Mradi wa Bagamoyo: Hujuma Tanzania na ushindi kwa Kenya na Rwanda

Mradi wa Bagamoyo: Hujuma Tanzania na ushindi kwa Kenya na Rwanda

Watanzania walioamka pekee

Mojawapo ya sifa za kiongozi, tena yule alie bora ni pamoja na hii kitu inaitwa CREDIBILITY. Yaani unakuta kiongozi anaweza hata kujifunika kwa shuka la siafu. Hangatwi hata na yeyote yule licha ya uchokonozi ulio wazi. Hata akijifunikia mchwa, mijoka... et al. Hangatwi kamwe. Hata hivyo kina dudus hao, mchwa, siafu na wenzio ni highly organized, ndio maana kila mmoja na majukumu yake. Ukiwa mwenzao, hungatwi, labda ushikwe ugoni. Shubamit!
Ukijidanganya wapo waliolala na NYIE ni negation ya hao, haupo serious. Jando mmekwenda nyie?
 
Mkuu nadhani na ww hujamuelewa zitto..... Anachosema hapa Kulikua na competition kati ya TZ na Kenya hivyo kama Bandari ya bagamoyo ingekuwa developed wakati huu tungeliwahi soko la melo kubwa kabla ya Kenya.
Shida anayosema hapa ni kwamba Kenya wamegeuka monopoly hivyo bandari ya TZ itamalizwa nguvu hata bila ya "unyonyaji" wa bagamoyo.

Kwa kusummarise tu anadai Bandari ya bagamoyo hta kama sio viable kwetu ni "better than nothing". Mara 10 hayo mabilioni yaishie bagamoyo tunaponyonywa kuliko yaishie Lamu tukose vyote.

Kingine faida ya bandari haipimwi kwa kodi na mapato ya moja kwa moja ila kuna multiplier effect zinazokuja mfano ajira,tender, makampuni mfano ya logistics,Yard za bandari,warehousing, Tax consultants, taasisi za fedha, real estates, Clearing & forwarding n.k kuweka kambi hapa nchini ambayo yatalipa kodi pia n.k hivyo hta kama tusipopata mapato mwanzoni spillover effect yake inaweza kuwa kubwa kuliko hata mapato ya TPA kwa Dar es salaam.

Ni hayo tu
Back in the days kuna member mmoja hapa JF aliwahi kudai kwamba miaka 40 ni mingi mno... hadi miaka 40 inaishia, Bandari itakuwa imeshachakaa!! Nikamuuliza ikiwa anafahamu Bandari ya Dar es salam imejengwa lini lakini bado kesho ndiyo tegemeo letu... hakujibu!!!

Yaani watu hili suala wanaliangalia kwa jicho la kesho badala ya jicho la days after kesho! Yaani unakuta mtu anaamini Bandari ya Dar es salaam ni kubwa sana na kwahiyo inatosha huku akisahau kwamba pamoja na umaskini wetu huu, bado bandari ya Dar es salaam huwa inaelemewa! What if uchumi wetu ukifikia angalau kama ule waSouth Africa!!!
 
Jinsi ulivyo mwenye akili finyu kutofahamu kwamba sheria ya nchi ndiyo inaruhusu mtu kutumia ardhi hadi miaka 99 kwa malengo ya uwekezaji.

You are Schizophrenic get some help....
Asante. Uwekezaji wa aina gani hapa unazungumzia? Uwekezaji wa bandari? Uwekezaji wenye masharti kwa mwenye ardhi? Mtawadanganya waliolala siyo wenye wenye maoni. Makuadi mnakumbuka atumbo yenu tu. Nilishasema tena na nitasema tena: Hakuna mwanasisa hatari kama Zitto wenye hii nchi. Ni mbaya sana na ubaya wake ni ule wa kichinichini. Anajijali yeye tu.
 
Tunaendelea kupata nondo kupitia uzi huu, wengine kwenye uchumi ni weupe kabisa,
 
Angalia akili za Kilumumba hizi! Eti kuendeleza kwao!

Huyu mkwere alikuwa na upendeleo na kwao zaidi ya wote waliomtangulia; unajua kulikuwa na NGOs ngapi wilaya ya Bagamoyo enzi ya Urais wake kabla ya kuanzisha wilaya yake ya Chalinze? Hata Chuo cha usimamizi wa fedha IFM nacho kilikuwa kinajenga campus kule!! Mradi ule baada ya kutumia fedha nyingi kuwafidia ndugu zake [ kwenye eneo hilo kuna makaburi ya babu zake] sizidhani kama unaendelea tena!!
 
Nimemsikia waziri Kamwele sijui nani akiongea leo kuwa eti Upanuzi wa Bandari ya Dar es Salaam unaoendelea utaiwezesha Bandari ya Dar es Salaam kupokea meli zenye upana mkubwa hadi mita 260 tofauti na sasa ambapo inapokea max mita 200.

Huo unaweza kuwa ukweli na uongo pia.

Bandari ya Dar es Salaam ina berth (gati) 7, na sasa wameongeza moja maalum kwa meli za magari, Itakuwa jumla 8.

