PakiJinja
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 11,689
- 25,848
OOh, ndiyo nyie babu zenu waligeuzwa watumwa?Wewe unajua generations ngapi za babu zako? Meaning baba, babu, baba wa babu, babu wa babu, baba wa babu wa babu, e.t.c
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
OOh, ndiyo nyie babu zenu waligeuzwa watumwa?Wewe unajua generations ngapi za babu zako? Meaning baba, babu, baba wa babu, babu wa babu, baba wa babu wa babu, e.t.c
Wewe hapo mbona bado mtumwa.OOh, ndiyo nyie babu zenu waligeuzwa watumwa?
Hakuna kwenye, ukoo wala Kabila letu aliyewahi kuwa Mtumwa.Wewe hapo mbona bado mtumwa.
Unajua maana ya mtumwa au unaogea kitu usichokijua.Hakuna kwenye, ukoo wala Kabila letu aliyewahi kuwa Mtumwa.
Ni kweli sijui maana ya utumwa kwakuwa sina ufahamu wala uzoefu nao sababu sitokani nao wala siuishi. Kuujua utumwa hiyo ni haki yenu ya kikatiba ninyi Mliotoka kwenye koo za kitumwaUnajua maana ya mtumwa au unaogea kitu usichokijua.
Wewe ni mtumwa hadi sasa.Ni kweli sijui maana ya utumwa kwakuwa sina ufahamu wala uzoefu nao sababu sitokani nao wala siuishi. Kuujua utumwa hiyo ni haki yenu ya kikatiba ninyi Mliotoka kwenye koo za kitumwa
Sikatai maana ukoo wa watumwa wanawajua vizuri watumwa. Nauza supu ya Mapupu mkuu, weka orderWewe ni mtumwa hadi sasa.
Kijana wa zamani ipi?Mkuu ww ni kijna wa zaman , vibinti na vijana wa sku hz wakiingia kwenye ndoa ni mauaji tu bora waachane nazo, haki sawa imeua ndoa
Zama za kati mkuu kbla ya utandawaziKijana wa zamani ipi?
Wala hamna haja ya kusingizia Wazungu. Mfikie hatua mkubali kuwajibika. Siyo mkishindwa mnawasingizia wengine.Kuna jambo ambalo linaendelea na sio wote wamepata bahati ya kuliona.
Ndoa ni baraka ya Mungu. Wazungu hawataki kabisa kukisikia kitu hiki. Walianza na ndoa za kimkataba, hawakutosheka, wakaenda kwenye ndoa za mtu na mnyama, na sasa wanakuja na ndoa za jinsia moja, na pia kuna ndoa na masanamu (sex dolls)
Siku za usoni ndoa zitapoteza maana kabisa, na huenda zikawa bidhaa adimu kabisa.
Kizazi kinachokuja ni kizazi cha uzinzi na ulawiti.
Je Mungu ataruhusu tufike huko au ndio kiyama kimeshafika?
Umeongea ukweli..miafrika mipumbavu sana haipo responsible inatafuta wabeba lawama siku zote.Mnawasingizia sana wazungu ndiyo maana kila siku tunaparanganyika sababu hatujifunzi kutokana na makosa yetu.
Yaani ushinde bar unaangalia mpira huku una bet halafu unakuja kumsingizia mzungu?
Vujana wanaacha kupambana ili kujikwamua kimaisha wanaamua kutafuta shortcuts za kuwa machawa na wengine kuliwa kinyume cha maumbile ile watoboe mnakuja kuwasingizia wazungu?