Mradi wa LNG: Tukicheza Vizuri wakati huu ni hakika Umasikini tutausahau Tanzania na Samia anaweza kuwa Rais Bora zaidi kuwahi kutokea Tanzania

Kwa hali ilivyo Marekani na Ulaya ni kuwa kwa njia yeyote ile lazima waachane na Urusi ili Urusi aache kibuli.

Na njia pekee ya kuachana na Urusi na kumuua Urusi ni kuacha kutegemea gesi yake. Kama wataacha kutegemea Gesi ya Urusi ni lazima sehemu wanayoweza kupata Gesi wahakikishe Gesi iyo inafika Ulaya. Na nakuhakikishia wataifikisha ulaya hata kwa kupunguza shipping cost kutoka Tanzania
 
Amani iwe nanyi wadau,

Hali ya bara ya ulaya na Asia sio nzuri kwa sasa, Urusi anaonesha ubabe wa waziwazi kwa kuanza kurudisha maeneo ya uliokuwa Umoja wa nchi za kisovieti.
Mumesahau kuwa Jpm alidai gesi iliuzwa kwa Mabeberu. Sasa kuhusu nani na serikali ya utawala upi iliuza hakusema. Hvyo akaki.bilia miradi inayotumia ngv nyingi na rasilimali nyingi. Akaacha gesi iliyo ardhini ambayo side effects zake ni chache. Hii africa wanasiasa ni watu wa hovyohvyo tu.
 
 
Weka ushahidi kuwa sio ya Tanzania. Au upon chato huko umeshalishwa matango pori unakuja kuropoka humu
Ww ndio mlopokaji na unajipendekaza kwa watawala HAKUNA GESI YA TAIFA mikataba mibovu ambayo inalinyima taifa mapato ya gesi .hatuna uwezo wa kuiuza gesi mpaka mwekezaji abembelezwe ...usiwadanganye wananchi ww
 
Mkuu mbona Nchi zenye gas ni nyingi Sana hapa Duniani yaani Tanzania ni kiduchu Sana,sioni hiyo advantage.
Biashara duniani ni namna unavyotumia fursa inayopatikana kwako. Kuwa na Gesi ni jambo moja a kuitumia fursa ya kuwa na Gesi kufaidika kiuchumi ni jambo lingine.

Hata Marekani ana hifadhi kubwa sana ya .
mafuta na Gesi ila nchi zinazofaidika zaidi katika Biashara ya mafuta na Gesi duniani ni Qatar, Saudi Arabia na UAE.
 
Ww ndio mlopokaji na unajipendekaza kwa watawala HAKUNA GESI YA TAIFA mikataba mibovu ambayo inalinyima taifa mapato ya gesi .hatuna uwezo wa kuiuza gesi mpaka mwekezaji abembelezwe ...usiwadanganye wananchi ww
Usiongee maneno mengi sana nipe ushahidi tu kuwa Gesi sio ya Tanzania
 
Jpm ndo nani hadi aaminike? Alikupa huo ushahidi kuwa Gesi imeuzwa kwa mabeberu?
 
Total ametangaza ana resume uzalishaji Mozambique, Shell na Equinor wao wanachangamkia Tanzania.

Serikali wameliona hili tuwaombee likamilike na kuenda vizuri
 
Jpm ndo nani hadi aaminike? Alikupa huo ushahidi kuwa Gesi imeuzwa kwa mabeberu?
Kama haijauzwa..munakkmbilia kutumia maji ya nini Wakati wa serkalini ya Jk bungeni mlisema gesi ndy itashusha bei ya umeme mpaka viwanda vitajengwa vijijini. Watu walewale mkaja sema tena Gesi imeuzwa kwa mabeberu Mara Paa Umeme wa Hp..Rufiji....gesi kama ipo maji kwanini muyasumbue?
 
Mwenzako anaongea juu ya opportunity ya Tanzania kutokana na mahusiano ya Urusi na Ulaya. Mimi namuunga mkono. Hiyo ni biashara. Zaidi nataka nijue usafirishaji wa gesi yetu kwenda Ulaya utakuaje.
 
Amani iwe nanyi wadau,

Hali ya bara ya ulaya na Asia sio nzuri kwa sasa, Urusi anaonesha ubabe wa waziwazi kwa kuanza kurudisha maeneo ya uliokuwa Umoja wa nchi za kisovieti.
Sahau Hilo swala kabisaa

Maana usitegemee mnyonge kunufaika hapo

Wajanja watakula na niwale tu amba wapo upande wa wenye nguvu
 
Sasa tumehama kwenye Point yangu ya Mwanzo..., Is it Diplomatically Correct kwa Tanzania kusema (kusema sio kuwaza) kwamba huu mgogoro ni fursa kwetu?
 
Are you sure about this? ile Gas tuliyoambiwa wakati wa Kikwete unakumbuka ilipoishia?
 
Are you sure about this? ile Gas tuliyoambiwa wakati wa Kikwete unakumbuka ilipoishia?
Uzi umejaa watu wa yule jamaa, ukweli ni kuwa gesi yote iliuzwa hatuna gesi. Hata hii ya umeme tunanunua
 
Mwenzako anaongea juu ya opportunity ya Tanzania kutokana na mahusiano ya Urusi na Ulaya. Mimi namuunga mkono. Hiyo ni biashara. Zaidi nataka nijue usafirishaji wa gesi yetu kwenda Ulaya utakuaje.
Hiyo mikataba utaionea wapi?
 
Are you sure about this? ile Gas tuliyoambiwa wakati wa Kikwete unakumbuka ilipoishia?
Kwani Gesi ya kipindi cha JK ndo LNG? Ndugu ni vizuri kuomba ueleweshwe maana unaonekana elimu yako ni ya hapa na pale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…