Mpira wa Miguu ni Mchezo wenye Maajabu yake Young Africans inayopewa nafasi Kubwa kwenda Makundi Huenda akurumushwa, na Simba isiyopewa nafasi ikafuzu

Mpira wa Miguu ni Mchezo wenye Maajabu yake Young Africans inayopewa nafasi Kubwa kwenda Makundi Huenda akurumushwa, na Simba isiyopewa nafasi ikafuzu

Wewe nawe upo dunia ya wapi? Ukiangalia katika mizani kati ya hawa wapinzani, Yanga kapata mpinzani mgumu kuliko Simba. Al Merrikh ni timu yenye uzoefu na michuano ya CAF, ni timu ambayo inachuana na Al hilal kwa misuli ya pesa na kwao kucheza makundi kwao ni swala la kawaida tofauti na ilivyo kwa Power dynamos ambayo wanaonekana ni timu dhaifu sana. Simba kutofuzu ndio itakuwa habari ya kushangaza kwa wadau wa soka. Asilimia kubwa ya mashabiki wanaamini kwa asilimia 92 Simba kafuzu huku yanga akiwa na 50 kwa 50 kwasababu wa Sudan ni timu iliyokomaa kiufundi na mbinu kwenye michuano ya CAF.
Kama hujui bora ukae kimya kwanza[emoji23][emoji23][emoji23]

Si uongo kwamba El Merrikh ni timu kubwa ila kwasasa haina tofauti na Mbuni FC kiuwezo uwanjani na sio hao tu hata wenzao Al Hillal nao wapo hoi taabani...na sababu zilizopelekea hali hiyo ni athari za VITA huko kwao na kupelekea wachezaji wengi wa kikosi cha kwanza kukimbia nchi na kubaki na wachezaji duni...
Kwa hapa yanga kapata mteremko tu.....

Huwezi fananisha POWER DYNAMO na timu yoyote ya SUDAN kwa sasa kama una AKILI TIMAMU
 
Kisport Zaidi
Yanga wasipofuzu mwaka huu basi itabidi wasubiri tena miaka 10 ijayo
Power Dynamo Hana uwezo wa kumzuia Simba on the paper ,labda maajabu ya mpira yatokee kama vile ilivyokua Kwa Saudi vs Argentina
Ndo point yangu ilipo, kuna kauepepo flan hivi sasa hivi timu zetu hazipewi opponents wagumu kama ilivyokua zamani
Sasa hivi tunapangiwa timu ambazo tunazimudu kabsa tena nyingi kutoka ukanda wetu wa CECAFA wakienda mbali zaidi wataenda labda COSAFA huko ama central Africa ambao kwa sasa tunalingana nao misuli.
 
Mtu kama huyu tumfanyeje kwa ndoto zake kama hizi jamani ?

Mambo mengine muwe mnaishia kuwasimulia wake zenu wasiojua mpira ila mkiyaleta huku mnatufosi kuwadhalilisha .

Samahani bwana nimepitiwa , nasikia eti wale wanaojiita stars badaye wana kibarua huko Arabuni je unahisi nini rafiki yangu wa kuota ?

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Sa mbona muda mchafu wa kubishana hapa unaupata?

Kama unataka kubishana kwa lengo la kuonesha Simba inafungwa hovyo unatakiwa uwe mfuatiliaji wa mechi na uwe na kumbukumbu.

Ili mtu akisoma hata kama hatoweza kubaliana na perception yako ila at least utakuwa umeweka data sahihi.

Sasa wewe unasisitiza kabisa unasema Wydad alitufunga nje ndani, wakati mechi ya mwisho iliamuliwa kwa penalti.

Kama alikuwa ametufunga nje ndani tuliendaje matuta?

Wydad tulimfunga moja nayeye kule akatufunga moja, tukaingia matuta akatutoa.

Hiyo nje ndani umeitolea wapi??
Na vipi kuhusu ndugu zao Raja Casablanca!! Yaani wale ambao mlisababisha mpaka basi la wachezaji kurudi kinyume nyume kwa umbali mrefu! Unayakumbuka matokeo yake?
 
Timu zote zinazoshiriki mashindano ya African Football League ni level nyingine

Sisi ndio tutamuonesha Madrid alichotakiwa kufanya ili kukata ngebe kusiwepo na midomo midomo kwa mashabiki wa Percy.

Tutawaonesha kwanini Al Ahly wamerudia makosa yale waliyofanya Yanga kwa Bigirimana.

