Rais wa Tanzania anapewa madaraka alafu kila akilala anaota uchaguzi wa mwaka 2025.Unalinganisha na Marekani kweli![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Akili na mipango ya USA utailinganisha na mipango ya CCM ambao huwaza kwa kutumia tumbo? Fikra zao ni kuiba tu na kujilimbukizia mali?
Nenda shule, unalinganisha TICTS na wanachotaka kufanya WADUBAI.. nyie wajinga ndiyo mzigo kwenye nchi hiiKwani Ticts haikuwa ya wageni?
Nongwa ni kukaribisha wageni wengine?
Ila, ilikuwa kwa mkataba gani bandarini walimilikishwa Mr mwelewa?Ndugu uwe mwelewa. Ticks haikukodi bandari ndugu
Mpina yuko sahihi 100%.MPINA AILIPUA VIKALI SERIKALI, "NI HATARI SANA KWA TAIFA, NAWASHINIKIZA TUSIKUBALI HII"
View attachment 2633454
Nchi yetu imefilisika kipesa inapangisha aka kuwekeza mpaka Bandari?
Ninamuunga Mkono Mpina maneno yake anayo zungumza yana point kubwa.
Uwekezaji wa bandari ni mbovu sana Serikali iangalie sana kukodisha bandari za nchi yetu miaka 10 ijayo Serikali yetu tutakuwa kama Zimbambwe tutafilisika kwa kila kitu na umasikini utazidi kiasi ambacho. Tutakuwa tunaomba omba misaada kwa wafidhili wetu kila siku Mungu asijaalie tusifike huko amin.
Mkuu unajua Marekani kwa sasa ina mtikisiko wa kiuchumi hadi mabenk yanafilisika?Zipo bandari Marekani zinaendeshwa na Dubai ports...je wamarekani wamefilisika?
Saa100 huwa hataki bughdha kabisa anatamani hata kichwa chake angekibinafsicha ili abaki akama sanamu tu .yeye kila kitu kikimshinda anakimbilia kubinfsicha doNimemsikia Luhaga Mpina anasema eti tunataka kuwapa DUBAI Bandari zetu waziendeshe?ni kweli haya?
Mi nilidhani tungewapa kwanza private Operations bandari ya Bagamoyo tuone ufanisi wao then ndio tuanze kufikiria haya ya Bandari zingine!
Au ndio ile dhana ya "mtoto msumbufu mpeleke boarding school" asisumbue nyumbani!Is that the best way ya kusolve tatizo la msingi?
Sio Mwinyi,sio Mkapa,sio Kikwete na wala sio Magufuli wamewahi kuota kufanya maamuzi haya!Nini kinasukuma haya maamuzi ya haraka?
Moja ya ishu critical ambayo inaweza kuicost CCM yangu ni hii hapa!Tunahitaji tafakari kubwa sana kabla ya maamuzi haya!
Otherwise,2025 tunatakiwa kuwa na majibu "makubwa" juu ya swali hili nzito la Wananchi!
Tujadili kwa pamoja kwa maslahi mapana ya Taifa!
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Thank you for greater think nice commentUsisemee 2025, hapa tunagusia maslahi na mustakabali wa nchi yetu. Kama serikali imeshindwa kusimamia wafanyakazi wake itaweza kumsimamia mgeni?
Rais atakuwa anafsnya nini hapo juu si bora tumfungie ndan kama kuku wa kienyejiIt's ok kama ataleta ufanisi wa Hali ya juu n tukaona matokeo kuliko sasa hamna wanachofanya mizigo kuchelewa yaan mi naona frsh kabisah hata nchi tukiwapa watu wapge kazi sisi pale juu awepo raisi tu wengine wote tuwatoe ulaya na marekani sisi nikuwakbidhi tu malengo yetu na mahitaji
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Nitajie bandari moja iliyopo marekani inayoendeshwa na dubai,acha kupotosha kwa upumbufu wako.Zipo bandari Marekani zinaendeshwa na Dubai ports...je wamarekani wamefilisika?
Wanufaika wa ufisadi wa bandarini mkiongozwa na Mpina ndiyo mnapinga ubinafisishaji wa bandariUwekezaji wa bandari ni mbovu sana Serikali iangalie sana kukodisha bandari za nchi yetu miaka 10 ijayo Serikali yetu tutakuwa kama Zimbambwe tutafilisika kwa kila kitu na umasikini
[emoji1787][emoji1787]Kwani Ticts haikuwa ya wageni?
Nongwa ni kukaribisha wageni wengine?
[emoji7]Zipo bandari Marekani zinaendeshwa na Dubai ports...je wamarekani wamefilisika?
Kwani tumeibinafsisha TRA na TPA?!!!!Kuna mpumbavu mmoha anajifanansha tanzania na marekani ,eti mboba marwkani wao wamewaweka wageni!!??
Huwa nashangaa wanaopenda kulinganisha hili dubwasha letu na nchi zilizotuacha miaka elfu.Hoja yake ndio muhimu kuijadili
Kujifananisha na Marekani si sawa hata kidogo, mifumo yao ya kuwajibishana kwa atakaye kwenda kinyume na maadili imepangika vizuri, hapa kwetu mifumo mibovu sana
Tupate katiba nzuri ndio tuanze hiyo michezo, iwe rahisi kuwabana wakora
Sidhani kama mh.Mpina ni fisadi huko bandarini....kinachomsumbua ni "kulishwa usambo-dawa kwa wachawi)....mwishowe hujiropokea tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wanufaika wa ufisadi wa bandarini mkiongozwa na Mpina ndiyo mnapinga ubinafisishaji wa bandari
Mpina ndio anafanya Wasukuma waonekane hawana akiliMPINA AILIPUA VIKALI SERIKALI, "NI HATARI SANA KWA TAIFA, NAWASHINIKIZA TUSIKUBALI HII"
View attachment 2633454
Nchi yetu imefilisika kipesa inapangisha aka kuwekeza mpaka Bandari?
Ninamuunga Mkono Mpina maneno yake anayo zungumza yana point kubwa.
Uwekezaji wa bandari ni mbovu sana Serikali iangalie sana kukodisha bandari za nchi yetu miaka 10 ijayo Serikali yetu tutakuwa kama Zimbambwe tutafilisika kwa kila kitu na umasikini utazidi kiasi ambacho. Tutakuwa tunaomba omba misaada kwa wafidhili wetu kila siku Mungu asijaalie tusifike huko amin.