hapa sio mjinga mjinga ni yule anae patwa na tatizo badala ya kuomba ushauli akaishia kufanya matukio mabaya huyu jamaa ni jasili sana ushauli wangu atafute mwingine kisha huyu ampige chiniMleta mada mjinga
HAHAHAHAHAHAHAHajui kuwa yeye ndio mchepuko! Hahahahaha anatembea na mke WA MTU
Sawakuliko kukodi dada powa kila siku sh 5000 bora huyo mwenye mtoto
kazi kazi mkuuAndika Kwa kuacha nafasi, halafu unaonekana una utoto na huna kazi asubuhi yote hii unawaza mademu sisi tupo Kariakoo tangu saa kumi na mbili asubuhi tunapanga bidhaa na kusubiri wateja kumbe wewe unawazaa ngono tu
Shemeji naomba connection tafadhaliIla ukiangalia vizuri ile connection ya yule Kamanda unagundua kuwa ni mtu wa visiwani sio mtu wa bars, Wana tabia chafu sana
Yaani mwezi mmoja kashahamia kwako. Red flag.yapata mwezi na kitu,
Asubuhi yote demi 🥲nyie ndo mnafanya jua liwe kaliShemeji naomba connection tafadhali
Asubuhi ndo muda wangu wa kupumzika, usiku naingia lindoni ulinzi.Asubuhi yote demi 🥲nyie ndo mnafanya jua liwe kali
Najua unachoka sana na kazi basi leo usiku naomba uje ulinde moyo wanguAsubuhi ndo muda wangu wa kupumzika, usiku naingia lindoni ulinzi.
Connection kwanza basiNajua unachoka sana na kazi basi leo usiku naomba uje ulinde moyo wangu
Say no MoreConnection kwanza basi
Shemeji uhali gani? Pole kwa majukumu. NakumissShemeji naomba connection tafadhali
Habar zenu wadau, samahani kwa kuwasumbua kusoma chapisho hili.
Kuna mwanamke niko nae kwenye mahusiano sasa hivi yapata mwezi na kitu, ana mtoto mdogo wa miezi kama 7 hivi. Yeye anakaa na dada yake na wamepanga chumba jirani kabisa na nilichopanga mimi.
Toka tumekuwa kwenye uhusiano aliamua kuhamia chumbani kwangu kabisa. Sasa juzi niliona sms za jamaa mmoja anampongeza kwa walichofanya jana yake na kumuomba warudie tena siku inayofuata. Na mwanamke akakubali kabisa.
Siku iliyofuata yaani jana tar. 1 muda wa kulala ulivyofika, tukalale kama kawaida kwenye saa 5 usiku akaamka akajifanya anampelekea simu dada yake room kwao. Mtoto wake kamuacha kwangu kalala, nikajua mchezo umeanza.
Ilikuwa saa 5 na dakika 37 alivoondoka karudi saa 6 na dakika 30 hivi. Alivyorudi nikasikia mlango wa chumba cha dadake unafunguliwa nikajua anaenda kumfungulia mdogo wake ,nikakimbilia dirishani fasta, kweli nikamuona kasimama mlangoni anasubiri afunguliwe mlango.
Nikajirudisha zangu kitandani, alivokuja nikakausha kama sijui lolote vile. Sikumuongelesha lolote nikamuacha alale. Asubuhi ya leo nimejihimia job, yeye memuacha kalala kitandani kwangu.
Yaani inaniuma sana. Naombeni ushauri wenu wadau.
Hali yangu shwari shem.Shemeji uhali gani? Pole kwa majukumu. Nakumiss
Mwambie “nikirudi nisikukute ndani kwangu,hela ya kula kamuombe uliyemfata jana usiku”Hapa ananitumia sms mbna umeondoka hujaniachia hela ya kula. Hvi viumbe bhn