lakini nazuiliwa kuingia).
Nikiwa pale getini nahojiana na Mlinzi ,ilikuja gari la Polisi ikasimama kwa mbali, kijana mmoja akatoka ndani ya nyumba yangu na kwenda kwenye ile gari na kuwapa naamini pesa na gari ya Polisi ikaondoka, kijana akarudi akaingia ndani,akafunga mlango, hapo mimi nimezuiwa getini. Kwa kifupi ni kwamba Mpangaji wangu huyu anazalisha bidhaa feki(vinywaji feki) na kuziingiza sokoni.
Msiri wangu ameniambia Konyagi, KVant, Gin na vinywaji vingine vikali vinazalishwa ndani ya nyumba yangu na kuingizaa sokoni. Naogopa asije akakamatwa mwisho wa siku Serikali ikatahifisha nyumba yangu maana nimeambiwa hilo ni Kosa la Uhujumu Uchumi.
Naomba msaada taarifa hii nikaitoe wapi maana msiri wangu kaniambia Polisi wanajua na huwa wanaenda kuchukua posho kama nilivyoshuhudia mimi mwenyewe hivyo hata nikiripoti kwao itakuwa ni kazi bure.
Naomba mwenye mawasiliano na Viwanda vinavyotengeneza Konyagi,K Vant na hizi Pombe Kali za chupa anisaidie tafadhali Ili niwajulishe tushauriane cha kufanya
Nitashukuru sana wapendwa,siku njema
Ahahah kunywa visunguraNitapenda pia anipe namba za muendesha mitambo ya k-vant kabla hawajazipaki niwe napombeka hapo hapo maana hizi bia za huku mtaani naziona juisi tu hazinipi stimu.
mjinga wewe, sasa unaleta huku ni polisi au mjumbe?Wapendwa habarini.Mimi ni Mtumishi wa Umma nipo Dodoma.Nina nyumba yangu nimeijenga Boko.Nilimaliza kuijenga Mei mwaka huu na Juni nikapata Mpangaji(Mme na Mkewe).Nilishukuru maana Mpangaji huyu alijitambulisha kwamba ni Mfanyabiashara anayefuata mizigo China hivyo yupo busy sana,alinilipa Kodi ya miaka miwili(nilifurahi sana).Mwanzoni mwa mwezi huu wa Septemba jirani yangu ambaye tumetengana ukuta(fensi)alinipigia na kuniuliza kama nimeigeuza nyumba yangu kuwa godown au kiwanda cha kutengeneza vinywaji maana alidai kunakuwa na kelele za chupa kugongana usiku,nilimjibu hapana lakini nitafanya uchunguzi.
Juzi Jumapili nilikuwa Dar, hivyo mchana nilienda hapo Boko nyumbani kwangu bila kuwapa taarifa. Cha kushangaza nikakuta kafunga CCTV Camera kwenye pembe zote za fensi pamoja na kuweka Mlinzi getini.Nilivyojitambulisha getini Mlinzi hakufungua geti alinizuia kuingia(imagine nyumba yangu lakini nazuiliwa kuingia).
Nikiwa pale getini nahojiana na Mlinzi ,ilikuja gari la Polisi ikasimama kwa mbali, kijana mmoja akatoka ndani ya nyumba yangu na kwenda kwenye ile gari na kuwapa naamini pesa na gari ya Polisi ikaondoka, kijana akarudi akaingia ndani,akafunga mlango, hapo mimi nimezuiwa getini. Kwa kifupi ni kwamba Mpangaji wangu huyu anazalisha bidhaa feki(vinywaji feki) na kuziingiza sokoni.
Msiri wangu ameniambia Konyagi, KVant, Gin na vinywaji vingine vikali vinazalishwa ndani ya nyumba yangu na kuingizaa sokoni. Naogopa asije akakamatwa mwisho wa siku Serikali ikatahifisha nyumba yangu maana nimeambiwa hilo ni Kosa la Uhujumu Uchumi.
Naomba msaada taarifa hii nikaitoe wapi maana msiri wangu kaniambia Polisi wanajua na huwa wanaenda kuchukua posho kama nilivyoshuhudia mimi mwenyewe hivyo hata nikiripoti kwao itakuwa ni kazi bure.
Naomba mwenye mawasiliano na Viwanda vinavyotengeneza Konyagi,K Vant na hizi Pombe Kali za chupa anisaidie tafadhali Ili niwajulishe tushauriane cha kufanya
Nitashukuru sana wapendwa,siku njema
Safi,aside nyumba yake ikapigwa utepe πNimemuelekeza pm
Wenyewe wakija wale nursing kweli ila polisi wao wanadaka tuWatonye wenye biashara yao,Konyagi etc. halafu tulia tuli.
...Nilivyojitambulisha getini Mlinzi hakufungua geti alinizuia kuingia(imagine nyumba yangu lakini nazuiliwa kuingia).... Nijuavyo mimi nyumba ukiikodisha/ ukimpangia mtu maana yake kwa kipindi cha huo mkataba nyumba inakuwa kwenye utawala wa mpangaji kwa maana ya masharti mbalimbali kuhusiana na hiyo nyumba. Otherwise kuna kitu nimejifunza kwenye hili...Wapendwa habarini.Mimi ni Mtumishi wa Umma nipo Dodoma.Nina nyumba yangu nimeijenga Boko.Nilimaliza kuijenga Mei mwaka huu na Juni nikapata Mpangaji(Mme na Mkewe).Nilishukuru maana Mpangaji huyu alijitambulisha kwamba ni Mfanyabiashara anayefuata mizigo China hivyo yupo busy sana,alinilipa Kodi ya miaka miwili(nilifurahi sana).Mwanzoni mwa mwezi huu wa Septemba jirani yangu ambaye tumetengana ukuta(fensi)alinipigia na kuniuliza kama nimeigeuza nyumba yangu kuwa godown au kiwanda cha kutengeneza vinywaji maana alidai kunakuwa na kelele za chupa kugongana usiku,nilimjibu hapana lakini nitafanya uchunguzi.
