Kuna kufunga kwani DROGBA alikuwa anajua chenga au PETER CROUCH?ni kama dunia imeendelea kupoteza ladha yake. AI (Artificial Intelligence) inasababisha kila kitu kiende ki-roboti, roboti.
angalia mtu kama Haland kuna nini mule sasa!
Delima angecheza Simba una hakika angekuwa ivyo una hoja ya kitotohana kipaji yule bro. ni mifumo tu wa timu unambeba. siku acheze QPR ndio utanielewa.
Kwani Messi hajawahi cheza kiungo Cha juu?Kwamba Messi anaweza kucheza kiungo kama Yaya au?
Hakuna ata mmojaJibu swali taja mchezaji wa zamani anaemzidi Messi kipaji na mafanikio usiandike gazeti refu
YouTube ata jobe wa Simba ni hatari sanaInshu siyo kuifunga timu flani hapo nataka u boost memory ya vipaji vilivuokuwepo kipindi kile hata kwa kuangalia you tube.
Hata Nigeria iliifunga Brazil. Hapo naongelea talents. Ndiyo maana Romario anaachwa na Scholari anamchukua Gaucho. Pirlo na Del Pielo wanaamia fainali ya 2006 ni pure talent zile
Sasa zidane ana kipaji Gani kumzidi Messi au mafanikio Gani?Ni
Taja mchezaji anayemzidi kipaji Zidane kwa kumbukumbu zako tangu uanze kuangalia Mpira.
Hahaha... ukimuuliza kama aliangalia fainali ya Liverpool na AC Milan UCL, kwa Liverpool iliyoitwa Liverpool kweli atajidai alikuwepo kabisa uwanjani...kumbe alikuwa tumboni badoNadhani hapa tumeshajua una matatizo makubwa sana either kiuchumi au kiakili
Jikite kwenye mada kama wenzio kijana naona umemuweka Darwin Nunez hapo bila shaka umeanza kuifatilia Liverpool juzi juzi .
Je wakongwe kama Asprin , Chaliifrancisco , na sisi malegend tusemeje? Uliza kwanza tulioshuhudia Liverpool ya ukweli kabisa.
mwenye kipaji (de Lima) ni tofauti na anayecheza kama robot (Haland)Delima angecheza Simba una hakika angekuwa ivyo una hoja ya kitoto
Sijakuelewa?Sasa zidane ana kipaji Gani kumzidi Messi au mafanikio Gani?
Zidane amemzidi Messi kitu Gani?Sijakuelewa?
Hebu weka point yako vizuri
Wewe unahisi Messi kamzidi Zidane nini?Zidane amemzidi Messi kitu Gani?
Eeeeh naona Shoga umejitokeza baada ya mimi kuonyesha kukerwa na ufirauni wenu siyo? Ndo maana nimesikia harufu ya mavi, kumbe ni wewe umekuja kwenye comment yangu?Hii mada haihusiani na mpira ila umeileta kwenye mpira ukiona mwanaume anaongelea sana hayo mambo ujue Kuna tatizo mahali huwezi kukuta mwanaume wa kweli anatajataja hayo mambo
Nachezaga na dada zakoMtoa mada kacheze rede na dada zako hujui mpira. Ahsante
Mkuu unapoteza muda tu kubishana na hao jamaa kizazi cha takwimu hawaelewiWewe unahisi Messi kamazidi Zidane nini?
Kipaji na mafanikio kamzidiWewe unahisi Messi kamzidi Zidane nini?
Sasa tusifuate takwimu labda kumpiga kichwa materazi ndiyo kipaji namba hazidanganyi na individual achievement piaMkuu unapoteza muda tu kubishana na hao jamaa kizazi cha takwimu hawaelewi
Kikubwa umeelewa hao wajinga waache
Sema Barcelona Bora iliwika miaka hiyo hiyo 2008-14 hapo ndo tuliona pass zinavopigwa hatati sanaLegends wengi wanasema mpira uliishia 2010... Baada ya hapo massive transformation ikavamia mpira kupindukia kuanzia technology even tactics + Techniques kuhusu mpira kwa ujumla.
Mara nyingi huwa napenda kutizama Copa America na ligi za huko kwa wahuni ndio huwa naona kile kimepotea ulaya.
Cha kwanza kwangu Mimi hapana.Kipaji na mafanikio kamzidi