Berth no. 1-7 zote zina upana wa wastani wa 190 mita.

Kitachotokea ni kuwa, inapofika meli kubwa, let's say ya 260 mita, meli itafunga kwenye berth mbili kwa wakati mmoja (yaani itatumia mita 190 za Beth moja na ku overlap kwenye berth ya jirani by 80 mita.), hivyo, kuua berth moja haifanyi kazi maana itabakia na upana mdogo usiowezesha meli nyingine kufunga)

Kwa hali ya kuruhusu meli zenye upana mrefu kufunga, bandari imejikuta inahudumia meli wastani wa 4 tu kwa wakati, na kusabanisha msongamano mkubwa sana wa meli kusubiri muda mrefu nje

Kitu kitakachosaidia ktk upanuzi huu, ni kina cha berth (draft) ambapo ilikuwa 8.7m na sasa imeenda hadi 14 mita.

All on all, kwa kitengo cha serikali kuua soko huria kwa kutaka kufanya kazi zote za shipping agent serikali wenyewe, clearing and forwarding agency, bandari hii itabakia kuhudumia mizigo ya ndani tu, maana hakutakuwa na usbindani, na ikumbukwe kuwa private shipping agent zinachangia kiasi kikubwa kutafuta kazi huko nje
 
Unyonyaji wake ni upi?! Hivi suala la tax holiday kwako ni jipya?! Hivi suala la hatimiliki ya miaka 99 kwako ni jipya?! Unaweza kutaja aina ya huo unyonyaji ambao kwako wewe ni unyonyaji mpya ambao haupo kwenye ulimwengu wa unyonyaji?!
Unyonyaji wa watu wanaotaka vya bure kama wewe. Watu wavivu wanaofikiri kukodisha kila raslimali waliyo nayo kwa watu ili wafaidike. Kwao kufanya kazi wanaona ni adhabu na kuhalalisha hilo wanakuambia tunahitaji wawekezaji. Tulifukuza wakoloni wa nini basi kama hatuwezi kuijenga nchi yetu wenyewe. Anyways najua wengi mnaotetea huu uchafu mna kaliba za Kikwete, za kipwani pwani za kutaka mtelemko tu. Ndiyo maana hata Dar mmeuza ardhi mliyomiliki na kuhamia kwenye vibanda nje ya jiji huku wageni wakiwatawala jiji la asili yenu.
 
Huyu mkwere alikuwa na upendeleo na kwao zaidi ya wote waliomtangulia; unajua kulikuwa na NGOs ngapi wilaya ya Bagamoyo enzi ya Urais wake kabla ya kuanzisha wilaya yake ya Chalinze? Hata Chuo cha usimamizi wa fedha IFM nacho kilikuwa kinajenga campus kule!! Mradi ule baada ya kutumia fedha nyingi kuwafidia ndugu zake [ kwenye eneo hilo kuna makaburi ya babu zake] sizidhani kama unaendelea tena!!
Jibu maswali niliyokuuliza wewe!! Ulitarajia bandari ikajengwe Dodoma?!

Hivi Mkwere angekuwa na huo upendeleo, unaweza kutaja hapa amejenga nini Bagamoyo?!

Ndani ya miaka 3, Magufuli kajenga Chato vifuatavyo:-
1. Chato International Airport
2. Bohari ya Madawa
3. Hospitali ya Rufaa
4. Kahamisha wanyama mbuga zingine na kuwapeleka Chato

Unaweza kutaja ambavyo JK kajenga Bagamoyo kwa miaka 10 aliyokaa madarakani?!
 

Soma vizuri mkuu, kuna maeneo nimekutajia amabayo kenya ipo mbele ya nchi zote za EA.
labda kwa faida yako Kenya ipo mbele katika maeneo yafuatayo:-

kwanza, Mentally,(ina watu ambao ni very smart upstairs),

Pili, Politically( Kenya inathamini sana democrasia kuliko nchi yoyote EA mfano kumbuka kipindi cha uchaguzi wa kenya),

Tatu, economically( uchumi wa kenya ni mkubwa sana kuliko nchi zingine za EA).

Nne, Socially( Kuna huduma nzuri hospitalini na kuna experts wa kutosha mfano ishu na tatizo la ommy dimpoz hospitali iliyogundua tatizo lake ipo nchini Kenya wakati nchini kwake alisema ana cancer wakati siyo kweli, TL alitibiwa nchini kenya kabla ya kwenda Beligium, n. k.)
Hata Elimu wako vizuri hawana wasomi feki wanunua vyeti kama Tanzania
 
Unyonyaji wa watu wanaotaka vya bure kama wewe. Watu wavivu wanaofikiri kukodisha kila raslimali waliyo nayo kwa watu ili wafaidike. Kwao kufanya kazi wanaona ni adhabu na kuhalalisha hilo wanakuambia tunahitaji wawekezaji. Tulifukuza wakoloni wa nini basi kama hatuwezi kuijenga nchi yetu wenyewe. Anyways najua wengi mnaotetea huu uchafu mna kaliba za Kikwete, za kipwani pwani za kutaka mtelemko tu. Ndiyo maana hata Dar mmeuza ardhi mliyomiliki na kuhamia kwenye vibanda nje ya jiji huku wageni wakiwatawala jiji la asili yenu.
Umeshindwa kujenga hoja naona unaanza kukashifu watu wa pwani. Hivi mtu mbaguzi kama wewe ndiyo mtetezi wa hii serikali ??? Kuna shida pahala....
 
