Mpina ataka kumuumbua Waziri Mwigulu bungeni, apatwa na kigugumizi, Spika ambana "mi sielewi"

Mpina ataka kumuumbua Waziri Mwigulu bungeni, apatwa na kigugumizi, Spika ambana "mi sielewi"

Kama huyu mzee Zungu anataka bundle liuzwe sh 5000 amesahau kama sera ya taifa ni vijana wasome ili wajiajiri kwenye innovation na bundle ni nyenzo ya vijana waifikie technolojia, kwa mawazo haya tutashangaa wabunge wataunga mkono, kisha baadaye wananchi wakilalamika watajifanya wapo na wananchi.
 
Kwa imani za kibongo na makuzi ya wabongo wengi, msishangae kusikia kuna watu wamemchezea Mheshimiwa, na pia msishangae Mheshimiwa nae akafunga safari kwenda kwa Sangoma ili agagwe ingawa ukweli alikuwa ameshindwa kufafanua na ni wazi hakujiandaa.

Yangu ni hayo kuhusiana na ya leo huko Mjengoni.
 
Kuna jamaa yake alikuwa na kauli za kishujaa kama zake yeye alipigwa moshi kule Ruangwa naona naona na yeye kapewa utangulizi tu..
 
Trilion 360+ maelezo hayaelewek hayo yanatokea tz pekee..iran hijabu tu pikipik za polisi znachomwa moto
 
Gulusevic was pacifying to calm his mind but answers was not there... Nimekopi sehemu.
 
Kuna jamaa yake alikuwa na kauli za kishujaa kama zake yeye alipigwa moshi kule Ruangwa naona naona na yeye kapewa utangulizi tu..
 
Ni vitu gani sijaelewa majibu Sasa

Ya ya ya ya ya ya ya.

Ya ya ya ya ya ya ya ya

Ya ya ya ya ya ya ya ya

Kazi iendele , maendeleo hayana chama
 
Kama huyu mzee Zungu anataka bundle liuzwe sh 5000 amesahau kama sera ya taifa ni vijana wasome ili wajiajiri kwenye innovation na bundle ni nyenzo ya vijana waifikie technolojia, kwa mawazo haya tutashangaa wabunge wataunga mkono, kisha baadaye wananchi wakilalamika watajifanya wapo na wananchi.
Wabunge ni wapuuzi Sana!

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom