Zabron Hamis
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 7,093
- 11,377
Jf mimba sio lazima iwe miezi 9. Yaweza pungua ama kuzidi kutegemea na mwandishi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii chai kasahau kuweka viungoKumbe nawe unawaza Kama mie nikajua napigwa kamba mwenyewe hapa
Si Bora iwe chai mkuu, hii ni Kahawa alafu imepoa 🤣🤣🤣
Kahawa ikipoa ndo inakuwa kiloriti[emoji2][emoji2]Si Bora iwe chai mkuu, hii ni Kahawa alafu imepoa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Njoo wing huku leta na msokoto mmoja acha kunichekesha hivi
yaan mtu amebeba ujauzito akiwa na miaka 14 baada ya kujifungua ni miaka mitatu na nusu alaf huyo mama awe na miaka 20 sasahivi🤔Leo nime amua kuja uku kuomba ushauri ndugu zangu
Kuna mwanamke ambaye nimependana naye na mwanamke uyo ana mtoto...
hahahahahahaDakika ya 0 Mpira unaanza: Yanga 0 Simba 1.
Leo nime amua kuja uku kuomba ushauri ndugu zangu
Kuna mwanamke ambaye nimependana naye na mwanamke uyo ana mtoto
Alipigwa mimba na msela fulani alafu msela aka kimbia zake.
Demu akachukua mimba na kuibeba miezi 9 na kuzaa mpaka sasa mtoto ana miaka 3 msela ajui mtoto wake wala ajawahi mtumia mtoto pesa za matumizi uko aliko kimbilia Ali enda kupana mimba sasa demu
Sasa demu uyo tulivyo tongozana Ali amua kuniambia tu ukweli kuwa ana mtoto nika muuliza situation ili kuwaje mpaka baba mwenye mtoto asi kuweke ndani demu aka niambia nili kuwa bado mdogo saana yaani Ali kuwa ana miaka 14 sasa ivi ana miaka 20
Sasa baba mtoto wake Ali kimbia baada ya kuona awezi muowa mtoto mdogo
Tulipendana naye sasa ivi niko kwenye mpango wa kumchukuwa ni muongeze kwenye mchakato wangu Wa kwenda usa naye nilivyo muhuliza kuhusu mtoto ita kuwa aje na omba ashirikishe baba Wa mtoto ili naye ajue mwanao ana taka kwenda marekani demu ana kataa eti awezi muambia nime jaribu
Kumbembeleza demu aka kataa cha ajabu mtoto yule ame ni ambia kuwa ata ni kabizi mimi maana Mimi ndo nime mlea uyo mtoto kipindi na mtongoza mama yake nili kuwa na mpelekea nguo na vijizawadi vingi
Sasa ndugu zangu je uyo mtoto mimi ni kubali kumchukua au vipi maana ata mtoto wake ana fikiriaga mimi ndo baba yake sasa ivi ana miaka 3 na nusu ana ni ita mimi baba
Mtoto anakua in slow motion.Alibeba mimba akiwa na miaka 14, saivi ana miaka 20 lakini mtoto ana miaka 3[emoji848]