Mpenzi wangu anakula sana kupitiliza, nimechoka hii tabia yake...

Umemtoa Mkoa gani?
 
Naona amejizuia kwa muda ili afe kiume lakini waaapiii!Anahofia kufa ghafla halafu walimwengu wasingizie alikuwa na kisukari ambacho kilianzia kwenye visigino.
Kuna mzee mmoja, aliandaa kachumbari, kisha akaelekea ibadani, alivyoludi akakuta kachumbari yake imeliwa. aiseeee.. Mpaka leo miaka 40 sasa imetimia hajulikani alipo.
 
kama anakata mitungi au kuvuta mjani au vyote, hiyo ni kawaida la sivyo alikuwa tu na hamu ya kuku afpia kuku sio chakula hata mimi kuku mzima nakula namaliza ila ingekuwa labda ugali ndo ungemaindi. Cha muhimu mboga za kishua muwe mnakula kila baada ya siku mbili tatu!
 
Kumbe na wewe unatukanaga😂
Sina historia ya kutukana mkuu, tena hata najiona kama leo nimejikosea sana lakini kama binadam nimejikuta nashindwa kuvumilia mjinga mmoja amekua akinijaribu kisa tu wivu mazee....
Hawa vijana wanaonekana washamba sana mazee, humu jf watu tulikua tunakula kimyakimya na hapakua na makelele mkuu
 
Umeiwasilisha kitaalamu sana mh mjumbe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…