Mradi wa LNG: Tukicheza Vizuri wakati huu ni hakika Umasikini tutausahau Tanzania na Samia anaweza kuwa Rais Bora zaidi kuwahi kutokea Tanzania

hebu nikuulize mleta mada, huu mradi (ikiwa utakubalika kufanyika) utachukuwa muda gani kukamilika? Na nimeshindwa kusoma popte katika nakala yako panaposema mradi mzima unatagharimu kiasi gani! Na kwa muda wote huu wakati europe wanasubiri ukamilishaji wa mradi huu ni nani atakuwa suplier mkuu wa gas kwa nch hizo ulizozitaja?
 
Ulaya kuachana na Urusi ni long term plan! Kama ilivyokuwa Cold War.

Hata ukichukua miaka 5, Suala litakuwa Ulaya hawahitaji tena Gesi ya Urusi na wananunua Gesi sehemu nyingine ikiwemo Tanzania
 
Bado hadi kesho namlilia Muhongo...

Muhongo ndie alikuwa anaifahamu hii sekta hii vizuri...
 
Uzi umejaa watu wa yule jamaa, ukweli ni kuwa gesi yote iliuzwa hatuna gesi. Hata hii ya umeme tunanunua
Walinzi wa Legacy mna matatizo sio kidogo...

Eti gesi iliuzwa... ni nani aliuziwa?!
 
Bado hadi kesho namlilia Muhongo...

Muhongo ndie alikuwa anaifahamu hii sekta hii vizuri...
Yaani acha kabisa mkuu...siku kamati ya makinikia wanasoma report yao nil
itamani niingie chini ya meza maana kilichofanyika pale ni uzandiki wa Hali ya juu Sana...niliwashangaa Sana akina Mruma na Ikingura kuja na report ya namna Ile...inakuweje watu na uelewa wao wana-quantifu gangue minerals...nilishangaa Sana...sijui Mruma alikuwa anataka uwaziri hata sijui..
 
Wosomi wetu wapo kulinda matumbo yao na sio kulinda proffessional zao kwa maana ya kulisaidia taifa. Kwa kipindi kile ilikuwa na ngumu labda kwa mwenye strong balls kama lisu kusimamia ukweli mbele ya mzalendo wa chato.
 
Sio tuu gas ,aliharibu Bagamoyo port na uchumi in general,angekuwa hai saizi tungekuwa shimoni.
 
Bado hadi kesho namlilia Muhongo...

Muhongo ndie alikuwa anaifahamu hii sekta hii vizuri...
Yani Watanzania milioni 60 katika miaka 60 ya uhuru Muhongo peke yake ndiye tegemeo!
 
Yani Watanzania milioni 60 katika miaka 60 ya uhuru Muhongo peke yake ndiye tegemeo!
Wapo wengi ila huwezi mlinganisha Muhongo na Kalemani au Makamba...hata ukiwachanganya pamojahawafiki hata heluthi ya uelewa wa Muhongo kwenye ishu za madini na nishati mkuu...Muhongo ni level nyingine boss.
 
Switzerland has Human Resources never forget that and it’s the leading country in the world in democracy
 
 
Yani Watanzania milioni 60 katika miaka 60 ya uhuru Muhongo peke yake ndiye tegemeo!
Unaweza kuonesha ni wapi nimesema kati ya Watanzania 60M ni Muhongo peke yake ndie tegemeo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…