Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kula mapera kwanza mkuu utanishukuru baadaeNimeamini hivo, watakua walianza kujuana akiwa na mimi, sana sana mwaka huu 2024 coz kuna redflags nilianza kuziona ila nikajua najishtukia.
Hivi huyu yumo kwenye hilo kundi? 😂😂😂sasa anaumia nini wakati kumuoa asingemuoa, wanaume ni mabinafsi sanaWewe si kataa ndoa? Acha tu aolewe kwingine.
Hakuna watu wenye true love kama sisi kataa ndoa😁😁😁Wewe si kataa ndoa? Acha tu aolewe kwingine.
Namsomaga mad najua anaakili, lakini haya mawazo sijui kayatoa wapi. Sasa kama ameumia sana kwanini aliruhusu ugomvi uchukue muda mrefu naa mwanamke wake. Au Alijiaminisha zile picha zake zitakua zinamblack mail Asiende popote.Dah hapa msamehe kwa kuwa alkuwa anapiga kukutumia wakati mpo na good times usimfanyie ubaya cc Fake P
Shindikana kaombe tu msamaha yaishe😂😂😂Acha nikuibie siri, mimi kuna mtoto nilimwacha ila sasa kanona , ikabidi mpaka nimblock wasp yake alikua ananirusha roho kinyama, na mimi nilivyo na kiburi nikawa sijigusi hata, ila akazidisha nikamlima kadi nyekundu chap😅😅😅
Kaa kwa kutulia, tuliza akili. Usifanye chochote. Mtakie kila la kheri na samehe yote.Au nipotezee tu? Ila kwann kafanya ivi
heshimu mahusiano yako gentleman,Mkuu nikikuona na hilo ji koti lako na hisi ni zile harakati zetu za uchawa tu😁😁😁😁😁

Nashukuru sana. Likipita ili nitakua strongerPole mwanangu ,kaza rafiki
Haya Mambo yanaumiza kweli ila no way jikaze yatapita tu ,omba hata ruhusa ya kazini njoo Mbeya tafuta kiwanja enjoy sahau huyo nyau ,rudi endelea kujenga ndoto zako
Hahaha yani niombe msamaha kabisa🤣🤣🤣 mama yangu akisikia hili hata kwa kuambiwa tu kama ushauri anaweza dondoka pressure 😅😅😅Shindikana kaombe tu msamaha yaishe😂😂😂
Huu sasa unaoleta ndo unyonge!!Nifanyeje, nilete uswahili au? Nina picha zake mbaya sana
Mkuu mimi sasa hivi nina mahusiano na irani 🇮🇷 kwa hilo naliheshimu mno lazima tumfute mzayuni🤗heshimu mahusiano yako gentleman,
ni muhimu zaidi na ni jambo la maana sana hilo, usifanye mzaha hata kidogo![]()
Mshavurugwa kila mahali mmegeuka wanafalsafa😂😂😂😂😂Hakuna watu wenye true love kama sisi kataa ndoa😁😁😁