Mradi wa LNG: Tukicheza Vizuri wakati huu ni hakika Umasikini tutausahau Tanzania na Samia anaweza kuwa Rais Bora zaidi kuwahi kutokea Tanzania

Mradi wa LNG: Tukicheza Vizuri wakati huu ni hakika Umasikini tutausahau Tanzania na Samia anaweza kuwa Rais Bora zaidi kuwahi kutokea Tanzania

Hapana Magufuli hakuacha , wanasema mazungumzo yalikuwa yanaandaliwa
Magufuli aliharibu sana kwenye suala la gas.

Baada ya kugundua kuwa ameharinu, akaanza kuhangaika kutaka kuurudisha huo mradi, akagonga mwamba. Mwaka 2020, wawekezaji wakaahidi kuwa wanaweza kurudi tena Tanzania, lakini haitakuwa kabla ya miaka mitano. Lakini kimsingi ni kwamba waliona dhahiri kuwa utawala wa Magufuli siyo wa kuaminika.
 
Rais bora kuwahi kutokea Tanzania🐒🐒🐒
 
Sasa tumehama kwenye Point yangu ya Mwanzo..., Is it Diplomatically Correct kwa Tanzania kusema (kusema sio kuwaza) kwamba huu mgogoro ni fursa kwetu ?
Kwani kipi kisichojulikana? Kipi cha kificho? Kwani kansela wa Ujerumani hajatangaza hadharani kusitisha mradi wa Gesi wa Urusi na Ujerumani/ Ulaya?
 
Magufuli aliharibu sana kwenye suala la gas.

Baada ya kugundua kuwa ameharinu, akaanza kuhangaika kutaka kuurudisha huo mradi, akagonga mwamba. Mwaka 2020, wawekezaji wakaahidi kuwa wanaweza kurudi tena Tanzania, lakini haitakuwa kabla ya miaka mitano. Lakini kimsingi ni kwamba waliona dhahiri kuwa utawala wa Magufuli siyo wa kuaminika.
Sio vizuri kumpa lawama! Ni kweli kuna sehemu alikosea Ila kazi ya Samia iwe ni kurekebisha na kwenda mbele
 
Sio 30Million ni $30 Billion, na hiyo kazi kwa sasa inaendelea.
Mkuu mm nimeshangaa tu kuwa jamaa anasema 30Mus$ ni hela ndefu...ila baada ya kusoma comments zako ndo nikaona umemkosoa na kusema 30billion$us...Haya Mambo sio mgeni sa a ingawa sio mfuatiliaji Sana..ila migodi ya dhahabu inagharimu zaidi ya 300mus$ kuanzishwa na watu wanaweka mpunga...ndo maana nikasema kama ni only 30m$ Wala hatuna haja ya muwekezaji. Shida ya hii nchi siasa nyingi Sana. Mm naamini wizara ya nishati na madini wakati ule wangemwacha Muhongo na wakaacha kumuingilia Leo hii tungekuwa tunaongea mengine kabisa kwenye gesi...sema nn mkuu ndo maana watu wengi wmefika sehemu wanasema acha nitafute ugali wa watoto wangu tu.
 
Tungeanza toka 2013 leo tungeshaanza uza
 
Kwani hiyo gesi yenyewe mnayo au mshawauzia wengine, haya tanzania mnamiliki asilimia ngapi..
Halafu ina maana hiyo gesi duniani baada ya mrusi, ndio tunayo sisi? Wengine hawana? Afrika nchi ngapi zina gesi?

Nchi hii haiwezi kupiga hatua sababu tumewakabidhi watu wasio na maono na wabinafsi mnooo.
 
Amani iwe nanyi wadau,

Hali ya bara ya ulaya na Asia sio nzuri kwa sasa, Urusi anaonesha ubabe wa waziwazi kwa kuanza kurudisha maeneo ya uliokuwa Umoja wa nchi za kisovieti.

Wiki hii imeanza kwa moto baada ya Rais Putin kutangaza kuyatambua maeneo ya Donesk na Luhansk kuwa nchi huru ikiwa ni harakati za kutwaa majimbo haya kutoka nchi ya Ukraine.

Haya yakiendelea inaonekana nchi za Marekani na Washirika wake wa Magharibi hasa NATO (Nchi za Ufaransa, Ujerumani, Uingereza na nyinginezo) hawataki vita zaidi ya kumdhoofisha Urusi kiuchumi ili afe kiuchumi

Njia kuu inayotumika na inayotarajia kutumika kwa sasa katika kumdhoofisha urusi kiuchumi ni kwa kuacha utegemezi wa gesi ya Urusi na ikumbukwe kuwa Urusi ndo nchi inayotegemewa hasa na nchi za Ulaya kwa usambazaji wa gesi

Kwa Ulaya Gesi ndo hitaji kuu la nishati kwa sababu ya Baridi kali ambayo inawafanya wategemee zaidi Gesi kwa ajiri ya kupikia na mahitaji mengine.

