Mpenzi wangu anataka kunikabidhi mtoto wake aliyezaa na mwanaume mwingine

Mpenzi wangu anataka kunikabidhi mtoto wake aliyezaa na mwanaume mwingine

Leo nime amua kuja uku kuomba ushauri ndugu zangu

Kuna mwanamke ambaye nimependana naye na mwanamke uyo ana mtoto. Alipigwa mimba na msela fulani alafu msela aka kimbia zake.

Demu akachukua mimba na kuibeba miezi 9 na kuzaa mpaka sasa mtoto ana miaka 3 msela ajui mtoto wake wala ajawahi mtumia mtoto pesa za matumizi uko aliko kimbilia Ali enda kupana mimba sasa demu.

Sasa demu uyo tulivyo tongozana Ali amua kuniambia tu ukweli kuwa ana mtoto nika muuliza situation ili kuwaje mpaka baba mwenye mtoto asi kuweke ndani demu aka niambia nili kuwa bado mdogo saana yaani Ali kuwa ana miaka 14 sasa ivi ana miaka 20.

Sasa baba mtoto wake Ali kimbia baada ya kuona awezi muowa mtoto mdogo. Tulipendana naye sasa ivi niko kwenye mpango wa kumchukuwa ni muongeze kwenye mchakato wangu Wa kwenda usa naye nilivyo muhuliza kuhusu mtoto ita kuwa aje na omba ashirikishe baba Wa mtoto ili naye ajue mwanao ana taka kwenda marekani demu ana kataa eti awezi muambia nime jaribu.

Kumbembeleza demu aka kataa cha ajabu mtoto yule ame ni ambia kuwa ata ni kabizi mimi maana Mimi ndo nime mlea uyo mtoto kipindi na mtongoza mama yake nili kuwa na mpelekea nguo na vijizawadi vingi.

Sasa ndugu zangu je uyo mtoto mimi ni kubali kumchukua au vipi maana ata mtoto wake ana fikiriaga mimi ndo baba yake sasa ivi ana miaka 3 na nusu ana ni ita mimi baba.
Story yako ina walakini, kama alipata mimba akiwa na miaka 14, na sasa ana miaka 20 tukitoa miezi 9 ya kubeba mimba basi mtoto anabidi awe na miaka 5 na siyo 3.
 
Leo nime amua kuja uku kuomba ushauri ndugu zangu

Kuna mwanamke ambaye nimependana naye na mwanamke uyo ana mtoto. Alipigwa mimba na msela fulani alafu msela aka kimbia zake.

Demu akachukua mimba na kuibeba miezi 9 na kuzaa mpaka sasa mtoto ana miaka 3 msela ajui mtoto wake wala ajawahi mtumia mtoto pesa za matumizi uko aliko kimbilia Ali enda kupana mimba sasa demu.

Sasa demu uyo tulivyo tongozana Ali amua kuniambia tu ukweli kuwa ana mtoto nika muuliza situation ili kuwaje mpaka baba mwenye mtoto asi kuweke ndani demu aka niambia nili kuwa bado mdogo saana yaani Ali kuwa ana miaka 14 sasa ivi ana miaka 20.

Sasa baba mtoto wake Ali kimbia baada ya kuona awezi muowa mtoto mdogo. Tulipendana naye sasa ivi niko kwenye mpango wa kumchukuwa ni muongeze kwenye mchakato wangu Wa kwenda usa naye nilivyo muhuliza kuhusu mtoto ita kuwa aje na omba ashirikishe baba Wa mtoto ili naye ajue mwanao ana taka kwenda marekani demu ana kataa eti awezi muambia nime jaribu.

Kumbembeleza demu aka kataa cha ajabu mtoto yule ame ni ambia kuwa ata ni kabizi mimi maana Mimi ndo nime mlea uyo mtoto kipindi na mtongoza mama yake nili kuwa na mpelekea nguo na vijizawadi vingi.

Sasa ndugu zangu je uyo mtoto mimi ni kubali kumchukua au vipi maana ata mtoto wake ana fikiriaga mimi ndo baba yake sasa ivi ana miaka 3 na nusu ana ni ita mimi baba.
Umeandika kijinga jinga sana kama uzi wako ulivyo. Uhariri kidogo ili tuelewe.
 
