Mpenzi wangu anataka kunikabidhi mtoto wake aliyezaa na mwanaume mwingine

Mpenzi wangu anataka kunikabidhi mtoto wake aliyezaa na mwanaume mwingine

Yaani we jamaa ni muongo mpaka aibu naona mimi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hebu kaongeze maji kwenye maharage fala wewe
 
Leo nime amua kuja uku kuomba ushauri ndugu zangu

Kuna mwanamke ambaye nimependana naye na mwanamke uyo ana mtoto. Alipigwa mimba na msela fulani alafu msela aka kimbia zake.
Haya Majuto amka kumekucha wahi shule acha kuota.
 
Leo nime amua kuja uku kuomba ushauri ndugu zangu

Kuna mwanamke ambaye nimependana naye na mwanamke uyo ana mtoto. Alipigwa mimba na msela fulani alafu msela aka kimbia zake.

Kwa nyie wacongo ni sawa ila sisi Watanzania big No
 
Leo nime amua kuja uku kuomba ushauri ndugu zangu

Kuna mwanamke ambaye nimependana naye na mwanamke uyo ana mtoto. Alipigwa mimba na msela fulani alafu msela aka kimbia zake.

Sasa ndugu zangu je uyo mtoto mimi ni kubali kumchukua au vipi maana ata mtoto wake ana fikiriaga mimi ndo baba yake sasa ivi ana miaka 3 na nusu ana ni ita mimi baba.

Ukipenda boga penda na ua lake tafadhali
 
Usihangaike na mtoto wa mwenzio. Zaa wako. Kwani wanawake wamekwisha hadi upewe mtoto kana kwamba wewe huzai?

Leo nime amua kuja uku kuomba ushauri ndugu zangu

Kuna mwanamke ambaye nimependana naye na mwanamke uyo ana mtoto. Alipigwa mimba na msela fulani alafu msela aka kimbia zake.
 
Leo nime amua kuja uku kuomba ushauri ndugu zangu

Kuna mwanamke ambaye nimependana naye na mwanamke uyo ana mtoto. Alipigwa mimba na msela fulani alafu msela aka kimbia zake.
Kumlea mtoto ni baraka ila fahamu ipo siku mtoto atamtafuta baba yake . vilevile washirikishe wazazi wake na ndugu zake kimaandishi wasije kukruka baadaye refer kesi ya diamond Vs baba yake wa kumlea
 
Huo uandishi wako mi sijaelewa.unazungua usa ilipo arumeru mkoani arusha au
 
Okey hivyo alipata mimba akiwa na miaka 14 saivi ana miaka 20 halafu mtoto ana miaka mitatu sawa sawa
 
Leo nime amua kuja uku kuomba ushauri ndugu zangu

Kuna mwanamke ambaye nimependana naye na mwanamke uyo ana mtoto. Alipigwa mimba na msela fulani alafu msela aka kimbia zake.

Demu akachukua mimba na kuibeba miezi 9 na kuzaa mpaka sasa mtoto ana miaka 3 msela ajui mtoto wake wala ajawahi mtumia mtoto pesa za matumizi uko aliko kimbilia Ali enda kupana mimba sasa demu.

Sasa demu uyo tulivyo tongozana Ali amua kuniambia tu ukweli kuwa ana mtoto nika muuliza situation ili kuwaje mpaka baba mwenye mtoto asi kuweke ndani demu aka niambia nili kuwa bado mdogo saana yaani Ali kuwa ana miaka 14 sasa ivi ana miaka 20.

Sasa baba mtoto wake Ali kimbia baada ya kuona awezi muowa mtoto mdogo. Tulipendana naye sasa ivi niko kwenye mpango wa kumchukuwa ni muongeze kwenye mchakato wangu Wa kwenda usa naye nilivyo muhuliza kuhusu mtoto ita kuwa aje na omba ashirikishe baba Wa mtoto ili naye ajue mwanao ana taka kwenda marekani demu ana kataa eti awezi muambia nime jaribu.

Kumbembeleza demu aka kataa cha ajabu mtoto yule ame ni ambia kuwa ata ni kabizi mimi maana Mimi ndo nime mlea uyo mtoto kipindi na mtongoza mama yake nili kuwa na mpelekea nguo na vijizawadi vingi.

Sasa ndugu zangu je uyo mtoto mimi ni kubali kumchukua au vipi maana ata mtoto wake ana fikiriaga mimi ndo baba yake sasa ivi ana miaka 3 na nusu ana ni ita mimi baba.
USA - United States of America
usa - Usariver ngarinero arachuga

mbebe tu mwanao ila swala la kumvutisha bangi mwache achague mwenyewe usimlazimishe.
 
Back
Top Bottom