Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,892
- 16,476
- Thread starter
- #161
Tatizo lako unajichanganya sana mzee babaMpira ni nini? Kama ni pesa, mbona Marekani wanazo na hawajawahi kutwaa kombe la dunia? Kama ni vipaji, mbona vimejaa Afrika na hatufanyi maajabu?
Mpira si pesa wala kipaji. Mpira ni vitu viwili 1.Mpira ni kitu(Hollow au solid) kilichotengenezwa kwa ajili ya kudunda,kupigwa,kimichezo au kupitisha liquid kama maji au hewa. 2.Mpira ni mti fulani ambao hutoa utomvu ambao ukiauka hutengeneza Dutu kinamowww.jamiiforums.com