Leo nime amua kuja uku kuomba ushauri ndugu zangu

Kuna mwanamke ambaye nimependana naye na mwanamke uyo ana mtoto. Alipigwa mimba na msela fulani alafu msela aka kimbia zake.

Demu akachukua mimba na kuibeba miezi 9 na kuzaa mpaka sasa mtoto ana miaka 3 msela ajui mtoto wake wala ajawahi mtumia mtoto pesa za matumizi uko aliko kimbilia Ali enda kupana mimba sasa demu.

Sasa demu uyo tulivyo tongozana Ali amua kuniambia tu ukweli kuwa ana mtoto nika muuliza situation ili kuwaje mpaka baba mwenye mtoto asi kuweke ndani demu aka niambia nili kuwa bado mdogo saana yaani Ali kuwa ana miaka 14 sasa ivi ana miaka 20.

Sasa baba mtoto wake Ali kimbia baada ya kuona awezi muowa mtoto mdogo. Tulipendana naye sasa ivi niko kwenye mpango wa kumchukuwa ni muongeze kwenye mchakato wangu Wa kwenda usa naye nilivyo muhuliza kuhusu mtoto ita kuwa aje na omba ashirikishe baba Wa mtoto ili naye ajue mwanao ana taka kwenda marekani demu ana kataa eti awezi muambia nime jaribu.

Kumbembeleza demu aka kataa cha ajabu mtoto yule ame ni ambia kuwa ata ni kabizi mimi maana Mimi ndo nime mlea uyo mtoto kipindi na mtongoza mama yake nili kuwa na mpelekea nguo na vijizawadi vingi.

Sasa ndugu zangu je uyo mtoto mimi ni kubali kumchukua au vipi maana ata mtoto wake ana fikiriaga mimi ndo baba yake sasa ivi ana miaka 3 na nusu ana ni ita mimi baba.
Sasa hapo tatizo ni nini?
 
Leo nime amua kuja uku kuomba ushauri ndugu zangu

Kuna mwanamke ambaye nimependana naye na mwanamke uyo ana mtoto. Alipigwa mimba na msela fulani alafu msela aka kimbia zake.

Demu akachukua mimba na kuibeba miezi 9 na kuzaa mpaka sasa mtoto ana miaka 3 msela ajui mtoto wake wala ajawahi mtumia mtoto pesa za matumizi uko aliko kimbilia Ali enda kupana mimba sasa demu.

Sasa demu uyo tulivyo tongozana Ali amua kuniambia tu ukweli kuwa ana mtoto nika muuliza situation ili kuwaje mpaka baba mwenye mtoto asi kuweke ndani demu aka niambia nili kuwa bado mdogo saana yaani Ali kuwa ana miaka 14 sasa ivi ana miaka 20.

Sasa baba mtoto wake Ali kimbia baada ya kuona awezi muowa mtoto mdogo. Tulipendana naye sasa ivi niko kwenye mpango wa kumchukuwa ni muongeze kwenye mchakato wangu Wa kwenda usa naye nilivyo muhuliza kuhusu mtoto ita kuwa aje na omba ashirikishe baba Wa mtoto ili naye ajue mwanao ana taka kwenda marekani demu ana kataa eti awezi muambia nime jaribu.

Kumbembeleza demu aka kataa cha ajabu mtoto yule ame ni ambia kuwa ata ni kabizi mimi maana Mimi ndo nime mlea uyo mtoto kipindi na mtongoza mama yake nili kuwa na mpelekea nguo na vijizawadi vingi.

Sasa ndugu zangu je uyo mtoto mimi ni kubali kumchukua au vipi maana ata mtoto wake ana fikiriaga mimi ndo baba yake sasa ivi ana miaka 3 na nusu ana ni ita mimi baba.
Alipata mimba akiwa na miaka 14, jamaa yake akakimbia kwa sababu binti alikuwa bado mdogo, mpaka sasa mama ana miaka 20 ila mtoto ana miaka 3!
20-14=6 tukitoa mwaka mmoja wa mimba mtoto alipaswa kuwa na si chini ya miaka 5!

Mbona kama sielewi elewi
 
Leo nime amua kuja uku kuomba ushauri ndugu zangu

Kuna mwanamke ambaye nimependana naye na mwanamke uyo ana mtoto. Alipigwa mimba na msela fulani alafu msela aka kimbia zake.

