Mpira wa Miguu ni Mchezo wenye Maajabu yake Young Africans inayopewa nafasi Kubwa kwenda Makundi Huenda akurumushwa, na Simba isiyopewa nafasi ikafuzu

Mpira wa Miguu ni Mchezo wenye Maajabu yake Young Africans inayopewa nafasi Kubwa kwenda Makundi Huenda akurumushwa, na Simba isiyopewa nafasi ikafuzu

Kurunzi

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2009
Posts
9,753
Reaction score
10,747
Mpira wa miguu una mambo yake wakati mwingine usilotegemea likatokea na unalotegemea lisitoke na ndiyo maana kwenye Betting kuna fedha nyingi sana.

Timu yangu ya Young Africans inapewa nafasi kubwa sana ya kushinda kwenye mechi zake za Klabu Bingwa dhidi ya Elh - Melekh na kutinga makundi kuliko watu wanavyoipa Simba mtani wetu.

Kwenye mpira kuna mambo mengi sana ni vema tutunze akiba ya maneno, tuipe support timu yetu ishinde kuliko kuwabeza wapinzani wetu.
 
Nani huyo ambaye haipi nafasi kubwa Simba kufika makundi?

Simba kwenye kufika makundi hatuna wasiwasi hata kidogo hususani na mpinzani wetu tayari ana tiketi yetu.

Sisi tunafikiria nusu fainali ya AFL baada ya kumpiga Al Ahly tutakutana na Mamelody au mwenzake??
 
Mpira wa miguu una mambo yake wakati mwingine usilotegemea likatokea na unalotegemea lisitoke na ndiyo maana kwenye Betting kuna fedha nyingi sana.

Timu yangu ya Young Africans inapewa nafasi kubwa sana ya kushinda kwenye mechi zake za Klabu Bingwa dhidi ya Elh - Melekh na kutinga makundi kuliko watu wanavyoipa Simba mtani wetu.

Kwenye mpira kuna mambo mengi sana ni vema tutunze akiba ya maneno, tuipe support timu yetu ishinde kuliko kuwabeza wapinzani wetu.
Wewe nawe upo dunia ya wapi? Ukiangalia katika mizani kati ya hawa wapinzani, Yanga kapata mpinzani mgumu kuliko Simba. Al Merrikh ni timu yenye uzoefu na michuano ya CAF, ni timu ambayo inachuana na Al hilal kwa misuli ya pesa na kwao kucheza makundi kwao ni swala la kawaida tofauti na ilivyo kwa Power dynamos ambayo wanaonekana ni timu dhaifu sana. Simba kutofuzu ndio itakuwa habari ya kushangaza kwa wadau wa soka. Asilimia kubwa ya mashabiki wanaamini kwa asilimia 92 Simba kafuzu huku yanga akiwa na 50 kwa 50 kwasababu wa Sudan ni timu iliyokomaa kiufundi na mbinu kwenye michuano ya CAF.
 
Kwani huyo Percy ye anachezea melini?

Ana maajabu gani au ananyolea panga?

Mtampotea siku hiyo
Kasha cheza UEFA champions League, kaifunga Real Madrid ikiwaena Ramos na Marcelo golini yupo kipa wa Dunia Cothour
 
Kasha cheza UEFA champions League, kaifunga Real Madrid ikiwaena Ramos na Marcelo golini yupo kipa wa Dunia Cothour
Hata Bigirimana alishawahi cheza New Castle

We don't dwell in past
 
Back
Top Bottom