Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
- Thread starter
-
- #41
Ile dhambi ya uuaji ameitubia lini mpaka aruhusiwe kuwawekea mikono watu kichwani?Nilifikiri tumeshafunga ukurasa huu.
Mwenyewe yuko huku anaendelea na ukurasa mpya we endelea na makombo
Huyu mtu anahangaika sanaUlinzi anaotegemea sasa ni was majini tu na waganga
Awe na amani Lissu Hana visasiAnalindwa asitoroke
Ukiua kwa upanga nawe utakufa kwa upangaAwe na amani Lissu Hana visasi
Vyeti vyake akafungie vitumbua,Kisha akimaliza kula akavichambie kwenye choo cha shimo.Sasa amerudi kuwa Daudi Albert Bashite orijino.
Nani aliyechora mstari unaotenganisha kilicho dhambi na kisicho dhambi?Ile dhambi ya uuaji ameitubia lini mpaka aruhusiwe kuwawekea mikono watu kichwani?
Mikono iliyomwaga damu
Huyu mpuuzi alindwe kwa lipi?Habari wakuu!
Huyu Makonda aliyesifiwa kukamata wauza madawa ya kulevya na kutikisa jiji na nchi aliongezewa ulinzi ghafla na Rais(serikali) mpaka pale hali ilipotulia.
Baadaye aliendelea kuwa na ulinzi kiasi kutoka Vyombo mbalimbali vya Ulinzi vya mkoa wa Dar es Salaam mpaka alipoachia ngazi, au niseme mpaka alipoachishwa kazi.
Kama Mh.Magufuli anakupenda na ana mpango na wewe basi cha kwanza atahakikisha usamala (ulinzi) wako. Serikali ina walinzi wengi kutoka katika Vyombo mbalimbali vya ulinzi na usalama.
Ukiona hujaachiwa hata mgambo mmoja basi hapo panga plan B tu. Ushatemwa Mr. na kama kakuachia angalau city auxiliary police man au mgambo mmoja basi utaula na kung'ara tena na sisi tunaofurahia anguko lako tutateseka tena.
Habari wakuu!
Huyu Makonda aliyesifiwa kukamata wauza madawa ya kulevya na kutikisa jiji na nchi aliongezewa ulinzi ghafla na Rais(serikali) mpaka pale hali ilipotulia.
Baadaye aliendelea kuwa na ulinzi kiasi kutoka Vyombo mbalimbali vya Ulinzi vya mkoa wa Dar es Salaam mpaka alipoachia ngazi, au niseme mpaka alipoachishwa kazi.
Kama Mh.Magufuli anakupenda na ana mpango na wewe basi cha kwanza atahakikisha usamala (ulinzi) wako. Serikali ina walinzi wengi kutoka katika Vyombo mbalimbali vya ulinzi na usalama.
Ukiona hujaachiwa hata mgambo mmoja basi hapo panga plan B tu. Ushatemwa Mr. na kama kakuachia angalau city auxiliary police man au mgambo mmoja basi utaula na kung'ara tena na sisi tunaofurahia anguko lako tutateseka tena.
Alishampanda kichwaniJamaa alikuwa na dharau.
Ilibaki kidogo sana aanzishe siku ya kumwabudu yeye na baba yake
Ili asitoroke ujui kwamba ni mfungwa mtarajiwaHuyu mpuuzi alindwe kwa lipi?
Mwaka 2000 alikuwa anakata mikaa mbezi kimaraTena atafute kazi za kufanya au arudi kalomije bila hivyo tutamkamata uzururaji.
Polisi bila bashite ufanya kazi professionalAngekuwa madarakani Bashite angeshatoa tamko kuhusiana na ujio wa Lisu. Au angemfosi Siro apige biti
Hapa ndipo UKristo unapodharaulika,haya makanisa ya kuchezeachezea wanayatoa wapi?Nilifikiri tumeshafunga ukurasa huu.
Mwenyewe yuko huku anaendelea na ukurasa mpya we endelea na makombo
Ndumba mbaya sana hasa ikiexpireKUTAMBA KUNA MWISHO
Ndie rais wao na mlezi waoNasikia diamond anataka msajiri WCB ampe promo kama zuchu😂😂😂
Anakwambia kama wewe ni mchafu usije kwenye jiji languJamaa alikuwa na dharau.
Ilibaki kidogo sana aanzishe siku ya kumwabudu yeye na baba yake