Mpenzi wangu anakula sana kupitiliza, nimechoka hii tabia yake...

Anakutumia wimbo huu wa Ali Kiba.


View: https://youtu.be/N1AbydZaV1M?si=TE2ds1Jz89yKqpqJ
 
Nakupendaa Sanaa lazizi wa moyo wangu.Ni kweli kwa leo nilikuwa kazini kutwa nzima .saizi ndio nainua mgongo wangu na kuingia humu jukwaani kukuangalia waridi wa moyo wangu ephen.
Mimi nakata rufaa ya maisha aisee!Yani Luca una mehboob wako kabisa na mimi hola?Rufaa ni lazima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…