Codehood
JF-Expert Member
- Dec 9, 2021
- 345
- 785
Huo ndio ukuaji ndugu mtoa mada, Hapa mutaongea yote na kumaliza kwa kumshauri bwana mtoa mada ila unfortunately hawezi akasikia wala kuelewa kwasasa.
What happens next ndio kitakujenga na kukufunza ila kwasasa naona wote humu ndani wanapiga kelele.
It has to be this way and no way out.
What happens next ndio kitakujenga na kukufunza ila kwasasa naona wote humu ndani wanapiga kelele.
It has to be this way and no way out.