Jana usiku Kansela wa Ujerumani ametangaza kusitisha mpango wa Bomba la Gesi kutoka Urusi kuingia Ujerumani na kwenda nchi zingine za Ulaya huku Mataifa mengine ya Ulaya na Marekani wakiweka vikwazo vikali dhidi ya Rais Putin na mabenki yake.

Kwa sasa inaonekana nchi za Ulaya zimeanza kutupa macho kwa Tanzania kwa sababu ndo imeonekana kuwa nchi yenye siasa nzuri na yenye hifadhi kubwa ya Gesi ambayo wanaweza kuinunua na kuitumia baada ya kuachana na Urusi

Jarida Maarufu la kiuchunguzi The African Report limeandika makala hii jana

Baada ya kuona hali hii niliyoielezea hapo juu naona sasa Wazungu wako serious mradi wa LNG uanze haraka hapa Tanzania ili waachane na Urusi mazima.

Taarifa iliyotolewa na kampuni iliyo kwenye mazungumzo na Serikali ya Tanzania katika mradi huu ya Shell kuwa wako kwenye sehemu nzuri kimazungumzo na Tanzania kwa ajiri ya mradi wa LNG kuanza naona imekaa ki strategy zaidi kwa ajiri ya kuwatuliza wananchi wa Bara la ulaya ambao hadi sasa hofu yao kuu ni Maisha yatakuwaje bila Gesi ya Urusi?

Napenda kuipongeza serikali ya Tanzania kwa hatua waliyofikia kwenye mazungumzo ya uwekezaji mkubwa wa Gesi huko Lindi na Mtwara na napenda kuwahusia tu kikubwa ni kuwa hakikisheni tu nchi yetu inafaidika massively kiuchumi kutokana na huu mradi.

Kwa Rais Samia napenda kusema unaanza kusomeka kwenye ramani ya Dunia. LNG ndo main legacy yako, ukicheza vizuri hapa umaskini itakuwa historia Tanzania na utakumbukwa milele kama The best President ever to happen in Tanzania!

Muwe na siku njema!
View attachment 2128208
Angola, Equatorial Guinea, Gabon, Sudan na Nigeria wote ni wazalishaji wakubwa wa mafuta dunia ila umaskini uliokithiri kwa watu wengi haujaondoka. Sisi ni tofauti sana na Waafrika wengine?

Pia utajiri wa nchi huamiliwa zaidi na aina ya watu wake na akili zao, ndio maana unaweza kuona nchi zenye rasilimali kidogo sana kama Japan, Israel, Singapore, Belgium, Switzerland, Taiwan zimeweza kuendelea zikiwa na rasilimali chache sana
 
Kwani hiyo gesi yenyewe mnayo au mshawauzia wengine, haya tanzania mnamiliki asilimia ngapi..
Halafu ina maana hiyo gesi duniani baada ya mrusi, ndio tunayo sisi? Wengine hawana? Afrika nchi ngapi zina gesi?

Nchi hii haiwezi kupiga hatua sababu tumewakabidhi watu wasio na maono na wabinafsi mnooo.
Kama watatoa bure kama kawaida yao unategemea hao wadau watakataa ?, Tena huenda wakachukua na kwenda kuwauzia Japana na China....

Shida hatujui what's behind tunalishwa tu mavitu..., USA ana-stake kubwa sana kwenye hii LNG na amewekeza vilivyo na huenda anashangalia yanayotokea Urusi na Urafiki wake na NATO kama issue zikienda pear shaped lazima awabane urafiki wao utakuwa murua zaidi kama wakideal na yeye na LNG yake...
 
Angola, Equatorial Guinea, Gabon, Sudan na Nigeria wote ni wazalishaji wakubwa wa mafuta dunia ila umaskini uliokithiri kwa watu wengi haujaondoka. Sisi ni tofauti sana na Waafrika wengine?

Pia utajiri wa nchi huamiliwa zaidi na aina ya watu wake na akili zao, ndio maana unaweza kuona nchi zenye rasilimali kidogo sana kama Japan, Israel, Singapore, Belgium, Switzerland, Taiwan zimeweza kuendelea zikiwa na rasilimali chache sana
Nchi zote ulizozitaja sio Tanzania. Hata Algeria ni Africa ila wanatumia vizuri resources zao

Watanzania tuna akili nyingi sana. Tulip uone matokeo ndo useme
 
Kama watatoa bure kama kawaida yao unategemea hao wadau watakataa ?, Tena huenda wakachukua na kwenda kuwauzia Japana na China....

