The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 8,082
- 17,838
Thats his own problem. There's a swahili saying the ear of a monitor lizard cannot listen until it starts to bleedI feel sorry for my prime minister,it is now time for him to refrain from exposing to dangerous situations like that one,God have mercy for your servant
Sent using Jamii Forums mobile app
Hamia chato ni salama kwa afya yako
kwanini, au ile ya kusema picha inaongea?Hii ningepost mimi ingeleta shida sana
Jr[emoji769]
Wapuuzi wataabishaji!Wapuuzi hao
Mara paaap Mama anachukua kiti cha mfalme DanielR.i.p . Aisee huu mwaka ukiisha bila ya kupata misukosuko basi shukuru Mungu sana.
Kama ile ya OCDHii ningepost mimi ingeleta shida sana
Jr[emoji769]
Kwa ushahidi upi? Hakuna ayefurahia mwanadamu kufa. Ni hali ambayo CCM wameianzisha ya kutaka kuwaua wapinzani tanzania. Ya Lisu yanafurahisha? Akifa aliyetaka kumuua Lisu nitakunywa bia 1,000,000.. Vinginevyo mbona haya hayakuwepo wakati wa Kikwete?
Hhaahahahaha watu mna vitukoo hahahahMara paaap Mama anachukua kiti cha mfalme Daniel
Nae aende Chato mkuuDaaah, kweli K. Majaliwa inabidi ajiangalie sana, kwani haoni mkuu wake kajificha Chato.. Nae aende kwao huko Nnacho Lindi huku mjini halo ni tete.. Tunakupenda sana watu wa kusini, tunakupenda wtanzani P.M wetu
Kama kile kichwa kilihusika na shambulio la Lisu acha kifyekweMuumba mpokee mja wako.
COVID - 19 tafadhali usifike kichwani
Wale mnaoulizaga mafanikio gani umeyapata mwaka uliopita km nitakuwepo hai basi ni kufanikiwa kuvuka mwaka 2020View attachment 1442919
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeandika kiingereza kama cha jiweI feel sorry for my prime minister,it is now time for him to refrain from exposing to dangerous situations like that one,God have mercy for your servant
Sent using Jamii Forums mobile app
Si wana undugu mku😉😉Umeandika kiingereza kama cha jiwe
Toto stay home plsKibaya zaidi watu wanaugua muda mfupi tu na kufariki huu mwaka uishe haraka.
Sent using Jamii Forums mobile app