Wo shi niubi
JF-Expert Member
- Aug 14, 2015
- 1,353
- 1,784
TRAB=Tax Revenue Appeals Board maarufu Kama 'Board'.
TRAT=Tax Revenue Appeals Tribunal maarufu Kama 'Tribunal.'
PhD ya Waziri wa Fedha wa Tanzania Supervisor wake ni Akina nani?TRAB=Tax Revenue Appeals Board maarufu Kama 'Board'.
TRAT=Tax Revenue Appeals Tribunal maarufu Kama 'Tribunal.'
Deep state saidieni hii nchi na mikono ya wahujumu uchumi kama mlivyo fanya kwenye issues za Meremeta, Tangold, Epa,Richmond , Escrow , Majengo pacha ya BOT M, RADAR na BAE system scandles .Tanzania hatuna Waziri wa Fedha.
Ana laana . Huyu ndiye aliyechana hotuba ya bajeti ya upinzaniTanzania hatuna Waziri wa Fedha.
Unapopishana na TRA khs Kodi halali unayotakiwa kulipa,sehemu ya kwanza kupinga hua Ni kwa COMMISSIONER OF TRA then mkishindwana,unaenda kwny hio BOARD, ikishindikana hapo unaenda kwny hio TRIBUNAL, then mkishindwana hapo tena Finally mtaenda kwny COURT OF APPEAL mkuu.Tofauti yake ni nn? Kwa sisi tusiojua kitu?
Asante sana , umeeleza kwa lugha rahisi.Unapopishana na TRA khs Kodi halali unayotakiwa kulipa,sehemu ya kwanza kupinga hua Ni kwa COMMISSIONER OF TRA then mkishindwana,unaenda kwny hio BOARD, ikishindikana hapo unaenda kwny hio TRIBUNAL, then mkishindwana hapo tena Finally mtaenda kwny COURT OF APPEAL mkuu.
Sasa si angesema kwa kiinglish chake?😀😀😃Ndio amekosa kiswahili chake?
🤣
Ta..tratat...trataat traaat...😆🤣 nani aweke beat hapo.
Si bora uwazili wa hela wakupe tuuu 🤠🤠🤠Unapopishana na TRA khs Kodi halali unayotakiwa kulipa,sehemu ya kwanza kupinga hua Ni kwa COMMISSIONER OF TRA then mkishindwana,unaenda kwny hio BOARD, ikishindikana hapo unaenda kwny hio TRIBUNAL, then mkishindwana hapo tena Finally mtaenda kwny COURT OF APPEAL mkuu.
Kwahyo hizo trilion 360 ndo zipo uko? Means siku maamuzi yakitolewa kiasi gani kinatakiwa kulipwa ndo zitaenda TRA sioUnapopishana na TRA khs Kodi halali unayotakiwa kulipa,sehemu ya kwanza kupinga hua Ni kwa COMMISSIONER OF TRA then mkishindwana,unaenda kwny hio BOARD, ikishindikana hapo unaenda kwny hio TRIBUNAL, then mkishindwana hapo tena Finally mtaenda kwny COURT OF APPEAL mkuu.
Bila hudumaTozo ni wizi
Wewe ndio ulitakiwa uwe waziri wa fedha sasa sio yule kiazi na Ph.D yake ya mchongoUnapopishana na TRA khs Kodi halali unayotakiwa kulipa,sehemu ya kwanza kupinga hua Ni kwa COMMISSIONER OF TRA then mkishindwana,unaenda kwny hio BOARD, ikishindikana hapo unaenda kwny hio TRIBUNAL, then mkishindwana hapo tena Finally mtaenda kwny COURT OF APPEAL mkuu.