Mpya kutoka kwa Sativa: Mafwele ameendelea kunitafuta, anataka nife, amedai bado hajamalizana na mimi

Mpya kutoka kwa Sativa: Mafwele ameendelea kunitafuta, anataka nife, amedai bado hajamalizana na mimi

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Habarini wanajukwaa,

Siku ya jana, Sativa alikaa kwenye mahojiano na kituo cha habari cha Mwanzo TV Plus.

Katika mahojiano hayo Sativa aliendelea kusisitiza kuwa Faustine Mafwele pamoja na kikosi chake wanaendelea kumtafuta na kwamba Faustine Mafwele anataka afe.

Sativa aliendelea kusema kuwa Faustine Mafwele na genge lake wana-unfinished business naye na kuongeza kuwa iwapo lolote litamkuta basi Mafwele anahusika.

Soma Pia: Kwanini Polisi haijibu tuhuma alizotoa Sativa juu ya Faustine Mafwele kuhusika kwenye utekaji wake?

 
Halafu anatokea mtu anawaambia mabalozi mbona haya mambo hata kwenu yanatokea. Ni kweli yanatokea. Lakini

- Mtu akichukua bunduki akaenda kushambulia watoto shuleni, Anauawa au kukamatwa.

-Ukifanya mauaji, Unauawa Unakakatwa.

-Ukijaribu kuua pia unakamatwa.


Aliandika hotuba ile alidhamiria kabisa kumpotosha maana Research ndogo tu ingetosha kumuambia hapa kuna utofauti mkubwa.

Kama Sativa aliishi baada ya kupigwa risasi ya kichwa basi Mungu ana kusudi nae. Ataishi na adui zake watakutakana na mkono wa Mungu angali bado Sativa yu hai.
 
Natamani kujua huyu mafwele ni nani na ana impact gani hapa nchini,kwa sababu huyu kijana ameokotwa amejeruhiwa vibaya kiasi samaia akatoa hela za matibabu na mara zote anatamka aliyemtendea hayo ni huyu mafwele.

Kuna ugumu gani kama kuna uchunguzi unaendelea wakaanza na huyu mtu?serikali inasubiri aumize wengine iseme itawatibu tena?ana uchawi wa nchi gani huyu maana hata kama ameloga basi huo uchawi siyo wa sayari hii.
 
Habarini wanajukwaa,

Siku ya jana, Sativa alikaa kwenye mahojiano na kituo cha habari cha Mwanzo TV Plus.

Katika mahojiano hayo Sativa aliendelea kusisitiza kuwa Faustine Mafwele pamoja na kikosi chake wanaendelea kumtafuta na kwamba Faustine Mafwele anataka afe.

Sativa aliendelea kusema kuwa Faustine Mafwele na genge lake wana-unfinished business naye na kuongeza kuwa iwapo lolote litamkuta basi Mafwele anahusika.

Soma Pia: Kwanini Polisi haijibu tuhuma alizotoa Sativa juu ya Faustine Mafwele kuhusika kwenye utekaji wake?

Inasikitisha sana na kuogopesha
Nasasa hivi wamepewa nyundo MTAKIONA CHA CHURA KIZIWI
Halafu anatokea mtu anawaambia mabalozi mbona haya mambo hata kwenu yanatokea. Ni kweli yanatokea. Lakini

- Mtu akichukua bunduki akaenda kushambulia watoto shuleni, Anauawa au kukamatwa.

-Ukifanya mauaji, Unauawa Unakakatwa.

-Ukijaribu kuua pia unakamatwa.


Aliandika hotuba ile alidhamiria kabisa kumpotosha maana Research ndogo tu ingetosha kumuambia hapa kuna utofauti mkubwa.

Kama Sativa aliishi baada ya kupigwa risasi ya kichwa basi Mungu ana kusudi nae. Ataishi na adui zake watakutakana na mkono wa Mungu angali bado Sativa yu hai.
Natamani kujua huyu mafwele ni nani na ana impact gani hapa nchini,kwa sababu huyu kijana ameokotwa amejeruhiwa vibaya kiasi samaia akatoa hela za matibabu na mara zote anatamka aliyemtendea hayo ni huyu mafwele.

Kuna ugumu gani kama kuna uchunguzi unaendelea wakaanza na huyu mtu?serikali inasubiri aumize wengine iseme itamtibu tena?ana uchawi wa nchi gani huyu maana hata kama ameloga basi huo uchawi siyo wa sayari hii.

"We were forced to form a Paramilitary Wing of uMkhonto we Sizwe within the ANC because the Government of Whites Minorities of South Africa was terrorising us by using the State Security Forces."

Oliver Reginald Tambo, a former President of African National Congress (ANC) from 1967 to 1993.
 
Halafu anatokea mtu anawaambia mabalozi mbona haya mambo hata kwenu yanatokea. Ni kweli yanatokea. Lakini

- Mtu akichukua bunduki akaenda kushambulia watoto shuleni, Anauawa au kukamatwa.

-Ukifanya mauaji, Unauawa Unakakatwa.

-Ukijaribu kuua pia unakamatwa.


Aliandika hotuba ile alidhamiria kabisa kumpotosha maana Research ndogo tu ingetosha kumuambia hapa kuna utofauti mkubwa.

Kama Sativa aliishi baada ya kupigwa risasi ya kichwa basi Mungu ana kusudi nae. Ataishi na adui zake watakutakana na mkono wa Mungu angali bado Sativa yu hai.
Tanzania lini ilitoa tamko kukemea hayo mauaji na kuielekeza marekani cha kufanya?
 
Back
Top Bottom