Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
- Thread starter
- #41
Stopisha dk ya 3.15 utamuona kibendera akiwa pazuri kabisa kuona mpokea pasi akiwa offsideKwanini isiwe offside? Huyu mshika kibendera alikuwa wapi? Nadhani position aliyokuwepo ndo imesababisha asiione offside