Shida hatujui what's behind tunalishwa tu mavitu..., USA ana-stake kubwa sana kwenye hii LNG na amewekeza vilivyo na huenda anashangalia yanayotokea Urusi na Urafiki wake na NATO kama issue zikienda pear shaped lazima awabane urafiki wao utakuwa murua zaidi kama wakideal na yeye na LNG yake...
Acha nadharia lete uthibitisho
 
Acha nadharia lete uthibitisho
Uthibitisho utoke wapi ? Kuna Mikataba iliyo transparent ?..., Uthibitisho ni yaliyotokea na yanayotokea ni Mkataba gani hii nchi iliyoshawahi kuingia wenye manufaa kwa Taifa ?

Mengine sio sisi tu tunashangaa hata Kiongozi mwenyewe anakuja kushituka..., Au sio sisi hapa Juzi kati iligundulika Mkataba wa Ujenzi wa Meli ulikuwa wa Madalali wa Uturuki....
 
Uthibitisho utoke wapi ? Kuna Mikataba iliyo transparent ?..., Uthibitisho ni yaliyotokea na yanayotokea ni Mkataba gani hii nchi iliyoshawahi kuingia wenye manufaa kwa Taifa ?

Mengine sio sisi tu tunashangaa hata Kiongozi mwenyewe anakuja kushituka..., Au sio sisi hapa Juzi kati iligundulika Mkataba wa Ujenzi wa Meli ulikuwa wa Madalali wa Uturuki....
Kumbe Uko kwenye nadharia na sio facts?

Endelea kubwabwaja tu
 
Nimekusoma ulichoandika mpaka pale uliposema nchi yetu ina siasa nzuri, huu upofu wa makusudi unaojitia unajidanganya mwenyewe, ni kama unajitekenya na kucheka peke yako.

Kuhusu hiyo LNG mtazipata wapi $30mil zinazohitajika kwenye huo mradi?

Kwa utoto ulioandika hapa, vipi kuhusu Nyerere Dam ndio pesa imeshachezewa pale kwa hiyo iachwe ipotee?

Kama hiyo ndio akili yenu, kwanini nisiamini mnataka kuanzisha mradi mpya wa LNG ili nanyi mpate nafasi ya upigaji ili kama ikitokea msipoukamilisha kama wa Nyerere Dam muwe mmeshaiba mnachotaka?

Naona umejaza uzi wako na yanayotokea ulaya kama vile hao wazungu wanatupenda sana sisi, unajidanganya tu, kwenye maslahi hakuna taifa litakalokubali kuwa nyuma ya lingine hata kama kila siku mtaenda kwao miaka kumi mfululizo.

Tusidanganyane, sharti mradi wa Nyerere Dam ukamilike kwanza kama kweli mnataka kuokoa pesa za walipakodi masikini wa Tanzania, badala ya kujitutumua na miradi mipya ya bei ghali ambayo hamuwezi kuikamilisha wenyewe, huu ujinga wa kujiona wajanja kwasababu mnakopesheka utaangamiza vizazi vya hili taifa.
Kwa hiyo kwa maoni yako tuachane na huu mradi wa LNG mpk hilo bwawa liishe?
 
Hapana! Tusingefaidika. Mwaka 2013 hakukuwa na zile sheria zilizotungwa mwaka 2014 ambazo ndo sheria Bora zaidi zinazotuhakikishia kufaidika na rasilimali za Gesi na Mafuta

Ttukitumia vizuri zile sheria zetu, Tutafaidika massively!


Tungeanza toka 2013 leo tungeshaanza uza
 
Kwani hiyo gesi yenyewe mnayo au mshawauzia wengine, haya tanzania mnamiliki asilimia ngapi..
Halafu ina maana hiyo gesi duniani baada ya mrusi, ndio tunayo sisi? Wengine hawana? Afrika nchi ngapi zina gesi?

Nchi hii haiwezi kupiga hatua sababu tumewakabidhi watu wasio na maono na wabinafsi mnooo.
Utapata sonono kwa kujijazia mambo ya kijinga kichwani kwako
 
Nchi zote ulizozitaja sio Tanzania. Hata Algeria ni Africa ila wanatumia vizuri resources zao

Watanzania tuna akili nyingi sana. Tulip uone matokeo ndo useme
Gesi gani? Tanzania haichimbi gesi, gesi inachimbwa na makampuni na ndio wanaamua wamuuzie nani na kwa gharama gani
 
Back
Top Bottom