Tutaioneshea Dunia namna isivyo rahisi kucheza na Simba kwenye dimba la Mkapa.

Mbele ya raisi wa FIFA tutaonesha ukubwa wetu tena.
Bila shaka wewe ni Muha
 
Na vipi kuhusu ndugu zao Raja Casablanca!! Yaani wale ambao mlisababisha mpaka basi la wachezaji kurudi kinyume nyume kwa umbali mrefu! Unayakumbuka matokeo yake?
Raja walitufunga nje ndani ila hawakuwa tishio kuliko Wydad ambao wengi waliitazamia kuiona ikitufunga magoli mengi.

Hiyo inaenda moja kwa moja hadi kwenye swala la maandalizi ya mechi, Simba iliwachukulia poa Raja.

Game ya marudiano haikuwa na umuhimu wowote ilikuwa ni kukamilisha ratiba kwasababu tulikuwa tushafuzu Robo so ile match intensity haikuwepo kabisa.
 
Kama hujui bora ukae kimya kwanza[emoji23][emoji23][emoji23]

Si uongo kwamba El Merrikh ni timu kubwa ila kwasasa haina tofauti na Mbuni FC kiuwezo uwanjani na sio hao tu hata wenzao Al Hillal nao wapo hoi taabani...na sababu zilizopelekea hali hiyo ni athari za VITA huko kwao na kupelekea wachezaji wengi wa kikosi cha kwanza kukimbia nchi na kubaki na wachezaji duni...
Kwa hapa yanga kapata mteremko tu.....

Huwezi fananisha POWER DYNAMO na timu yoyote ya SUDAN kwa sasa kama una AKILI TIMAMU
CAF champions League hakuna timu dhaifu
 
Finally umerudi kwenye asili yako.

Utabiri
Sometimes napata shida kuelewa una akili timamu au zime ruka yaani Simba hii ambayo tangu iumbwe ime stuck robo fainali CAF iifundishe Real Madrid? acha niende kwa nikanywe beer nahangaika na mgojwa wa akili hapa
 
Mpira wa miguu una mambo yake wakati mwingine usilotegemea likatokea na unalotegemea lisitoke na ndiyo maana kwenye Betting kuna fedha nyingi sana.

Timu yangu ya Young Africans inapewa nafasi kubwa sana ya kushinda kwenye mechi zake za Klabu Bingwa dhidi ya Elh - Melekh na kutinga makundi kuliko watu wanavyoipa Simba mtani wetu.

Kwenye mpira kuna mambo mengi sana ni vema tutunze akiba ya maneno, tuipe support timu yetu ishinde kuliko kuwabeza wapinzani wetu.
Nani huyo ambaye haipi nafasi Simba kwenda makundi? Hao power dynamo wako Hoi bin taabani labda Simba wawadharau lakini watashinda mapema tu... Yanga kutolewa na Al Merrikh inawezekana Ila possiblity ni 1.4 % kulingana na Hali halisi ilivo [emoji16]

Labda sehemu ngumu Kwa kolo ni huko super League Ila sio kwenda makundi
 
Sometimes napata shida kuelewa una akili timamu au zime ruka yaani Simba hii ambayo tangu iumbwe ime stuck robo fainali CAF iifundishe Real Madrid? acha niende kwa nikanywe beer nahangaika na mgojwa wa akili hapa
Kwani somo nalotoa kwa Madrid ni la kuvuka robo au la kumzuia huyo mchezaji wako unayempigia promo kisa aliifunga Madrid?

Sasa kama Madrid yenyewe ilishindwa kumzuia huyo Percy na kumruhusu afunge goli

Halafu Al Masry akafanikiwa kumzuia, huoni hapo Madrid anakitu cha kujifunza kutoka kwa Al Masry?

Sasa na mimi ndio nataka nifanye kitu hicho hicho kama alichofanya Al Masry ili kusiwepo na mifano ya kusema "aliifunga Madrid"
 
Kama hujui bora ukae kimya kwanza[emoji23][emoji23][emoji23]

Si uongo kwamba El Merrikh ni timu kubwa ila kwasasa haina tofauti na Mbuni FC kiuwezo uwanjani na sio hao tu hata wenzao Al Hillal nao wapo hoi taabani...na sababu zilizopelekea hali hiyo ni athari za VITA huko kwao na kupelekea wachezaji wengi wa kikosi cha kwanza kukimbia nchi na kubaki na wachezaji duni...
Kwa hapa yanga kapata mteremko tu.....

