Mpenzi wangu wa tangu 2020 kaolewa, kaniambia heshima itawale. I didn’t see this coming!

Mpenzi wangu wa tangu 2020 kaolewa, kaniambia heshima itawale. I didn’t see this coming!

Dah hapa msamehe kwa kuwa alkuwa anapiga kukutumia wakati mpo na good times usimfanyie ubaya cc Fake P
Namsomaga mad najua anaakili, lakini haya mawazo sijui kayatoa wapi. Sasa kama ameumia sana kwanini aliruhusu ugomvi uchukue muda mrefu naa mwanamke wake. Au Alijiaminisha zile picha zake zitakua zinamblack mail Asiende popote.
Atume tu hizo picha kama anahis atapona
 
Back
Top Bottom