Mwenyekiti ushalewa penzi nakuona toka jana husimamii misimamo ya chama!!Haha haaaa kiwanja changu ajenge mwanaume ambaye sijafunga nae ndoa?sio kweli,Hilo ni kosa la kiufundi baharia🤦🤦
Tatizo mwanaume akishajua kaweka hata mifuko miwili ya cement anasema Ile nyumba yake!🤣🤣🤣Mwenyekiti ushalewa penzi nakuona toka jana husimamii misimamo ya chama!!
Hivi ndoa hapo inahusikaje na ikiwa huduma zote za ndoa bidada anatoa?
Tutapiga kula za kutokuwa na imani na wewe 🤣🤣🤣 kazi imeanza kukushinda
Muache aseme yake na wewe endelea kumwambia nyumba yake inahitaji finishing m/kiti unafail wapi?Tatizo mwanaume akishajua kaweka hata mifuko miwili ya cement anasema Ile nyumba yake!🤣🤣🤣
Sitaki fujo...nikipewa Hela sitaki maelezo ya nimenunua niniMuache aseme yake na wewe endelea kumwambia nyumba yake inahitaji finishing m/kiti unafail wapi?
Ukila na kipofu usimshike mkono 😂😂😂
Kama hamjafunga ndoa kila mtu afanye investment kivyake mambo yasiwe mengi badae hukoTulianza mahusiano amenikuta na kiwanja kikubwa tu, nikamshauri pesa aingize kwenye ujenzi haina haja ya kununua kiwanja, ila amekuwa mzito kujenga juu ya ardhi ile, anadai siku mambo yakienda ndivyo sivyo atapoteza property. [emoji848]
Sio ubinafsi huo? Na why muwaze kuachana mpaka ugomvi wa mali kuhusishwa? Anyways nimemshauri aangalie namna itakayofaa.
M/kiti unaogopa fujo?Sitaki fujo...nikipewa Hela sitaki maelezo ya nimenunua nini
Hahahahahah unayumbaHaha mnawazo hasi ninyi watu, eeh
Sasa kama umemuhonga dear X wako huoni ni ufwalaa🤣Sitaki fujo...nikipewa Hela sitaki maelezo ya nimenunua nini
Kumuhonga Nini mndewa?🤣🤣Sasa kama umemuhonga dear X wako huoni ni ufwalaa🤣
Si hizo hela ambazo hutaki kuulizwa umefanyia kitu gani 😀Kumuhonga Nini mndewa?🤣🤣
Aaah bwana wewe,we kama unanipa Hela nipe tu sio uulize unataka ya Nini....Si hizo hela ambazo hutaki kuulizwa umefanyia kitu gani 😀
[emoji1787][emoji1787]hayo ndiyo mambo yakupeana zawadi za gari bila kadi,
kama wewe unamwamini mmilikishe kiwanja kwanza!
Hahahahahah kumekuchaaAaah bwana wewe,we kama unanipa Hela nipe tu sio uulize unataka ya Nini....
Kwahiyo kujenga pale ni shida, ila sisi ku support ujenzi kwenye viwanja vyenu ni sahihi?
Bora mwanamke ajenge kwenye kiwanja cha Mwanaume. Ila sio kiwanja cha Mwanamke we mwanaume ukajenge imekula kwako.
Mimi mke wangu ana pesa ila sijawahi mwambia achangie hata ujenzi wala sitaki anichangie hata Ada ya watoto. Hata Chumvi kununua sitaki.
Pesa zake akajenge kiwanja kingine atapangisha apate pesa.
Sitaki dharau mimi[emoji38][emoji38]