Juzi Jumapili nilikuwa Dar, hivyo mchana nilienda hapo Boko nyumbani kwangu bila kuwapa taarifa. Cha kushangaza nikakuta kafunga CCTV Camera kwenye pembe zote za fensi pamoja na kuweka Mlinzi getini.Nilivyojitambulisha getini Mlinzi hakufungua geti alinizuia kuingia(imagine nyumba yangu lakini nazuiliwa kuingia).
Nikiwa pale getini nahojiana na Mlinzi ,ilikuja gari la Polisi ikasimama kwa mbali, kijana mmoja akatoka ndani ya nyumba yangu na kwenda kwenye ile gari na kuwapa naamini pesa na gari ya Polisi ikaondoka, kijana akarudi akaingia ndani,akafunga mlango, hapo mimi nimezuiwa getini. Kwa kifupi ni kwamba Mpangaji wangu huyu anazalisha bidhaa feki(vinywaji feki) na kuziingiza sokoni.
Msiri wangu ameniambia Konyagi, KVant, Gin na vinywaji vingine vikali vinazalishwa ndani ya nyumba yangu na kuingizaa sokoni. Naogopa asije akakamatwa mwisho wa siku Serikali ikatahifisha nyumba yangu maana nimeambiwa hilo ni Kosa la Uhujumu Uchumi.
Naomba msaada taarifa hii nikaitoe wapi maana msiri wangu kaniambia Polisi wanajua na huwa wanaenda kuchukua posho kama nilivyoshuhudia mimi mwenyewe hivyo hata nikiripoti kwao itakuwa ni kazi bure.
Naomba mwenye mawasiliano na Viwanda vinavyotengeneza Konyagi,K Vant na hizi Pombe Kali za chupa anisaidie tafadhali Ili niwajulishe tushauriane cha kufanya
Nitashukuru sana wapendwa,siku njema
Watataifisha nyumba kwani iko chini ya Jina lao? Wewe umepangisha, yanayoendelea hapo huna udhibiti nayo, tena akijua umemshtaki unaweza shitakiwa kwa kusababisha au kuvunja mkataba kabla ya muda mliokubaliana.Wapendwa habarini.Mimi ni Mtumishi wa Umma nipo Dodoma.Nina nyumba yangu nimeijenga Boko.Nilimaliza kuijenga Mei mwaka huu na Juni nikapata Mpangaji(Mme na Mkewe).Nilishukuru maana Mpangaji huyu alijitambulisha kwamba ni Mfanyabiashara anayefuata mizigo China hivyo yupo busy sana,alinilipa Kodi ya miaka miwili(nilifurahi sana).Mwanzoni mwa mwezi huu wa Septemba jirani yangu ambaye tumetengana ukuta(fensi)alinipigia na kuniuliza kama nimeigeuza nyumba yangu kuwa godown au kiwanda cha kutengeneza vinywaji maana alidai kunakuwa na kelele za chupa kugongana usiku,nilimjibu hapana lakini nitafanya uchunguzi.
Juzi Jumapili nilikuwa Dar, hivyo mchana nilienda hapo Boko nyumbani kwangu bila kuwapa taarifa. Cha kushangaza nikakuta kafunga CCTV Camera kwenye pembe zote za fensi pamoja na kuweka Mlinzi getini.Nilivyojitambulisha getini Mlinzi hakufungua geti alinizuia kuingia(imagine nyumba yangu lakini nazuiliwa kuingia).
Nikiwa pale getini nahojiana na Mlinzi ,ilikuja gari la Polisi ikasimama kwa mbali, kijana mmoja akatoka ndani ya nyumba yangu na kwenda kwenye ile gari na kuwapa naamini pesa na gari ya Polisi ikaondoka, kijana akarudi akaingia ndani,akafunga mlango, hapo mimi nimezuiwa getini. Kwa kifupi ni kwamba Mpangaji wangu huyu anazalisha bidhaa feki(vinywaji feki) na kuziingiza sokoni.
Msiri wangu ameniambia Konyagi, KVant, Gin na vinywaji vingine vikali vinazalishwa ndani ya nyumba yangu na kuingizaa sokoni. Naogopa asije akakamatwa mwisho wa siku Serikali ikatahifisha nyumba yangu maana nimeambiwa hilo ni Kosa la Uhujumu Uchumi.
Naomba msaada taarifa hii nikaitoe wapi maana msiri wangu kaniambia Polisi wanajua na huwa wanaenda kuchukua posho kama nilivyoshuhudia mimi mwenyewe hivyo hata nikiripoti kwao itakuwa ni kazi bure.
Naomba mwenye mawasiliano na Viwanda vinavyotengeneza Konyagi,K Vant na hizi Pombe Kali za chupa anisaidie tafadhali Ili niwajulishe tushauriane cha kufanya
Nitashukuru sana wapendwa,siku njema
Nao wapo makini kuhakikisha wanakupatia kitu chenye πππWanywaji tuwe makini