Karne
JF-Expert Member
- Jun 13, 2016
- 8,118
- 13,547
Siasa ni maisha!
Kila siku wanasiasa wanawahimiza viongozi wa dini kuombea amani na mshikamano.
Hivyo viongozi wa dini wana wajibu wa kukemea pia matendo ya wanasiasa yenye uelekeo wa kutowesha amani na mshikamano siyo kusubiri kuomba tu.
Mungu atapewa vya kwake na Kaisari atapewa spana zake kama hivi.
Kila siku wanasiasa wanawahimiza viongozi wa dini kuombea amani na mshikamano.
Hivyo viongozi wa dini wana wajibu wa kukemea pia matendo ya wanasiasa yenye uelekeo wa kutowesha amani na mshikamano siyo kusubiri kuomba tu.
Mungu atapewa vya kwake na Kaisari atapewa spana zake kama hivi.