R.I.P in advance,chukua mchepuko fasta sababu utaibika very soon buda,in those days hii mambo haikuwepo,tafuta spare part kuziba puncture.Mimi ni kijana wa miaka 25 nina mpenzi wangu ambae tumekua na mahusiano kwa kipindi cha miaka sita sasa yeye pia ana umri sawa na mimi lakini amenizidi miezi kadhaa
Tumekua na mahusiano ambayo tumekua tunaishi kwa kusaidiana kwa jambo lolote lile
Mwenzangu alibahatika kupata kazi mapema baada ya kumaliza chuo lakini kwangu haikua hvo bado nipo napambana na shughuli zangu binafsi za biashara.
Mwanzo wakati shughuli zangu zinaenda vizuri hakukua na shida lakini baada ya yeye kupata nafasi sehemu nyingne ambayo wamekua wanamlipa vizuri tofauti na laipokua mwanzo ndipo nayeye mambo yakaanza kubadilika kwake
Amekua ni mtu ambae hapendi nijue ratiba zake wala kile anachoingiza kwa mwezi hali ambayo mwanzo haikuwepo
Naombeni ushauri wakuu juu ya hili
Asanteni 🙏
Mimi ni kijana wa miaka 25 nina mpenzi wangu ambae tumekua na mahusiano kwa kipindi cha miaka sita sasa yeye pia ana umri sawa na mimi lakini amenizidi miezi kadhaa
Tumekua na mahusiano ambayo tumekua tunaishi kwa kusaidiana kwa jambo lolote lile
Mwenzangu alibahatika kupata kazi mapema baada ya kumaliza chuo lakini kwangu haikua hvo bado nipo napambana na shughuli zangu binafsi za biashara.
Mwanzo wakati shughuli zangu zinaenda vizuri hakukua na shida lakini baada ya yeye kupata nafasi sehemu nyingne ambayo wamekua wanamlipa vizuri tofauti na laipokua mwanzo ndipo nayeye mambo yakaanza kubadilika kwake
Amekua ni mtu ambae hapendi nijue ratiba zake wala kile anachoingiza kwa mwezi hali ambayo mwanzo haikuwepo
Naombeni ushauri wakuu juu ya hili
Asanteni
Dem miaka sita bilq kumpiga uzembeTukodi gari la matangazo kwa ajili yake.
Akufukuzae hakwambii toka! Jiongeze kijana.Mimi ni kijana wa miaka 25 nina mpenzi wangu ambae tumekua na mahusiano kwa kipindi cha miaka sita sasa yeye pia ana umri sawa na mimi lakini amenizidi miezi kadhaa
Tumekua na mahusiano ambayo tumekua tunaishi kwa kusaidiana kwa jambo lolote lile
Mwenzangu alibahatika kupata kazi mapema baada ya kumaliza chuo lakini kwangu haikua hvo bado nipo napambana na shughuli zangu binafsi za biashara.
Mwanzo wakati shughuli zangu zinaenda vizuri hakukua na shida lakini baada ya yeye kupata nafasi sehemu nyingne ambayo wamekua wanamlipa vizuri tofauti na laipokua mwanzo ndipo nayeye mambo yakaanza kubadilika kwake
Amekua ni mtu ambae hapendi nijue ratiba zake wala kile anachoingiza kwa mwezi hali ambayo mwanzo haikuwepo
Naombeni ushauri wakuu juu ya hili
Asanteni 🙏
Hivi unamsomeshaje mwanamke kmmke?? Watu mnajitafutiaga sukari kabla ya umri wenu😂Ushaachwa ,tafuta mwanamke mwingine,nimesomesha mwanamke ameniletea dharau,sembuse huyo unayekutana nae chuo.
Umenza vizuri kama mtu mwenye busara zake mjini ila ulivyomaliza sasa😂🙌🏽! Mimi nikiwa kwenye mahusiano mwanamke simjali wala kumpenda kupitiliza! The more you care the more it will hurt!Pole sana kaka Ninakushauri vitu viwili kama sio vitatu
Kwanza nikupongeze kwa kuamua kushare maumivu yako na sisi, kuliko kukaa nayo moyoni, lakini pia hapa duniani Kila kitu kina mwanzo na mwisho. Hakuna kitu kinadumu milele upo hapo?
👉1.achana Huyu mwanamke, kuambiwa skutaki au muda wako imeisha sio mpaka, uambiwe kwa mdomo
👉2.fanya kazi save hela zako, tafuta kabinti ka form four failure, au darasa la saba, hao matumizi yao sio makubwa
👉3.toa akili yako huko maana naamini mapenzi yanaweza kukufanya ukapunguza ufanisi wa kazi
Ushauri wa kijinga Mwisho, muombe mechi Ila usipgie "k" jifanye umekosea tundu la nyuma piga hicho kinyeo🤣kidombe kwa hasira Alafu achana nae
Kwa kweliWanawake hawaangalii chini wanaangalia juu. Haijalishi aliemzidi kimo amesimama kwenye nini.
🤣Nilitaka kumfanya jamaa atoe mood baya kichwanUmenza vizuri kama mtu mwenye busara zake mjini ila ulivyomaliza sasa😂🙌🏽! Mimi nikiwa kwenye mahusiano mwanamke simjali wala kumpenda kupitiliza! The more you care the more it will hurt!
Woman always look ahead but they never seen from aboveWanawake hawaangalii chini wanaangalia juu. Haijalishi aliemzidi kimo amesimama kwenye nini.
Mkuu hata hapa unahitaji ushauri.Mimi ni kijana wa miaka 25 nina mpenzi wangu ambae tumekua na mahusiano kwa kipindi cha miaka sita sasa yeye pia ana umri sawa na mimi lakini amenizidi miezi kadhaa
Tumekua na mahusiano ambayo tumekua tunaishi kwa kusaidiana kwa jambo lolote lile
Mwenzangu alibahatika kupata kazi mapema baada ya kumaliza chuo lakini kwangu haikua hvo bado nipo napambana na shughuli zangu binafsi za biashara.
Mwanzo wakati shughuli zangu zinaenda vizuri hakukua na shida lakini baada ya yeye kupata nafasi sehemu nyingne ambayo wamekua wanamlipa vizuri tofauti na laipokua mwanzo ndipo nayeye mambo yakaanza kubadilika kwake
Amekua ni mtu ambae hapendi nijue ratiba zake wala kile anachoingiza kwa mwezi hali ambayo mwanzo haikuwepo
Naombeni ushauri wakuu juu ya hili
Asanteni [emoji120]
Duh ubinadamu kazindo maana tunawaambia vijana kabla ya kuingia kwenye ndoa Muwe mnamwomba Mungu kwanza mpate mme na mke mwema. Haya yote yasingekua yanatokea
Kuna zile ahadi zao nyingi walizopeana. Yaani hapo Ni balaa juu ya balaa. Kijana asipokuwa makini atapotea na upepoSijui ameelewa au hadi damu imtoke?
Si ndiyo uhalisia wenyewe huo mkuu?You,people sting like bees.No mbambamba,huh?