Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda Al Ahly aingize timu ya kawaida tu lakini akija hapa kutafuta matokeo, Simba mbona hata 5 anachukua Taifa.Percy Tau akabwe na Zimbwe? kua na adabu
mpira una matokeo ya ajabu sana. sio mbali sana wydad casablanca walianza kulia kwenye uwanja wao wa mohamed wa vMimi ni Simba lia lia ila kwa Al Ahly maji ya shingo labda kama unataka tufarijiane
Hiyo kauli mbona kama imekaa kujihamihami vile?Yanga imewekeza sana ndani ya hii miaka 3 iliyopita. Hivyo ni wakati wao sasa wa kuvuna kile walicho/wanachopanda. Wafike, wasifike! Mashabiki bado tutaendelea kuiunga mkono timu yetu.
Hahaha zimbwe Jr. Mr juju manPercy Tau akabwe na Zimbwe? kua na adabu
No easy task kwenye football ila ukifika mda quality ina amua ndio kilicho tokea kwenye mechi yetu na Wydadmpira una matokeo ya ajabu sana. sio mbali sana wydad casablanca walianza kulia kwenye uwanja wao wa mohamed wa v
kwqhiyo usiidharau simba hata kidogo
saudi arabia vs Argentina nayo quality iliamua sio??No easy task kwenye football ila ukifika mda quality ina amua ndio kilicho tokea kwenye mechi yetu na Wydad
Hapa ilikuwa ni bahati kwa Saudi Arabiasaudi arabia vs Argentina nayo quality iliamua sio??
weka kwenye akili zako kama unazo, al ahly kumtoa simba is not an easy jobHapa ilikuwa ni bahati kwa Saudi Arabia
Al Ahly ya Kongwa?
Sawa kaa usubiri ya Saudia na Argentinasaudi arabia vs Argentina nayo quality iliamua sio??
Na vice versa ni ndoto za Elinachaweka kwenye akili zako kama unazo, al ahly kumtoa simba is not an easy job
Acheni woga . Mpira unadunda lolote laweza tokea huyo Aly Ahly akafuruhushwa na mkabaki vinywa wazi na kuanza kuweka visingizio vingine .Percy Tau akabwe na Zimbwe? kua na adabu
Leo alikabwa na nani?Percy Tau akabwe na Zimbwe? kua na adabu