Mpenzi wangu ananisaliti huku naona kabisa

Huyo fukuza bro!!hakuna kitu hapo,utapata ngoma bule?kama huyo mtoto sio wako,basi bro unatembea na mke wa mtu,au wewe na huyo mwingine ni michepuko tu.
 
Mkuu unahitaji ushauri gani hapo??
Muweke chini mzungumze umchane makavu na kumkanya au kama bado unampenda na kumuhitaji fanya mpango mhame hilo eneo

Halafu unaonekana ni mpole so anakuchukulia poa act as a man acha uboyaaa!

Jitahidi kumkaza vizuri!
 
Achana na huyo mwanamke ambae anashindwa hata kumthamini mtoto wake. Hama hapo haraka sana.
 
Pole. Kama umehakiki kabisa anakusaliti basi hakuna mpenzi apo.
Kama unaweza hama mtaa kabisa. Kuepuka maneno "yule jamaa anachapiwa"
.
Au kama unakaa hapo hapo mfukuze kwako na utafute mwanamke mwingine.
Aking'ang'ania mwambie muwe friends with benefit tu.
 
Acha uzwazwa tafuta chumba uhame unaomba ushauri wa nini Sasa
 
Kati ya vitu nilinyimwaga uvumilivu ni kusalitiwa waziwazi alooooo!!
Hata uwe unanipa nini sijareeeeee๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ!!
Dada huna Kaba ukijua tu roho inalipuka๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Reactions: ITR
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