Jenga mwenyewe 😂 😂 😂 , hakuna jinsia inayoongoza kwakutokuheshimu ndoa kama yenu, yaani wataheshimu hisia ila sio ndoa. Acha kumanipulate mtoto wa watu, alikutuma ununue hicho kiwanja.Tulianza mahusiano amenikuta na kiwanja kikubwa tu, nikamshauri pesa aingize kwenye ujenzi haina haja ya kununua kiwanja, ila amekuwa mzito kujenga juu ya ardhi ile, anadai siku mambo yakienda ndivyo sivyo atapoteza property. [emoji848]
Sio ubinafsi huo? Na why muwaze kuachana mpaka ugomvi wa mali kuhusishwa? Anyways nimemshauri aangalie namna itakayofaa.
Mbele ya sheria zinazosema mwanamke kwanza, hata unishushe kuzimu huo mkataba siuiingii maana wakiamua wanazitupilia mbali eti kwafaida ya watoto.Simple, andikishaneni Prenuptial agreement. Dunia ina mengi hii
Hao wanawake wapo wapi, mwanamke kuweka tu senti moja kwenye maisha ya mwanaume atajiona ni bingwa na msingi wa maisha yake. Huoni wanakwambia hata mali mme atafute za kwake. Wanaume hawataki atasapoti yenu maana ilitucost.Kwahiyo kujenga pale ni shida, ila sisi ku support ujenzi kwenye viwanja vyenu ni sahihi?
Mchunguze vizuri jamaa ikiwezekana kagua phonebook yake uone kama kuna jina limeseviwa ACHRAF HAKIM, ukikuta hilo jina usituke ndio tulivyoamua sasahiviTulianza mahusiano amenikuta na kiwanja kikubwa tu, nikamshauri pesa aingize kwenye ujenzi haina haja ya kununua kiwanja, ila amekuwa mzito kujenga juu ya ardhi ile, anadai siku mambo yakienda ndivyo sivyo atapoteza property. [emoji848]
Sio ubinafsi huo? Na why muwaze kuachana mpaka ugomvi wa mali kuhusishwa? Anyways nimemshauri aangalie namna itakayofaa.
Hata huu ni usanii 😂 😂Badili hati yasome majina yenu wote
Nyumba ni kiwanja, kama hati ya kiwanja ina jina lako siku mkigombana(siombei) mkaamua kuachana na kila mtu achukue chake huyo mwenye nyumba atachukua nini?Kwanini mnagoma asijenge nipe reason kwanza
Sasa kipi kiwe cha kwanza? Kubadili kuwa chenu au aanze kujenga?Nilikuwa sahihi ni changu bado hatujafanya namna kukibadili kuwa chetu
Yasijekuwa ya makonda na gsmHuyo jamaa akishauziwa hicho kiwanja ahakikishe haanzi ujenzi mpaka hati miliki kutoka wizarani yenye majina yake kamili imetoka
😀😀😀 .......nipe no yake nimshauri jamboTulianza mahusiano amenikuta na kiwanja kikubwa tu, nikamshauri pesa aingize kwenye ujenzi haina haja ya kununua kiwanja, ila amekuwa mzito kujenga juu ya ardhi ile, anadai siku mambo yakienda ndivyo sivyo atapoteza property. [emoji848]
Sio ubinafsi huo? Na why muwaze kuachana mpaka ugomvi wa mali kuhusishwa? Anyways nimemshauri aangalie namna itakayofaa.
Kwa nini watanzania tunapenda kusaidiwa badala ya kujitegemea. Nilisikia habari ya jeneza kubebwa na gari ya serikali na kupaki bar huko Arusha . Kama gari sio ya kwako na umesaidiwa hautakiwi kulalamika. Ukitaka kuishi kwa raha inabidi ujitegemee kadri unavyoweza ? Hapa sio kwa wanaume au wanawake maisha ni magumu sana siku hizi. Ukitegemea misaada watakupoteza binadamu sio watu.Tulianza mahusiano amenikuta na kiwanja kikubwa tu, nikamshauri pesa aingize kwenye ujenzi haina haja ya kununua kiwanja, ila amekuwa mzito kujenga juu ya ardhi ile, anadai siku mambo yakienda ndivyo sivyo atapoteza property. [emoji848]
Sio ubinafsi huo? Na why muwaze kuachana mpaka ugomvi wa mali kuhusishwa? Anyways nimemshauri aangalie namna itakayofaa.
asirogwe akafanya hicho kitu, muuzie hicho kiwanjaTulianza mahusiano amenikuta na kiwanja kikubwa tu, nikamshauri pesa aingize kwenye ujenzi haina haja ya kununua kiwanja, ila amekuwa mzito kujenga juu ya ardhi ile, anadai siku mambo yakienda ndivyo sivyo atapoteza property. [emoji848]
Sio ubinafsi huo? Na why muwaze kuachana mpaka ugomvi wa mali kuhusishwa? Anyways nimemshauri aangalie namna itakayofaa.
ACHA UTANI NA HELA ZA WATU NI BORA AKATOE FUNGU LA KUMI KANISANI.Tulianza mahusiano amenikuta na kiwanja kikubwa tu, nikamshauri pesa aingize kwenye ujenzi haina haja ya kununua kiwanja, ila amekuwa mzito kujenga juu ya ardhi ile, anadai siku mambo yakienda ndivyo sivyo atapoteza property. [emoji848]
Sio ubinafsi huo? Na why muwaze kuachana mpaka ugomvi wa mali kuhusishwa? Anyways nimemshauri aangalie namna itakayofaa.