Demu akachukua mimba na kuibeba miezi 9 na kuzaa mpaka sasa mtoto ana miaka 3 msela ajui mtoto wake wala ajawahi mtumia mtoto pesa za matumizi uko aliko kimbilia Ali enda kupana mimba sasa demu.

Sasa demu uyo tulivyo tongozana Ali amua kuniambia tu ukweli kuwa ana mtoto nika muuliza situation ili kuwaje mpaka baba mwenye mtoto asi kuweke ndani demu aka niambia nili kuwa bado mdogo saana yaani Ali kuwa ana miaka 14 sasa ivi ana miaka 20.

Sasa baba mtoto wake Ali kimbia baada ya kuona awezi muowa mtoto mdogo. Tulipendana naye sasa ivi niko kwenye mpango wa kumchukuwa ni muongeze kwenye mchakato wangu Wa kwenda usa naye nilivyo muhuliza kuhusu mtoto ita kuwa aje na omba ashirikishe baba Wa mtoto ili naye ajue mwanao ana taka kwenda marekani demu ana kataa eti awezi muambia nime jaribu.

Kumbembeleza demu aka kataa cha ajabu mtoto yule ame ni ambia kuwa ata ni kabizi mimi maana Mimi ndo nime mlea uyo mtoto kipindi na mtongoza mama yake nili kuwa na mpelekea nguo na vijizawadi vingi.

Sasa ndugu zangu je uyo mtoto mimi ni kubali kumchukua au vipi maana ata mtoto wake ana fikiriaga mimi ndo baba yake sasa ivi ana miaka 3 na nusu ana ni ita mimi baba.
Unaandika vibaya,sentensi ziko vibaya na aya mbovumbovu

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
14-20 alipata mimba miaka akiwa na miaka 14 na sasa ana miaka 20 na mtoto ana miaka 3.hiyo hesabu nakataa
 
Leo nime amua kuja uku kuomba ushauri ndugu zangu

Kuna mwanamke ambaye nimependana naye na mwanamke uyo ana mtoto. Alipigwa mimba na msela fulani alafu msela aka kimbia zake.

Demu akachukua mimba na kuibeba miezi 9 na kuzaa mpaka sasa mtoto ana miaka 3 msela ajui mtoto wake wala ajawahi mtumia mtoto pesa za matumizi uko aliko kimbilia Ali enda kupana mimba sasa demu.

Sasa demu uyo tulivyo tongozana Ali amua kuniambia tu ukweli kuwa ana mtoto nika muuliza situation ili kuwaje mpaka baba mwenye mtoto asi kuweke ndani demu aka niambia nili kuwa bado mdogo saana yaani Ali kuwa ana miaka 14 sasa ivi ana miaka 20.

Sasa baba mtoto wake Ali kimbia baada ya kuona awezi muowa mtoto mdogo. Tulipendana naye sasa ivi niko kwenye mpango wa kumchukuwa ni muongeze kwenye mchakato wangu Wa kwenda usa naye nilivyo muhuliza kuhusu mtoto ita kuwa aje na omba ashirikishe baba Wa mtoto ili naye ajue mwanao ana taka kwenda marekani demu ana kataa eti awezi muambia nime jaribu.

Kumbembeleza demu aka kataa cha ajabu mtoto yule ame ni ambia kuwa ata ni kabizi mimi maana Mimi ndo nime mlea uyo mtoto kipindi na mtongoza mama yake nili kuwa na mpelekea nguo na vijizawadi vingi.

Sasa ndugu zangu je uyo mtoto mimi ni kubali kumchukua au vipi maana ata mtoto wake ana fikiriaga mimi ndo baba yake sasa ivi ana miaka 3 na nusu ana ni ita mimi baba.
Haya siyo ya kuuliza kwa mwanaume rijali jaribu kutunza heshima ya mtu kama unampenda. Humu tumefichama lakini unayoyasema yapo wazi watu ni wahangwa wa kuzalia nyumbani na wanaweza hisi ni wao wanasemwa na wenzao wakapoteza amani kijinga.

Muoe tulia lea mtoto
 
Back
Top Bottom