Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Wakati wa kutoa photocopy jina la Lisu litakatwa na hakuna mtu atauliza mbona mgombea fulani haonekani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna kop, hizo karatasi zinaprintiwa kama kitabu vile, halaf msimamizi anakuwa anakata mojamoja kumpa mpiga kuraWakati wa kutoa photocopy jina la Lisu litakatwa na hakuna mtu atauliza mbona mgombea fulani haonekani?
Printer haiwezi kukata mwisho?Hakuna kop, hizo karatasi zinaprintiwa kama kitabu vile, halaf msimamizi anakuwa anakata mojamoja kumpa mpiga kura
Maoni haya yatakuwa sahihi tu ikiwa umma utajulishwa washindani mmoja huko mwanzo mwingine mwisho.Tusubiri
hii imewekwa kimkakati ili wale watumishi wasiojielewa waogope!! hii maana yake ni kwamba wakiona umevuta karatasi wanajua umechagua haki, uhuru na maendeleo ya watu! Nawaza tyuuHatujui nia ya NEC na methodology waliyotumia kuchambua wapigiwa kura ktk karatasi.
Ila kumuweka wa CCM juu na Mwisho LISSU ni kurahisisha uchaguzi na hii inamuongezea Kura Lissu kuliko CCM.
Kwa nini? Mpiga kura anaoption Moja tu. Kuchagua wa Kwanza au wa Mwisho.
Hana option ya kusaka mgombea humo katikati.
CCM wangepata kura nyingi ikiwa Lissu angewekwa katikati ya wengine ambaye ili umpate itabidi umgoogle kwelikweli.
Kwa waliosoma hisabati za probability uwezekano wa mtu kuchagua Lissu ni sawa na uwezekano wa kumchagua magufuli.
Kazi ya CHADEMA ni kuufahamisha umma una option ya kuchagua Mwanzo au Mwisho.
Mwaka huu ndo neno kuu la kinabii lililoandikwa kwenye Biblia Kitabu cha Mathayo Mtakatifu 20:16 kuwa wa Kwanza atakuwa wa Mwisho na wa Mwisho atakuwa wa kwanza linaenda kutimia mwaka huu.Hatujui nia ya NEC na methodology waliyotumia kuchambua wapigiwa kura ktk karatasi.
Ila kumuweka wa CCM juu na Mwisho LISSU ni kurahisisha uchaguzi na hii inamuongezea Kura Lissu kuliko CCM.
Kwa nini? Mpiga kura anaoption Moja tu. Kuchagua wa Kwanza au wa Mwisho.
Hana option ya kusaka mgombea humo katikati.
CCM wangepata kura nyingi ikiwa Lissu angewekwa katikati ya wengine ambaye ili umpate itabidi umgoogle kwelikweli.
Kwa waliosoma hisabati za probability uwezekano wa mtu kuchagua Lissu ni sawa na uwezekano wa kumchagua magufuli.
Kazi ya CHADEMA ni kuufahamisha umma una option ya kuchagua Mwanzo au Mwisho.
Na hii nayo inaweza kuwapa mwenendo wa kura ili waanze kujiandaa na vituo hewa!!Ndio muamini ccm na tume ni mtu na ndugu. Hv haiwezekani wazo la muundo wa karatasi ya kura walikaa ccm na nec wakajadili iwe hvyo? Km sivyo kigezo kipi nec walikitumia mpk ccm wawe mwanzo na chadema mwisho.
Membe ni namba tisa,watu wanajua kusoma,kuna katick atapata.Hatujui nia ya NEC na methodology waliyotumia kuchambua wapigiwa kura ktk karatasi.
Ila kumuweka wa CCM juu na Mwisho LISSU ni kurahisisha uchaguzi na hii inamuongezea Kura Lissu kuliko CCM.
Kwa nini? Mpiga kura anaoption Moja tu. Kuchagua wa Kwanza au wa Mwisho.
Hana option ya kusaka mgombea humo katikati.
CCM wangepata kura nyingi ikiwa Lissu angewekwa katikati ya wengine ambaye ili umpate itabidi umgoogle kwelikweli.
Kwa waliosoma hisabati za probability uwezekano wa mtu kuchagua Lissu ni sawa na uwezekano wa kumchagua magufuli.
Kazi ya CHADEMA ni kuufahamisha umma una option ya kuchagua Mwanzo au Mwisho.
Mwenye nacho huongezewa na asiye nacho hunyng'anywa hata kidogo alicho nacho! Ngoma drop mzee!Mwaka huu ndo neno kuu la kinabii lililoandikwa kwenye Biblia Kitabu cha Mathayo Mtakatifu 20:16 kuwa wa Kwanza atakuwa wa Mwisho na wa Mwisho atakuwa wa kwanza linaenda kutimia mwaka huu.
Tundu Antiphas Lissu anaenda kuzoa kura nyingi za kimbunga na kushinda uchaguzi huu wa mwaka huu katika kiti cha Uraisi.
Kwa Jina la Yesu , Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020-2025 ni Tundu Antiphas Lissu.View attachment 1606976
Kazi ya CHADEMA ni kuufahamisha umma kuwa wamchague aliye mwisho wa karatasi tu!Kazi ya CHADEMA ni kuufahamisha umma una option ya kuchagua Mwanzo au Mwisho.
Hata mwizi hulitaja Jina la Yesu wakati anaenda kuiba.Mwaka huu ndo neno kuu la kinabii lililoandikwa kwenye Biblia Kitabu cha Mathayo Mtakatifu 20:16 kuwa wa Kwanza atakuwa wa Mwisho na wa Mwisho atakuwa wa kwanza linaenda kutimia mwaka huu.
Tundu Antiphas Lissu anaenda kuzoa kura nyingi za kimbunga na kushinda uchaguzi huu wa mwaka huu katika kiti cha Uraisi.
Kwa Jina la Yesu , Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020-2025 ni Tundu Antiphas Lissu.View attachment 1606976
Kama Jiwe ?Hata mwizi hulitaja Jina la Yesu wakati anaenda kuiba.