Unyonyaji wa watu wanaotaka vya bure kama wewe. Watu wavivu wanaofikiri kukodisha kila raslimali waliyo nayo kwa watu ili wafaidike. Kwao kufanya kazi wanaona ni adhabu na kuhalalisha hilo wanakuambia tunahitaji wawekezaji. Tulifukuza wakoloni wa nini basi kama hatuwezi kuijenga nchi yetu wenyewe. Anyways najua wengi mnaotetea huu uchafu mna kaliba za Kikwete, za kipwani pwani za kutaka mtelemko tu. Ndiyo maana hata Dar mmeuza ardhi mliyomiliki na kuhamia kwenye vibanda nje ya jiji huku wageni wakiwatawala jiji la asili yenu.
Kumbe wa jamaa ni lofa namna hii... TOO LOW TO ARGUE WITH!! Yaani seriously unataka kuleta suala la ukanda hapa!!! Hivi huko kwenu ambako hampendi mteremko mbona ni maskini wa kutupwa vile vile?! Kama hamuuzi ardhi, mbona bado kesho mnaishi kwenye vijumba vya hovyo tena kuliko hata vya huko pwani?!

Hakika ni mpumbavu tu ndie anaweza kukejeli eneo moja la Tanzania manake kwa mwenye akili timamu anafahamu huko Tanzania hii kila mahali kuna umaskini wa kutupwa!!! Halafu ungekuwa na akili sijui kama ungeweza kuzungumzia suala la vibanda!!

Anyway, wacha nikupuuze manake sikufahamu kwamba una mawazo ya kijinga namna hii!!! No wonder unatetea kila kitu hata kama ni cha kipumbavu kwa sababu anayefanya ni "wa nyumbani"

Aibu sana hii!!! Unaacha kujenga hoja unaleta viroja!!
 
Bishara iliyo hasara kutokuifanya ni faida...
Si lazma kufanya vitu ambavyo havitufaidishi

Screenshot_2019-10-21-19-06-34-63.jpeg
Screenshot_2019-10-21-19-01-55-93.jpeg
 
Umeshindwa kujenga hoja naona unaanza kukashifu watu wa pwani.
Hoja gani unajiona umejenga? Hoja ya kukaa kibarazani na kutegemea wageni waje wakufanyie kazi? Unang'ang'ana na keyboard eti ''wanajenga kwa fedha zao hivyo tusikatae''. Ndiyo hoja hii? Kuna cha bure dunia hii?
 
Hoja gani unajiona umejenga? Hoja ya kukaa kibarazani na kutegemea wageni waje wakufanyie kazi? Unang'ang'ana na keyboard eti ''wanajenga kwa fedha zao hivyo tusikatae''. Ndiyo hoja hii? Kuna cha bure dunia hii?
Niko naww mkuu, kuna watu wa ajabu kweli,.... Yan hawa ndyo waliokua wanasaini mikataba ya madini miaka 200 kwa kupata 5% alafu 95% faida kwa wawekezaji
 
Kumbe wa jamaa ni lofa namna hii... TOO LOW TO ARGUE WITH!! Yaani seriously unataka kuleta suala la ukanda hapa!!! Hivi huko kwenu ambako hampendi mtelekemko mbona ni maskini wa kutupwa vile vile?! Kama hamuuzi ardhi, mbona bado kesho mnaishi kwenye vijumba vya hovyo tena kuliko hata vya huko pwani?!

Hakika ni mpumbavu tu ndie anaweza kukejeli eneo moja la Tanzania manake kwa mwenye akili timamu anafahamu huko Tanzania hii kila mahali kuna umaskini wa kutupwa!!! Halafu ungekuwa na akili sijui kama ungeweza kuzungumzia suala la vibanda!!

Anyway, wacha nikupuuze manake sikufahamu kwamba una mawazo ya kijinga namna hii!!! No wonder unatetea kila kitu hata kama ni cha kipumbavu kwa sababu anayefanya ni "wa nyumbani"

Aibu sana hii!!! Unaacha kujenga hoja unaleta viroja!!
Just look at his train of thought: Sasa hawa ndiyo vijana wa awamu ya tano
 
Hoja gani unajiona umejenga? Hoja ya kukaa kibarazani na kutegemea wageni waje wakufanyie kazi? Unang'ang'ana na keyboard eti ''wanajenga kwa fedha zao hivyo tusikatae''. Ndiyo hoja hii? Kuna cha bure dunia hii?
We endelea tu kutetea mambo hata kama ni ya kipumbavu manake leo nimepata jibu kwamba unasukumwa na ukabila!!!
 
Back
Top Bottom