Huwezi fananisha POWER DYNAMO na timu yoyote ya SUDAN kwa sasa kama una AKILI TIMAMU
Hili jambo mnapenda kulisema pasipokuwa na ushahidi nalo, haya.njoo na list ya wachezaji waliokimbia hapa. Nitajie wachezaji gani muhimu waliokimbia timu.
 
Ndo point yangu ilipo, kuna kauepepo flan hivi sasa hivi timu zetu hazipewi opponents wagumu kama ilivyokua zamani
Sasa hivi tunapangiwa timu ambazo tunazimudu kabsa tena nyingi kutoka ukanda wetu wa CECAFA wakienda mbali zaidi wataenda labda COSAFA huko ama central Africa ambao kwa sasa tunalingana nao misuli.
Sema tu kuwa mpira wetu umekua kwa sasa,hutapungukiwa kitu usizunguke sana....
 
Mpira wa miguu una mambo yake wakati mwingine usilotegemea likatokea na unalotegemea lisitoke na ndiyo maana kwenye Betting kuna fedha nyingi sana.

Timu yangu ya Young Africans inapewa nafasi kubwa sana ya kushinda kwenye mechi zake za Klabu Bingwa dhidi ya Elh - Melekh na kutinga makundi kuliko watu wanavyoipa Simba mtani wetu.

Kwenye mpira kuna mambo mengi sana ni vema tutunze akiba ya maneno, tuipe support timu yetu ishinde kuliko kuwabeza wapinzani wetu.
Tatizo umeathirika na magroup ya WhatsApp ya yanga.
 
Hili jambo mnapenda kulisema pasipokuwa na ushahidi nalo, haya.njoo na list ya wachezaji waliokimbia hapa. Nitajie wachezaji gani muhimu waliokimbia timu.
Mbona umepaniki sasa,twende taratibu boss
 
Mpira wa miguu una mambo yake wakati mwingine usilotegemea likatokea na unalotegemea lisitoke na ndiyo maana kwenye Betting kuna fedha nyingi sana.

Timu yangu ya Young Africans inapewa nafasi kubwa sana ya kushinda kwenye mechi zake za Klabu Bingwa dhidi ya Elh - Melekh na kutinga makundi kuliko watu wanavyoipa Simba mtani wetu.

Kwenye mpira kuna mambo mengi sana ni vema tutunze akiba ya maneno, tuipe support timu yetu ishinde kuliko kuwabeza wapinzani wetu.
Unaandika kama unakalia Kigogo kwa nyuma
 
Hili jambo mnapenda kulisema pasipokuwa na ushahidi nalo, haya.njoo na list ya wachezaji waliokimbia hapa. Nitajie wachezaji gani muhimu waliokimbia timu.
Ubora wa Kikosi cha Merreikh msimu huu sio mzuri ikilinganishwa na Ubora wa Yanga kwani wachezaji wengi wazuri wa timu hiyo wameondoka kutokana kutokana na hali ya amani kuwa mbaya nchini humo.

“Quality ya wachezaji waliopo ndani ya kikosi cha Al-Merrikh kidogo imepungua, kwa sababu wale wachezaji wake wengi nyota waliweza kuvunja mikataba na hiyo timu kutokana na machafuko yanayoendelea nchini Sudan.

“Sio tu wachezaji, bali benchi la ufundi pia, pamoja hata na rais wa timu ya Al-Merrikh aliweza kuondoka nchini Sudan akaenda kuishi uhamishoni nchini Morocco,” .
 
Ubora wa Kikosi cha Merreikh msimu huu sio mzuri ikilinganishwa na Ubora wa Yanga kwani wachezaji wengi wazuri wa timu hiyo wameondoka kutokana kutokana na hali ya amani kuwa mbaya nchini humo.

“Quality ya wachezaji waliopo ndani ya kikosi cha Al-Merrikh kidogo imepungua, kwa sababu wale wachezaji wake wengi nyota waliweza kuvunja mikataba na hiyo timu kutokana na machafuko yanayoendelea nchini Sudan.

“Sio tu wachezaji, bali benchi la ufundi pia, pamoja hata na rais wa timu ya Al-Merrikh aliweza kuondoka nchini Sudan akaenda kuishi uhamishoni nchini Morocco,” .
Tuanzie hoja moja baada ya moja, Unasema ubora wa Al Merrikh umepungua sababu wachezaji wengi wazuri wameondoka. Je ni wachezaji wapi hao wazuri waliondoka?
 
Back
Top Bottom